nimeconvert na kusubimitt namba,tatizo wao wananipa registration namba ambazo mimi sijui matumizi yake wala la kufanya!!ahaa hii ni idea mpya. hizi code zipo kwenye hex (zina abcdef) so jamaa anasema unaziconvert kwenda decimal then ndio unasubmit kwenda kwenye site ya google.
hii pia inajibu kwanini imei imekubali na android id na gsf imekataa.
mkuu kama umeshaconvert submit hizo namba kwenye page ya google ambayo nimeieka kwenye uzi.
Registered mkuu. Under deckama alivyosema mkuu behaviourist utatakiwa ku convert hex kwenda dec unaweza tumia hata calculator ya windows inakamilisha hili jambo then ndio ujaribu ku submit.
sijaelewa jinsi ya kula convert nafanyajekama alivyosema mkuu behaviourist utatakiwa ku convert hex kwenda dec unaweza tumia hata calculator ya windows inakamilisha hili jambo then ndio ujaribu ku submit.
vipi status ya simu imebadilika?Registered mkuu. Under dec
hio yenye abc ndio hex na kama umetumia ile app utaona android id na google framework service zote namba zake zina abc katikati. hivyo utatakiwa uziconvert kwenda decimal kawaida.sijaelewa jinsi ya kula convert nafanyaje
mkuu unaweza eka hata screenshot?nimeconvert na kusubimitt namba,tatizo wao wananipa registration namba ambazo mimi sijui matumizi yake wala la kufanya!!
okhio yenye abc ndio hex na kama umetumia ile app utaona android id na google framework service zote namba zake zina abc katikati. hivyo utatakiwa uziconvert kwenda decimal kawaida.
kama calculator umeshindwa nenda to google andika hex to dec converter zitakuja service za online
Dah! watakuwa google washakupitia, may be haukuwa certifiedTatizo langu simu play store imo ila haifunguki inaleta ujumbe huuView attachment 734941
mkuu umewahi kuroot simu na kufuta vaadhi ya apps?Tatizo langu simu play store imo ila haifunguki inaleta ujumbe huuView attachment 734941
nashukuru sana nimefanikiwa kabisa MUNGU akubariki CHIEF MKWAWA sitaacha kukufuatilia kwe nye mada zako umenisaidia sanamkuu umewahi kuroot simu na kufuta vaadhi ya apps?
hapo inaonesha simu yako haina play service ambayo ni app mama inayohitajika ku run apps zote za google.
fanya hivi.
1. nenda setting kisha apps itafute play service kama imekuwa disabled jaribu kui enable
2. kama haipo hio app jaribu kuieka upya kwa kuidownload kutoka hapa
Google Play services APKs - APKMirror
Jukwaa la tech limeingiliwaaa!!Tecno yangu iko certified
jamani yaani weweJukwaa la tech limeingiliwaaa!!