Confidence level ya huo upimaji wa ubora wa maji 'water quality' kabla hujayachimba ni kiasi gani?Unachimbaje kusima bila kufanya survey kwanza kujua aina ya maji kama ya chumvi au baridi na umbali yalipo? Nenda pale DDCA karibu na chuo cha maji. Wanayo hiyo teknolojia.au kama vp wakupimie eneo lingine na wakuchimbie kirefu zaidi mpaka wakute mwamba wa maji mazuri
Ahahahahaa,simple.Wateja wangu wanataka maji matamu ( baridi) kisima changu kina maji chumvi, nifanyaje wana jf?
Nimeshauriwa niweke dawa ila hizo dawa sizijui.
Hahahahahaha.^ ^
<0 0>
"
=
v
Hii ndio picha yake, alie sema sukari ,mabarafu, kk sukari
pima maji yako ujue content za minerals zilizopo kwenye maji yako.. na kujua chumvi ni ya iron, manganese, ph au nini?
kama mgonjwa unaingia maabara kwanza kupimwa then ndio unaenda kwa daktari..
so baada ya majibu kupata nenda nayo merry water au davis shirtif watakupa tiba ya ugonjwa wa maji yako
Ahahahahaa,simple.
Chukua mabarafu lori 7,chukua mifuko 100 ya sukari ya KK sukari ya Dewiji,mwaga kwenye likisima lako,baada ya dk 45 yaonje kama yatakua yameshakua matamu na baridi au lah.
Zingatia kipimo cha mabarafu na sukari.
Ahsante kwa kunielewa.
Hakuna kipimo kinacho Pima nakuonyesha kuha chini kuna Maji chumvi au hambayo hayana chumvi vipo vinaonyesha Maji kama yapo nakama yapo ni mitangap kwenda chini