Sijui ulikua hutaki kutoa ushauri wenye mashiko ama vipi.
1. Flash zanye switch ya write protection siku hizi hazipo tena.
2. Ushauri wa 2 hujasema anatakiwa afanyeje.
3. Ashakwambia katumia diskpart, cmd, reg... Halafu na wewe unasema atumie tena procedure hizo.