Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,147
- 43,080
1. Usipende kuongea kama utani madhaifu ya marafiki zako au jirani ili ufurahishe watu
2. Hakikisha unasalimia majirani hata kama huna story nao
3. Hakikisha unaanza kusalimia watu unaowakuta wamekaa kwenye mitaa au maeneo yao ni ustaarabu tu
4. Kama huna shughuli kaa kwako usipende kutoka kutafuta maneno kwa majirani
5. Acha mazoea na wanawake za watu hapo mtaani au waume za watu
6. Kwenye maafa penda kuungana na watu wa mtaani kwako
7. Kama una hasira za haraka sana usipende kujichanganya na watu bila sababu za msingi kaa kwako tu uepuke mengi
8. Acha kabisa kudharau watu according na uchumi wao elimu yao au ukilema wao wa mwili
9. Jifunze sana kutoa kwa wahitaji kuliko kupokea ni baraka sana
10. Acha tabia ya kusema vibaya watu au kuwasengenya huo ni uchawi.
2. Hakikisha unasalimia majirani hata kama huna story nao
3. Hakikisha unaanza kusalimia watu unaowakuta wamekaa kwenye mitaa au maeneo yao ni ustaarabu tu
4. Kama huna shughuli kaa kwako usipende kutoka kutafuta maneno kwa majirani
5. Acha mazoea na wanawake za watu hapo mtaani au waume za watu
6. Kwenye maafa penda kuungana na watu wa mtaani kwako
7. Kama una hasira za haraka sana usipende kujichanganya na watu bila sababu za msingi kaa kwako tu uepuke mengi
8. Acha kabisa kudharau watu according na uchumi wao elimu yao au ukilema wao wa mwili
9. Jifunze sana kutoa kwa wahitaji kuliko kupokea ni baraka sana
10. Acha tabia ya kusema vibaya watu au kuwasengenya huo ni uchawi.