Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
hapa kuanzia sandia,untuca mpaka sina kote ni theruji tupu.na ni milima mirefu mno bila kuwa na engine kubwa hupandi ng'o
halafu hiyo theluji mnaikataje? yaani mm Volvo inateleza tu,natafuta ile post ya Rims naweza kuta kuna tyre za kashata labda, maana nimenunua injini ya mwisho kabisa, Lori inapaa ikifika kwenye theluji inachapwa km imesimama
Kwa sasa nimechukua kazi ya kusafirisha greda kubwa nimelitoa SINA linatakiwa masaa 45 lifike YANAHUAYA huko ndiko zile corrugation najua nitatumia stiffness suspension