Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,034
- 12,596
Nimefanikiwa kulima mahindi kwa mara ya kwanza gunia kama 100 hivi ila nahitaji kuzihifadhi store, ni dawa gani nzuri ya kutumia maana kuna wadau wananiambia ninunue mifuko inauzwa Tsh. 5000/= kuhifadhia naona ni gharama sana.