Jinsi ya kuichakachua wajanja night offer

Jinsi ya kuichakachua wajanja night offer

SPYMATE

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
2,256
Reaction score
2,196
Wanandugu/wanajamii ni kipindi kirefu sasa ninatumia wajanja night offer inayoanza saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.
Nilichogundua ni kwamba hii offer inakuwa active ndani ya 24 hrs ila wamezuia nyakati za mchana sasa wana jamii je hakuna uwezekano wa kuibypass ili iwe full24 hrs itupunguzie adha ya kuwanga usiku mnene.
 
isije ukawa unataka kufanya ifutwe kabisa ndio mnaanzaga hivi hivi..
 
isije ukawa unataka kufanya ifutwe kabisa ndio mnaanzaga hivi hivi..
Mimi nimeuliza kama kunauwezekano wa kusaidiwa nitumie muda wa asubuhi- jioni ili kupunguza adha ya kukesha sasa hayo ya kuifanya ifutwe yanakujaje yakhe?
 
the soln z so cmple! we pga*200*24# utaenjoy mwenyewe!
 
Wanandugu/wanajamii ni kipindi kirefu sasa ninatumia wajanja night offer inayoanza saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.
Nilichogundua ni kwamba hii offer inakuwa active ndani ya 24 hrs ila wamezuia nyakati za mchana sasa wana jamii je hakuna uwezekano wa kuibypass ili iwe full24 hrs itupunguzie adha ya kuwanga usiku mnene.

We mwana usituletee balaa humu!!!!
Kama huwezi kubundi bora ulale tu uwaachie wazoefu wa hiyo mikiki mikiki, ukisema tuichakachue ndiyo itakuwa mwisho wake maana Voda wataifutiliambali.
ujue unlimited inagharimu mapesa mengi sana sasa wenye nazo wanaikamua mchana usiku wanalala na kuiacha net haina watumiaji hivyo voda wametufanyia hisani tukabidhi makombo ya wenye nazo kwa tsh 200 tu ili nasi tujisikie.
sasa weye na wenzako mwataka kukamua bandwith full time kwa gharama ya th 200 wakati kina Papaa Kinyani wanalipa mamilioni kwa huduma hiyo ujue kwanza voda wataelemewa hivyo speed itakuwa ni ya konokono sasa ebu fikilia wenye vijisenti vyao watakubali wamwage mapesa yao kwa speed hiyo?
 
Last edited by a moderator:
Wewe unataka kuharibu mambo.Sina imani na wewe
 
Kama nawaona wasafiri wa usiku wakipinduka na basi lao la nusu bure, mchawi wenu huyo kasharoga njia nzima R.I.P WAJANJA NIGHT NA MABUNDI YAKE :crying:
 
Mzee vya bure vina gharama yake.we ushaambiwa ni night offer we unataka mpaka mchana.
 
isiwe taabu sana mkuu kama ni mchana unataka weka ungo wa wifi uelekee angle za free wifi hotspots zimejaa kibao alaf download connectify hata bando hiyo utaisahau kama hujui kuset long sange wifi antenna tembelea youtube
 
SPYMATE wenzio wametoka mbali mno....!!!!
Kwanza kabisa walikuwa wakivizia net ya Bure ya Airtel saa 6 za usiku alafu net yenyewe walikuwa wanalimit 200Mb zikiisha ndiyo mpaka kesho, Shukrani za pekee ziwaendee Voda maana wamerudisha nyuma muda wa kubundi kwa net yao yenye akili wakati nauli unalipa ile ya mwanafunzi.

_ Paje hawezi kukupokea so fanya hivi:-

Panda gari zinazopitia UDSM mwambie konda akushushe pale utawala au Container then piga *149*02# fuata maelekezo utaunganishwa na offer ya mchana kwa tsh 500 so panda gari urudi kwako ukatumie
 
Last edited by a moderator:
Huyu nae katokea wapi!!! kama huwezi kubundi kaa pembeni,si lazima uitumie.Mchana kata mshiko tu.
 
Panda gari zinazopitia UDSM mwambie konda akushushe pale utawala au Container then piga *149*02# fuata maelekezo utaunganishwa na offer ya mchana kwa tsh 500 so panda gari urudi kwako ukatumie

fafanua zaidi mkuu, ndio njia yangu kilasiku asubuhi udsm
 
Nilitaka nitie neno,lakini ngoja kwanza...Watu kama hawa ndio size yangu..
 
Back
Top Bottom