Jinsi ya kujua simu original ama copy

Jinsi ya kujua simu original ama copy

Download app inaitwa CPU Z kutoka playstore kisha install , itakupa full information za hiyo simu sasa wewe itabidi ufanye ku compare specifications utazopewa na cpu z na zile za online. ..
zikiendana basi ni original ila zikiwa tofaut hasa processor basi ni fake. .

copy nyingi zinatumia Processor za Mediatek/MTK


Copy pia mostly unaweza kuroot kama kawa.ila zinaweza kuleta mapichapicha si unaona tecno watu wengi wakiroot wanakutana na majanga sometimes.
Simu ipo dukani au kwenye box, unawezaji download na ku-instal hiyo app? na itabidi uiwekee na bando.
 
Simu ipo dukani au kwenye box, unawezaji download na ku-instal hiyo app? na itabidi uiwekee na bando.
Mim nikitaka simu dukani naichukua naanza kuikagua..ni haki yangu mteja..kama hutak naenda duka lingine

Kuhusu kuweka bando..nawasha hotspot kwangu naunga na hyo mpya naanza sasa kazi.

Mm simu mpya naingiza mpka download mode mbele ya muuza duka.

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Mim nikitaka simu dukani naichukua naanza kuikagua..ni haki yangu mteja..kama hutak naenda duka lingine

Kuhusu kuweka bando..nawasha hotspot kwangu naunga na hyo mpya naanza sasa kazi.

Mm simu mpya naingiza mpka download mode mbele ya muuza duka.

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Ya online je!?
 
Back
Top Bottom