Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

Msumbiji ni kupanda bus mpaka Lilongwe pale hayo Taqwa ukifika Lilongwe unapanda Bus linalopita Desza border au Mwanza yote yanafika Maputo ila hili la Desza linapitia Daraja la Tete...ukifika Lilongwe sio mbali anaekuja Tanzania ni mbali zaidi kuliko wa huko Tete na Maputo watawahi kufika...
Ahsante sana mkuu
 
panda basi mpaka Songea,za super feo au Newforce nauli ni 58,000 zinaingia usiku, utalala kesho yake panda gari zinazoenda border au Congress kwa jina jingine border nauli 10,000 Zinaondoka saa 4 asubuhi,pale utakutana na border ya Tanzania na Mozambique, utaingia saa 8 mchana
Kutoka border mpaka Mji mmoja unaitwa Lichinga nauli 1500 mts sawa na Tshilings 58,000 utaingia kuanzia saa 3 usiku, kesho yake alfajili utapanda gari la kwenda Maputo ni siku 2 na nusu au siku 3 nauli, 4,800 sawa na Tshilings 152,000

Faida ya hii njia ni kalibu, gharama nafuu halafu unavuka inchi moja kwenda nyingine na hutasumbuka lugha kivile maana utatumia kiswahili tu mpaka unaingia maputo
 
panda basi mpaka Songea,za super feo au Newforce nauli ni 58,000 zinaingia usiku, utalala kesho yake panda gari zinazoenda border au Congress kwa jina jingine border nauli 10,000 Zinaondoka saa 4 asubuhi,pale utakutana na border ya Tanzania na Mozambique, utaingia saa 8 mchana
Kutoka border mpaka Mji mmoja unaitwa Lichinga nauli 1500 mts sawa na Tshilings 58,000 utaingia kuanzia saa 3 usiku, kesho yake alfajili utapanda gari la kwenda Maputo ni siku 2 na nusu au siku 3 nauli, 4,800 sawa na Tshilings 152,000

Faida ya hii njia ni kalibu, gharama nafuu halafu unavuka inchi moja kwenda nyingine na hutasumbuka lugha kivile maana utatumia kiswahili tu mpaka unaingia maputo
Hio njia ni fupi sana. Ila sijawahi kupita. Watu wengi hawaijui hii njia ndio maana wanatumia Ile ya lilongwe hadi tete kisha Maputo,huo ni mwendo wa siku kama 4.
Ila hii ya songea lichinga ni fupi ingawa toka songea hadi boda ya msumbiji ( kilometa 120) barabara bado hawajamaliza kupiga lami.Lakini kuna mtu aliniambia upande wa msumbiji ni lami
Na huku upande wa lichinga hauna Wale Islamic state,hivo ni salama kwa kiwango kizuri
 
Hio njia ni fupi sana. Ila sijawahi kupita. Watu wengi hawaijui hii njia ndio maana wanatumia Ile ya lilongwe hadi tete kisha Maputo,huo ni mwendo wa siku kama 4.
Ila hii ya songea lichinga ni fupi ingawa toka songea hadi boda ya msumbiji ( kilometa 120) barabara bado hawajamaliza kupiga lami.Lakini kuna mtu aliniambia upande wa msumbiji ni lami
Na huku upande wa lichinga hauna Wale Islamic state,hivo ni salama kwa kiwango kizuri
Hakuna usalama huko unadhani kwa nini watu wanapenda kuzunguka mkuu...Usalama kwanza ndio mambo muhinu kwenye safari huko kipande kikubwa ni pori na bara bara ya Vumbi..ukiachilia mbali hao Islamic wapo wanaoteka magari huko...
 
panda basi mpaka Songea,za super feo au Newforce nauli ni 58,000 zinaingia usiku, utalala kesho yake panda gari zinazoenda border au Congress kwa jina jingine border nauli 10,000 Zinaondoka saa 4 asubuhi,pale utakutana na border ya Tanzania na Mozambique, utaingia saa 8 mchana
Kutoka border mpaka Mji mmoja unaitwa Lichinga nauli 1500 mts sawa na Tshilings 58,000 utaingia kuanzia saa 3 usiku, kesho yake alfajili utapanda gari la kwenda Maputo ni siku 2 na nusu au siku 3 nauli, 4,800 sawa na Tshilings 152,000

Faida ya hii njia ni kalibu, gharama nafuu halafu unavuka inchi moja kwenda nyingine na hutasumbuka lugha kivile maana utatumia kiswahili tu mpaka unaingia maputo
Ahsante mkuu kwa mchanganuo wa mpaka gharama halisi kabisa
 
naenda US embassy mkuu, ya kwetu imejaa hakuna appointments kabisa
Utapata hasara bure, viza ya Marekani unaomba kwenye nchi yako au nchi ya ugenini ambayo una makazi ya kudumu yani residence permit.

Muwe mnauliza vitu vingine siyo kukurupuka tu.

Kama pesa yako haina kazi njoo banana tule kitimoto tutowe shavu viza hupewi unless uwe na special case.
 
Mkuu achana na hiyo njia ya songea
Kuna mapori makubwaaa sanaa
Waasi huteka magari huko
Aliyekudanganya nani mkuu? Hivi mimi ninayepita kila siku kwenda na kuludi na wewe nani mkweli?
Ukisikia Alshababi walikuwepo Cabodelgado na pemba, siyo Mozambique nzima, Askari wa Tanzania walikuja mwaka jana kulinda mipaka kwa ajili ya usalama tu, na hakujawahi kutokea tukio lolote la utekaji kwa hiyo njia linalohusiana na Alshababi,
 
Mkuu achana na hiyo njia ya songea
Kuna mapori makubwaaa sanaa
Waasi huteka magari huko
Njia ya kutoka Dar to lilongwe nayo nimepita, tatizo inausumbufu sana halafu ndefu, ukifika tu kasumulu border Immigretion tu wa Tanzania wasumbufu, lazima ujiandae na 30,000 ya Vasination card, hapo hujaingia Malawi ni rodblock kalibu kila sehemu panda shuka sachiwa, na hasa ukiwa mgeni, mpaka utakapovuka ingalau border ya Dedza ya Malawi na Mozambique kidogo usumbufu utapungua
 
Dah Maputo jiandae na swala la lugha aiseeeee wale jamaa kingereza ata cha kuomba maji ni shida sn nilipata tabu sn Maputo, nilikuwa nataka line nikisota wn
 
Utapata hasara bure, viza ya Marekani unaomba kwenye nchi yako au nchi ya ugenini ambayo una makazi ya kudumu yani residence permit.

Muwe mnauliza vitu vingine siyo kukurupuka tu.

Kama pesa yako haina kazi njoo banana tule kitimoto tutowe shavu viza hupewi unless uwe na special case.
Mkuu hii ni mihemuko au?Hebu pitia pitia basi kabla hujaropoka. I know what I am doing with evidence.
 
Back
Top Bottom