tukitoka hapo tunaambiwa wazungu wana roho nzuri ila waarabu ndo makatili,
Hawa wazungu na waisrael ni wabaguzi na ndio wanaoleta machafuko dunianihuko israel ndo balaa weusi wanauawa kama kuku alafu wanajiita taifa la mungu
tukitoka hapo tunaambiwa wazungu wana roho nzuri ila waarabu ndo makatili,
Waarabu nao wana matatizo yao na hayawezi kusafishwa na matatizo ya wazungu
Kimsingi kila jamii ina matatizo yake kwani hata sisi weusi ni wabaguzi vile vile!
NYPD Cops choke Black man to death for selling a : http://youtu.be/ajhpFT-lVZY
Hawa wazungu ni wauajiYaani huyo dingi kupigwa kabari kidoto tuu vile kafa???????
Inawezekana kabisa huyo dingi bonge alikuwa mgonjwa, ndiyo maana watu wazima ki-umri wanashauriwa kufanya mazoezi angalau mara 2 kwa wiki
Waarabu nao wana matatizo yao na hayawezi kusafishwa na matatizo ya wazungu
Kimsingi kila jamii ina matatizo yake kwani hata sisi weusi ni wabaguzi vile vile!
kuna watu humu always wanaona matatizo ya mwarabu huku wakimsifia mzungu! wote wanamatatizo ila mzungu unafiki kazidisha ana ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu
Nani atawateteya watu wanaoteswa na kuuliwa kisa ni tofauti na muuwaji au mtesaji,Kulikuwa na sababu gani ya kumkaba vile mpaka kumuua wakati mtu alikuwa hana hata silaha yoyote...eti kisa alikuwa anauza sigara.....dah nami naomba haya maandamano huko New york yasiishe mpaka kieleweke
Yap jamaa alikuwa na asthma Na hata walivyokuwa wanamkaba alilalamika sana akisema I can't breathe,I can't breathe inasikitisha sana jamaa alifariki. Ushahidi wa video unaonesha kila kitu.Yaani huyo dingi kupigwa kabari kidoto tuu vile kafa???????
Inawezekana kabisa huyo dingi bonge alikuwa mgonjwa, ndiyo maana watu wazima ki-umri wanashauriwa kufanya mazoezi angalau mara 2 kwa wiki
Yap jamaa alikuwa na asthma Na hata walivyokuwa wanamkaba alilalamika sana akisema I can't breathe,I can't breathe inasikitisha sana jamaa alifariki. Ushahidi wa video unaonesha kila kitu.
Kaeni kwenu.........mnaenda kwao kufanya nini............
huko israel ndo balaa weusi wanauawa kama kuku alafu wanajiita taifa la mungu