naomba kujuzwa nitajuaje hii simu ni original na hii ni copy? na pili simu ambazo ni copy unaweza kuroot?
Yap copy unaweza kuroot
Kujua simu original download cpu-z halafu compare specification original na zinazooneshwa na cpu z.
Mfano simu ni galaxy s5, ingia gsmarena angalia specificiation za s5 halafu download cpu-z angalia specs unaziziona then zilinganishe
Zikifanana ni original zikiwa tofauti ni fake
Download app inaitwa CPU Z kutoka playstore kisha install , itakupa full information za hiyo simu sasa wewe itabidi ufanye ku compare specifications utazopewa na cpu z na zile za online. ..
zikiendana basi ni original ila zikiwa tofaut hasa processor basi ni fake. .
copy nyingi zinatumia Processor za Mediatek/MTK
Copy pia mostly unaweza kuroot kama kawa.ila zinaweza kuleta mapichapicha si unaona tecno watu wengi wakiroot wanakutana na majanga sometimes.
hii ya mapichapicha mwisho wake nini ni kuroot tena?
Yap copy unaweza kuroot
Kujua simu original download cpu-z halafu compare specification original na zinazooneshwa na cpu z.
Mfano simu ni galaxy s5, ingia gsmarena angalia specificiation za s5 halafu download cpu-z angalia specs unaziziona then zilinganishe
Zikifanana ni original zikiwa tofauti ni fake
Hii gsmarena ni kwa samsung pekee au sim zote?
Unataka kufaham nini mkuu?
nikwamba kuna tecno p5 inaleta mapicha picha mpaka kero so nimeambiwa niroot lakn mkuu chief mkwawa amesem tabu yake ndio hayo mapicha picha ukiroot sas hakuna njia nyingne ya kuondoa haya mapicha au simu ndio imekuwa kimeo
nikwamba kuna tecno p5 inaleta mapicha picha mpaka kero so nimeambiwa niroot lakn mkuu chief mkwawa amesem tabu yake ndio hayo mapicha picha ukiroot sas hakuna njia nyingne ya kuondoa haya mapicha au simu ndio imekuwa kimeo
Yani una-download kwenye simu unayotaka kununua? ipo dukani full boxed, unawezaje ku-download cpu z mkuu? tena wakati mwingine betri haina chaji.Download app inaitwa CPU Z kutoka playstore kisha install , itakupa full information za hiyo simu sasa wewe itabidi ufanye ku compare specifications utazopewa na cpu z na zile za online. ..
zikiendana basi ni original ila zikiwa tofaut hasa processor basi ni fake. .
copy nyingi zinatumia Processor za Mediatek/MTK
Copy pia mostly unaweza kuroot kama kawa.ila zinaweza kuleta mapichapicha si unaona tecno watu wengi wakiroot wanakutana na majanga sometimes.
Binafsi kitendo cha kuishika tu sim mpya pale dukan naweza install nnachotaka bila muuzaj kujuaYani una-download kwenye simu unayotaka kununua? ipo dukani full boxed, unawezaje ku-download cpu z mkuu? tena wakati mwingine betri haina chaji.
Mkuu funguka, kivip wakati simu hata chaji haina.Binafsi kitendo cha kuishika tu sim mpya pale dukan naweza install nnachotaka bila muuzaj kujua
Salaam Mkuu,Yani una-download kwenye simu unayotaka kununua? ipo dukani full boxed, unawezaje ku-download cpu z mkuu? tena wakati mwingine betri haina chaji.
Sasa mkuu utauziwaje sim haina hata charge? Ni haki yako kuikagua kila kitu kabla ya kununua..skuiz kuna fast charger yani dak 5 tu sim ina charge kama yote...then your gud to goMkuu funguka, kivip wakati simu hata chaji haina.
Mkuu pale unapokagua sim fasta unaweka apk ya cpu z na kuchek info..zikiwa poa unainunua..Mimi sijaelewa mnawaogopa wauza simu au?Salaam Mkuu,
Nimarufuku kununua Simu Dukani ikiwa haina Betri yake haina Chaji inashauriwa iwe angalau 40%.
Kuhusu hilo la ku-install CP-Z ikiwa Dukani tena mpya kabisa na mimi nnaungana na wewe tuendelee kupata Ufanunuzi toka kwa Wadau.