popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,608
Mkuu umeongea kitu nilimuambiaga jamaa mmoja aliyejidai kuelimisha,tulikosna toka hapo,lkn nashukuru nilimpa makavu,
Mm huwa sivutiwi na hadithi za porojo za watu hao
Mm huwa sivutiwi na hadithi za porojo za watu hao
Kuna watu utawasikia eti mbona Bill Gates aliacha shule unaanza kumwambia ukweli usiseme shule sema Havard. Chuo cha watu wenye hela na wenye akili na siyo kwamba aliacha shule aliishindwa ila aliacha kwakua aliona anachokitaka yeye kifundishwe hakikuepo, kwahiyo ni shule ilimshindwa yeye siyo yeye aliishindwa shule.
Sasa kijana unapata division zero shule ya kata ukiambiwa rudi darasani utetezi wako ni Bill Gates naye hakusoma, pumbavu.