Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

Wangekuwa wasomi kweli wasingekubali kudhalilika. Ni wasomi uchwara.
 
Hata sasa hawajadhalilika vizuri wakidhalilika vizuri, akili itawakaa. Wamejidharaulisha sana. Tulidhani wasomi ni watu watakaokuwa na msimamo na kujenga hoja zenye maana, wao wameishia kuwa walamba viatu tu. Nasema wadhalilike tu hakuna namna. Walikimbia habitat yao wakaenda mahali ambapo siyo kwao.
 
Spika anaruhusu hii kitu - sababu na yeye mi muhanga wa elimu.
 
Mtalia sana tena sana dadeeeki mmesahau kuwa kila masika na mbu wake?

Kazi inaendelea kwetu
Mnaolia ni nyie wenye hofu.... JPM ameshapumzika kwa amani nyie huku mnakufa na kihoro!

Unalooooo hilo

 
Wakuu msiwateteee darasa la saba katika mjadala huu.Issue sio elimu ,wabunge wasomi hawajawahi kuwattack darasa la saba katika kujenga hoja zao..kwanin la Saba wawashambulie wasomi kinyume na kutumia hoja zilizombele yao? Kwanini washindwe kujenga hoja badala yake wawakebehi na kubeza Wasomi?Bunge sio mahali pa kushambuliana tukitumia ufup ama urefu.Spika kama ataendelea kulea hii style kuna siku utaongia ubaguzi wa rangi, ukanda, ukabila nk bungeni. Wabunge hawapo pale kuonyesha vyeti vyao hapana!! Prof kujenga hoja yake hakuattack darasa la saba kwnn la saba wamattack kivile??
 
Kazi inaendelea kwetu
Mnaolia ni nyie wenye hofu.... JPM ameshapumzika kwa amani nyie huku mnakufa na kihoro!

Unalooooo hilo

View attachment 1751726
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Mlianza na moto wa kulazimisha muheshimiwe kisa mnatoka kanda yenye watu wengi lkn mkapigwa spana za kutosha sasa naona mmenywea kama mchicha kwenye maji ya moto.
 
Huenda umesahau. Kudumaza taaluma na elimu kwa ujumla ni sera ya CCM tangu zamani. Ndio sababu mipasho ya akina kibajaji na msukuma bungeni dhidi ya wasomi inaungwa mkono sana. Kujiweka kando wasomi hunyamaza na kutojibu mipasho hiyo, kwa kuelewa madhara ya kubishana na wajinga.
 
Tanzania haina wasomi, ina watu walioenda shule kukariri,ndomaana watu wengi elimu zao haziwasaidii kabisa.

Mimi akija mtu akanambia amesoma, ana PhD, masters au degree alafu hana hela, au anaongea pumba ambazo hata mtu wa form 4 anaejielewa hawezi ongea.

Namuona mpumbavu tu.Hatuwezi kukaa kusikiliza hoja zako,hata kama ni pumba eti tukubali kisa umesoma.Mimi nina ka degree kamoja,ila Jana nilimuelewa sana Msukuma.
Upo sahihi, naamini na elimu yako yenye ' ka-degree' iko level moja na elimu ya msukuma.
 
Kama walio na Elimu ndogo wanaweza kufanya mambo makubwa kuliko wasomi, Tunataka wasomi wafanye nini sasa?

Mf mdogo, Prof amewahi kuwa waziri wa Nishagi na madini kipindi hicho, lakini matokeo ya uwaziri wake ni nini sasa ukilinganisha na waziri wa SASA ambaye Elimu yake ni ya kawaida kabisa!!

Waziri mzima na Elimu yake walikuwa wasindikizaji wa mchanga kwenda ulaya bila ya kuhoji
 
Huenda umesahau. Kudumaza taaluma na elimu kwa ujumla ni sera ya CCM tangu zamani. Ndio sababu mipasho ya akina kibajaji na msukuma bungeni dhidi ya wasomi inaungwa mkono sana. Kujiweka kando wasomi hunyamaza na kutojibu mipasho hiyo, kwa kuelewa madhara ya kubishana na wajinga.
Kusinamia wizara kisomi bila matokeo huo ni ujinga wa anayejiita msomi
 
Wakuu msiwateteee darasa la saba katika mjadala huu.Issue sio elimu ,wabunge wasomi hawajawahi kuwattack darasa la saba katika kujenga hoja zao..kwanin la Saba wawashambulie wasomi kinyume na kutumia hoja zilizombele yao? Kwanini washindwe kujenga hoja badala yake wawakebehi na kubeza Wasomi?Bunge sio mahali pa kushambuliana tukitumia ufup ama urefu.Spika kama ataendelea kulea hii style kuna siku utaongia ubaguzi wa rangi, ukanda, ukabila nk bungeni. Wabunge hawapo pale kuonyesha vyeti vyao hapana!! Prof kujenga hoja yake hakuattack darasa la saba kwnn la saba wamattack kivile??
Ndugai na watu wake wanao wananga na kuwadhihaki wasomi wanafanya hivyo kwa hasira kufuatia haya mambo yafuatayo.

