Jinsi ya kujilinda na watekaji

Jinsi ya kujilinda na watekaji

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,553
Reaction score
57,843
Hakikisha nyumbani ukosi kichupa chenye asidi

Hakikisha nyumbani ukosi mafuta ya petrol

Tengeneza kabati maarumu Kama zile za kutunza mithihani shule weka vifaa vyako pale.

Hakikisha nyumba yako ina mlango wa chuma kwa nje na wa mbao kwa ndani.

Wajinga wakija wawai na asidi wakati wanafungua mlango wa nje kabla hawajafungua wa ndani wamwagie tindikali hakikisha unahit target pia chumbani Kama huna bunduki hakikisha ukosi sime na nondo iliyochongwa mbele Kama sindano usiishi kizembe

Mnakumbuka kesi ya kubenea?
mwagia tindikali Hawa mbwa mpaka utekaji ukome

Pia unaweza kubeba kichupa kidogo ukaenda nacho kazini ukawa unatembea nacho au Kama una Gari weka ndani ya Gari yako muda wowote Ni Vita

Hawa mbwa walishatangaza Vita kitambo sio muda wa kucheka nao.

Imagine alivyochukuliwa Polepole na mdude Ni dharau kubwa Sana haki ya Mungu .

Utekaji,urawiti,ubakaji na watu kupotea na kuuawa na CCM inawezekana kukomeshwa.
 
images-5.jpeg

Hela ya bastola huna

Siyo mbaya ukawa na haka afu ukakajaza hiyo asidi,watesi wakija we bofya tu
 
Yule jamaa mmiliki wa mabasi ya Zakaria kule Mkoani Mara ndiyo kiboko wa hawa mbwa, baada tu ya kuwatungua wote wanne chap pale walipojaribu kumteka! Nakumbuka walitakiwa wakate moto kama wasingewahishwa hospitali.

Ile kesi sijui iliishia wapi!! Mwamba sana yule jamaa.
 
Hivi tindikali inakaa kwenye kale ka-pampu ka buku 8 kanakotumika kupulizia wadudu majumbani?
 
Mkuu kujikoki kote huko ni sawa na kujikatia tiketi ya kifo.
Once ukimwagia au kumuathiri mmoja kwa hizo zana, elewa kwamba watakukamia wakumalize kabisa.
Tena kwa jinsi wasivyokuwa na utu, wanaweza kuteketeza nyumba nzima na wapendwa wako wote.
 
Kuna movie inaitwa Braveheart: jamaa aliambiwa ulinzi wa kwanza ni akili yako; the state of your mind.

Kama unawaza kujilinda kwa silaha zinazoonekana kama bastola au acid etc, basi ujue umeshapoteza pambano. Ila simaanishi silaha sio muhimu kuwa nazo.

Kwa maoni yangu: kama unajijua vizuri na unaweza kufikiria vizuri kuliko watekaji, basi una uhakika wa asilimia walau 75% za kujilinda dhidi yao; na mbinu hapa ni kuwa na uwezo wa kuchambua "the fine details." Uki win hapo kwenye uwezo wa kumulika fine details kwenye maisha yako na mahusiano yako na watu wengine, basi utaishi miaka mingi, hata kwa sumu hutapatikana.
 
Mziki upo kuipata hiyo tindikali
na wakikukuta nayo tu unapewa kesi ya uhaini

mimi ngoja nitafute chuma haya ma kemikali ukijimix tu imekula kwako!
 
Shida yote ya nini?

Kaa mbali na sababu zote ambazo zitakupeleka kwenye kutekwa,jiweke mbali na matatizo

Ujlsifanye shujaa mbele ya dola
 
Tindikali yenye uwezo wa kuleta madhara makubwa ni hatari sana kuwa nayo nyumbani. Inauzwa kwa vibali maalumu.
 
Hakikisha nyumbani ukosi kichupa chenye asidi

Hakikisha nyumbani ukosi mafuta ya petrol

Tengeneza kabati maarumu Kama zile za kutunza mithihani shule weka vifaa vyako pale.

Hakikisha nyumba yako ina mlango wa chuma kwa nje na wa mbao kwa ndani.

Wajinga wakija wawai na asidi wakati wanafungua mlango wa nje kabla hawajafungua wa ndani wamwagie tindikali hakikisha unahit target pia chumbani Kama huna bunduki hakikisha ukosi sime na nondo iliyochongwa mbele Kama sindano usiishi kizembe

Mnakumbuka kesi ya kubenea?
mwagia tindikali Hawa mbwa mpaka utekaji ukome

Pia unaweza kubeba kichupa kidogo ukaenda nacho kazini ukawa unatembea nacho au Kama una Gari weka ndani ya Gari yako muda wowote Ni Vita

Hawa mbwa walishatangaza Vita kitambo sio muda wa kucheka nao.

Imagine alivyochukuliwa Polepole na mdude Ni dharau kubwa Sana haki ya Mungu .

Utekaji,urawiti,ubakaji na watu kupotea na kuuawa na CCM inawezekana kukomeshwa.
Chadema mmewehuka,ugaidi wenu tutauzima mapema sana,mtanyooka tu
 
Back
Top Bottom