Hahaha mm natwanga tu usingizi hua hiyo kitu siiwazagi kabisa sipo nayo familiar😂Hatari...sii mchezo kuna wakati wa addiction ilikuwa lazima nistue kabla ya kulala
😂😂😂🤣 🤣 🤣 🤣 SIKAZIII
Unamaanisha Hawa ndio wale hawafuagi boxerKuoga hapo ndugu yangu Gily na Sharamdala ni mpaka uwapigie kelele



Utakuwa una uhakika wa mbususu ndio maana huiwaziiHahaha mm natwanga tu usingizi hua hiyo kitu siiwazagi kabisa mpaka unasema ndio nimeacha au😂
Ujakoseq pigia mstari kila mmoja anashinda na mwezakeUnamaanisha Hawa ndio wale hawafuagi boxer
Joke
Nakazia16. Hakikisha una hela ya kueleweka
Naonaa mitihani tu hapo🤣🤣🤣Kuoga hapo ndugu yangu Gily na Sharamdala ni mpaka uwapigie kelele
Sikia kijana, hii kitu huwa haina usiku wala mchana labda muwe na ratiba mujarabu, vinginevyo hii kitu unaeza kuta asubuhi saa 11:09 unaamshwa na jogoo anawika kwa kishindo.Haitakiwi. Fanya hivyo kabla ya muda wa kulala.
Hapa hapa kwa mama Samia 😀😀Kwenye hii nchi mkuu?
Hizi ni tips za mbele huko, sisi bado ni lialia vitu vingiTozo vicoba mara bandari na huku muhindi kakukula kisa katimu kamoja.....huo usingizi utaupataje

Huwa siogagiOga kabla ya kulala
Usiku huwa nakula mihogo, magimbi na ujiKula chakula chepesi na kidogo walau saa moja kabla ya kulala
Sinywagi majiUsinywe maji chini ya saa moja kabla ya kulala.
Kitanda changu kina viumbe wanao itwa kunguniHakikisha chumba, matandiko na nguo za kulala ni safi, hakuna chawa, kunguni, etc.
Nalalaga na majinziNguo za kulala ziwe nyepesi na laini
Godoro langu kama Ulimi.Kitanda kiwe kikubwa na godoro liwe nene.
Babe tuoane huu mwaka basi jamani nimwechoka wajomba eti ??Kuoga hapo ndugu yangu Gily na Sharamdala ni mpaka uwapigie kelele
oyaa umerudi🤣Kuoga hapo ndugu yangu Gily na Sharamdala ni mpaka uwapigie kelele