Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,144
- 3,848
Ila kweli nimeamini mtu kama huyu hata ufanye juhudi kubwa ukamfikisha kwa mungu, mwisho wa siku atakwambia nataka nipaone kwa shetani
umetumwa ukeshe JrMimi nimeuliza kama kunauwezekano wa kusaidiwa nitumie muda wa asubuhi- jioni ili kupunguza adha ya kukesha sasa hayo ya kuifanya ifutwe yanakujaje yakhe?
Hahahahahaha!!!!!!!isije ukawa unataka kufanya ifutwe kabisa ndio mnaanzaga hivi hivi..
Jamani mbona mwanisakama ki hivyo?
Hivi nimefanya kosa kuuliza?
Sio kwavile umepewa fursa ya kushusha vi2 ndo basi tena kila cku ukeshe uki-download hata usivyo na haja navyo!! Shusha mambo when necessary,Mimi nimeuliza kama kunauwezekano wa kusaidiwa nitumie muda wa asubuhi- jioni ili kupunguza adha ya kukesha sasa hayo ya kuifanya ifutwe yanakujaje yakhe?
Jamani mbona mwanisakama ki hivyo?
Hivi nimefanya kosa kuuliza?
Balaa lishaanza maana hii kitu iliyokwa tambarale sasa inabuffer kama haina akili nzuri.
hawa wa kuzuka wanataka kutuharibia huu mziki wakati bada tunauhitaji sana, vipi makamanda wengine wa kubundi mko swafi huko?
View attachment 90350
Mkuu hata mimi nimeipenda hiyo attachment yako.Ebu sikiliza hii kwa makini