Harry Barry
Member
- May 12, 2016
- 14
- 16
Habari wana jf
Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana mjasiliamali nimekua nikifanya biashara tofauti tofauti kwa muda sasa na kila siku nawaza kufanya kitu kipya
Nipo hapa kwaajili ya msaada wenu wana jf kuhakikisha nafikia malengo yangu kama mjasiriamali
Hivyo basi nimefanikiwa kununua magari aina ya CANTER ton 3.5 pamoja na CANTER ton 2.5 tipa kwaajili ya biashara kwasababu ni biashara ambayo niliiona inalipa kupitia kwa rafiki yangu ambaye kwasasa tumepotezana baada ya kwenda nje ya nchi
Hivyo basi nahitaji usaidizi jinsi ya kupata madereva waaminifu na pia kujua hesabu ya wiki ni kiasi gani kwa kila gari moja.
Natanguliza shukrani
Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana mjasiliamali nimekua nikifanya biashara tofauti tofauti kwa muda sasa na kila siku nawaza kufanya kitu kipya
Nipo hapa kwaajili ya msaada wenu wana jf kuhakikisha nafikia malengo yangu kama mjasiriamali
Hivyo basi nimefanikiwa kununua magari aina ya CANTER ton 3.5 pamoja na CANTER ton 2.5 tipa kwaajili ya biashara kwasababu ni biashara ambayo niliiona inalipa kupitia kwa rafiki yangu ambaye kwasasa tumepotezana baada ya kwenda nje ya nchi
Hivyo basi nahitaji usaidizi jinsi ya kupata madereva waaminifu na pia kujua hesabu ya wiki ni kiasi gani kwa kila gari moja.
Natanguliza shukrani