apana mkuu ni katika kucheza tu nikafika iyo level likagomaUlikua umeweka mod au
Basi jaribu kuingia kweny documents kisha Euro truck simulator 2 kisha angalia game.crash ,sasa fungua hapo na ucopy logs yote kisha paste Kweny text documents format uapload hapa tuone logsapana mkuu ni katika kucheza tu nikafika iyo level likagoma
Asphalt 8Naombeni mniambie game zuri la driving kwenye simu
Gari haina taa moja,juwasha taa ipi,fungukajaman naomben mniambie jinsi ya kuwasha taa ndan ya gari
kama unatumia keyboard, bonyeza 1 utapaona ndani halafu bonyeza F4jaman naomben mniambie jinsi ya kuwasha taa ndan ya gari
taa zipo bonyeza j au l.jaman naomben mniambie jinsi ya kuwasha taa ndan ya gari
Mimi huwa nabonyeza k au l taa zinawaka.kama unatumia keyboard, bonyeza 1 utapaona ndani halafu bonyeza F4
baada ya namba zote 4 chini pale kuna roof, front nk chagua
halafua hakikisha ni usiku /giza zungusha na mouse kutafura kona zote na kitanda km vina mwanga
upo na Lori gani
TUMSAIDIE kwani mwenzetu kasema taa za ndani (Cabin) sio hizo za nje za kubonyeza L au KMimi huwa nabonyeza k au l taa zinawaka.
jaman naomben mniambie jinsi ya kuwasha taa ndan ya gari
Nataka hiiii mwamba naipatajeNimeona mkuu hatari Sana si unajua sie wazee wa ganda la ndizi kununua nomaa nitarud tu version ya chini kwa ajiri ya hiyo mapView attachment 1031288
Au inawezekana kuweka version tofauti kwenye PC moja yaan 1.27 1.30 na 1.32
Mkuuu hiii kwenye simu naipataje nimejaribu kudownload kwenye kuplay inataka nidownload pak mbili ili niweze kucheza bado sizipati hizo apk msaada aseeee
Hiyo ni kwa ajili ya PC mkuu.Mkuuu hiii kwenye simu naipataje nimejaribu kudownload kwenye kuplay inataka nidownload pak mbili ili niweze kucheza bado sizipati hizo apk msaada aseeee
Shukran aseeeeMkuu hizi kweny PC tu...huko kwenye simu huez pata