Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,437
- 1,875
Ndugu zangu wana intelligence Nina wazo muhimu ambalo linaweza kubadili Tanzania kuwa katika ulimwengu wa pili au wa kwanza kabisa,
Hii anatakiwa kuwa mwendelezo kabisa siyo suala la kukurupuka Mara moja,
Suala ili lilitiwa timing iwe wakati wa Jakaya Mrisho Kikwete,
Pale suala muhimu ilipaswa liwe viwanda kila sehem, na viwanda havitatokea kwa kutamka tu majukwaani ni mbinu thabiti ambazo haziingiliani na kupendwa kisiasa, bali ukweli,
ELIMU INAYOENDANA NA WAKATI
shule zetu za primary zingeendelea kama kawaida na mitaala tuliyonayo ila wakati wa kwenda secondary wangefanya yafuatayo katika kuwachagua wanafunzi kuendelea na masomo
Yangetengwa madaraja yafuatayo
Daraja A ni wale waliopata 120 out of 150 hapa nimebase kwa wale waliokuwa wanaofanya masomo matatu, hesabu, lugha na maarifa ya jamii, (kipindi elimu bado ni elimu)
Hawa wangeenda direct secondary kwenye shule zile zetu za zamani za kufaulu kama kawaida, hawa baadae wawe viongozi na wanaoratibu shughuli za Maendeleo katika managerial level watakapofika vyuo vikuu
DARAJA B 100 hadi 120
Hawa waende shule za kufaulu lakin za kawaida Ambazo wengi wao wanaweza kufika juu wanaweza wasifike degree au elimu ya juu zaid, ila elimu wanayopewa iwe semi tertiary education, ( elimu ya vitendo 50% na ya darasani 50%)
Hawa watakuja baadae kushika nafasi za middle managerial posts au supervisors,
Sasa daraja C 50 hadi 100
Hawa waende shule za ufundi wote nchi nzima, wajifunze jinsi ya kutengeneza vitu mbali mbali kuliko kukalili Archimedes principals Ambazo haisaidii chochote,
Sasa basi zile shule za kata nchi nzima walikosea waliozianzisha , wangejikita zaid katika uanzishaji wa vyuo vya ufundi nchi mzima na kupata msaada wa vifaa kutoka China na kwingine duniani, wangeleta wachina wengi kuwafundisha vijana kazi na ufundi, hii ingesaidia sana vijana kwanza kupunguza uzembe wa kifikiria kuajiriwa, na kupunguza ushindani usio wa maana kwenye soko la ajira, maana unakua. Mtu ambaye hata hafai kabisa ila kwa kuchechemea alifika chuo kikuu hakuna analojua, naye anapeleka CV kwa tangazo la kazi ,kuongeza ushindani usio wa maana,
Hapa zile shule 4000 ningekuwa vyuo vya ufundi na katika kila tarafa kukawepo na shule ya secondary moja tu, isiwe kila kata,
Kupitia mpango huu Tanzania tutazalisha vitu vyetu wenyewe na kuvitumia,
SIASA ISICHANGANYWE NA UHALISIA WA MAISHA
kwanza elimu kipindi cha nyuma hasa kwa kikwete alifanya elimu kama ngazi ya kudanganya wananchi kuwa tumeongeza vyuo vikuu, kumbe havikukidhi malengo au sifa, ila anataka tu idadi ionekane yeye ameacha vyuo vikuu vingi zaid, suala ambalo limeua elimu yetu,
Jingine viongozi wakubwa kulazimisha ndugu na jamaa zao kudahiliwa katika vyuo mbali mbali bila sita stahiki, nayo ilileta shida mnoo,
Suala au Jambo kingine ni kuogopa kuwa sema wazembe kwa kuogopa kuchukiwa kisiasa au kukosa Kura kwa awamu ya pili,
Hapa watu wengi wameharibu nchi sana,
SHERIA ZA UWEKEZAJI NA MADINI
hapa uwekezaji apewe masharit kwamba kama ni muwekezaji sawa unataka Tupate 10% tu ya faida yote OK hatuna shida ila kila.muwekezaji eneo alipo ajenge au kurekebisha miundombinu mbali mbali kama mabweni, kama madarasa, kama hospital na huduma za jamii,
Sheria Kali ya kuwanyonga wote watakao onekana kuwa wabadhirifu wa Mali za umma,
KUPIGWA MARUFUKU BIDHAA ZA NJE, kuna baadhi ya bidhaa si muhimu kuingiza nchini hivyo ili kulinda soko la ndani tunabidi kupiga marufuku bidhaa hizo,
KUKARIBISHA UWEKEZAJI KATIKA MIRADI MIKUBWA
ujenzi wa viwanda vya kuunganisha magari ,kuunda pikipiki, kuunda vyerehani, nashangaa wakati wa Nyerere tulikuwa na kiwanda cha redio NATIONAL , baiskeli swala, kuunganisha vichwa vya scania lakin muda huu tunaangaika na viwanda vidogo vidogo vya matofari,
Njia zipo Nyingi tuungane
Hii anatakiwa kuwa mwendelezo kabisa siyo suala la kukurupuka Mara moja,
Suala ili lilitiwa timing iwe wakati wa Jakaya Mrisho Kikwete,
Pale suala muhimu ilipaswa liwe viwanda kila sehem, na viwanda havitatokea kwa kutamka tu majukwaani ni mbinu thabiti ambazo haziingiliani na kupendwa kisiasa, bali ukweli,
ELIMU INAYOENDANA NA WAKATI
shule zetu za primary zingeendelea kama kawaida na mitaala tuliyonayo ila wakati wa kwenda secondary wangefanya yafuatayo katika kuwachagua wanafunzi kuendelea na masomo
Yangetengwa madaraja yafuatayo
Daraja A ni wale waliopata 120 out of 150 hapa nimebase kwa wale waliokuwa wanaofanya masomo matatu, hesabu, lugha na maarifa ya jamii, (kipindi elimu bado ni elimu)
Hawa wangeenda direct secondary kwenye shule zile zetu za zamani za kufaulu kama kawaida, hawa baadae wawe viongozi na wanaoratibu shughuli za Maendeleo katika managerial level watakapofika vyuo vikuu
DARAJA B 100 hadi 120
Hawa waende shule za kufaulu lakin za kawaida Ambazo wengi wao wanaweza kufika juu wanaweza wasifike degree au elimu ya juu zaid, ila elimu wanayopewa iwe semi tertiary education, ( elimu ya vitendo 50% na ya darasani 50%)
Hawa watakuja baadae kushika nafasi za middle managerial posts au supervisors,
Sasa daraja C 50 hadi 100
Hawa waende shule za ufundi wote nchi nzima, wajifunze jinsi ya kutengeneza vitu mbali mbali kuliko kukalili Archimedes principals Ambazo haisaidii chochote,
Sasa basi zile shule za kata nchi nzima walikosea waliozianzisha , wangejikita zaid katika uanzishaji wa vyuo vya ufundi nchi mzima na kupata msaada wa vifaa kutoka China na kwingine duniani, wangeleta wachina wengi kuwafundisha vijana kazi na ufundi, hii ingesaidia sana vijana kwanza kupunguza uzembe wa kifikiria kuajiriwa, na kupunguza ushindani usio wa maana kwenye soko la ajira, maana unakua. Mtu ambaye hata hafai kabisa ila kwa kuchechemea alifika chuo kikuu hakuna analojua, naye anapeleka CV kwa tangazo la kazi ,kuongeza ushindani usio wa maana,
Hapa zile shule 4000 ningekuwa vyuo vya ufundi na katika kila tarafa kukawepo na shule ya secondary moja tu, isiwe kila kata,
Kupitia mpango huu Tanzania tutazalisha vitu vyetu wenyewe na kuvitumia,
SIASA ISICHANGANYWE NA UHALISIA WA MAISHA
kwanza elimu kipindi cha nyuma hasa kwa kikwete alifanya elimu kama ngazi ya kudanganya wananchi kuwa tumeongeza vyuo vikuu, kumbe havikukidhi malengo au sifa, ila anataka tu idadi ionekane yeye ameacha vyuo vikuu vingi zaid, suala ambalo limeua elimu yetu,
Jingine viongozi wakubwa kulazimisha ndugu na jamaa zao kudahiliwa katika vyuo mbali mbali bila sita stahiki, nayo ilileta shida mnoo,
Suala au Jambo kingine ni kuogopa kuwa sema wazembe kwa kuogopa kuchukiwa kisiasa au kukosa Kura kwa awamu ya pili,
Hapa watu wengi wameharibu nchi sana,
SHERIA ZA UWEKEZAJI NA MADINI
hapa uwekezaji apewe masharit kwamba kama ni muwekezaji sawa unataka Tupate 10% tu ya faida yote OK hatuna shida ila kila.muwekezaji eneo alipo ajenge au kurekebisha miundombinu mbali mbali kama mabweni, kama madarasa, kama hospital na huduma za jamii,
Sheria Kali ya kuwanyonga wote watakao onekana kuwa wabadhirifu wa Mali za umma,
KUPIGWA MARUFUKU BIDHAA ZA NJE, kuna baadhi ya bidhaa si muhimu kuingiza nchini hivyo ili kulinda soko la ndani tunabidi kupiga marufuku bidhaa hizo,
KUKARIBISHA UWEKEZAJI KATIKA MIRADI MIKUBWA
ujenzi wa viwanda vya kuunganisha magari ,kuunda pikipiki, kuunda vyerehani, nashangaa wakati wa Nyerere tulikuwa na kiwanda cha redio NATIONAL , baiskeli swala, kuunganisha vichwa vya scania lakin muda huu tunaangaika na viwanda vidogo vidogo vya matofari,
Njia zipo Nyingi tuungane