1. Profesa Asad
Juzi alipo toa ufafanuzi wa report ya CAG na kumbuka kuwa profesa Assad huyo huyo alikwazwa sana na spika kipindi alipo toa report yake kama CAG hadi kupelekea akaondolewa kwenye wadhifa wake.


Ndugai ana hasira sana na mzee wetu Assad.

2. Profesa Muhongo.

Juzi Muhongo alikosoa ujenzi wa bwawa la umeme la Rufiji na akasema umeme wa maji unakuwa ghali kuliko wa gesi na kuishauri serikali iendelee na umeme wa gesi .

Hivyo hizo sababu ndiyo zinaezafanya hao wazee waonekane siyo kitu mbele ya kina Msukuma na Kibajaj
 
Sasa kama wasomi wenyewe wapo tu bungeni wanatafta big G na usomi wao wasiambiwe ukweli?
Kama wanajiona wasomi wanakubali kukaa na darasa la saba mle ndani? Mm naona wawe na bunge lao la wasomi
 
Sasa kama wasomi wenyewe wapo tu bungeni wanatafta big G na usomi wao wasiambiwe ukweli?
Kama wanajiona wasomi wanakubali kukaa na darasa la saba mle ndani? Mm naona wawe na bunge lao la wasomi
Usomi wa mtu hauwezi kuwa daraja la kumtukana ama kumbeza
 
Kusinamia wizara kisomi bila matokeo huo ni ujinga wa anayejiita msomi
Ukiona hakuna matokeo hapo ondoa usomi. Application yoyote ya usomi huleta matokeo chanya. Matokeo hasi penye msomi mwenye weledi jua kuna sababu, ama siasa imeweka mkono wake, au anaingiliwa majukumu yake aharibu ilu awekwe wanaemtaka.
 
Ukiona hakuna matokeo hapo ondoa usomi. Application yoyote ya usomi huleta matokeo chanya. Matokeo hasi penye msomi mwenye weledi jua kuna sababu, ama siasa imeweka mkono wake, au anaingiliwa majukumu yake aharibu ilu awekwe wanaemtaka.
Mkuu, Wakati mwengine shida sio Elimu, shida ni ujasiri??

Ujasiri ndio hitimisho la kukamilisha usomi wa mtu!! Ukiwa umesoma ukakosa ujasiri (uthubutu) ujue wewe ni bule kabisa" Bora wa la saba mara mia
 
Elimu ya kimapokea ni kirusi, inawezekana ni shambulio la kifikra dhidi ya jamii ya weusi

Musukuma na Lusinde wana akili kuzidi Muhongo na Assad, na wana akili kweli kwa maana ya uwezo wa kukabiliana na mazingira.

Muhongo na Assad ukiwapora makaratasi ndio basi tena

Nawashauri maprofesa hawa wajikite kufanya kazi za kitaaluma(Walizomudu kukariri) huku kwenye siasa wanajiaibisha
Kumkosoa Yesu wako wa Lugola ndiko kunawanyima hawa maprofesa akili? Na kumwiimbia mapambio mwendazake, ndio kunawapa akili hao ngumbaro?

Uwezo wako wa fikra na kuanisha mambo kisomi ni mkubwa, Wewe siyo tu Una akili, ni genius!
 
Tanzania haina wasomi, ina watu walioenda shule kukariri,ndomaana watu wengi elimu zao haziwasaidii kabisa.

Mimi akija mtu akanambia amesoma, ana PhD, masters au degree alafu hana hela, au anaongea pumba ambazo hata mtu wa form 4 anaejielewa hawezi ongea.

Namuona mpumbavu tu.Hatuwezi kukaa kusikiliza hoja zako,hata kama ni pumba eti tukubali kisa umesoma.Mimi nina ka degree kamoja,ila Jana nilimuelewa sana Msukuma.
Unamueleza zaidi Musukuma kwa sababu hata wewe upeo wako ni mdogo tu kama Musukuma!
Unamuelewa kirahisi kwasababu anaeleza lugha rahisi unayoielewa kama vile kumuomba Rais Magufuli wakasafishe kiroba cha mchanga wakapata milioni 16!
 
The fact kwamba hao wasomi walidharauliwa na wasio na elimu na wao wakakaa kimya mpaka hii post ikaja hapa, kunaleta mashaka na uwezo wao wa kutumia elimu Yao..na kibaya zaidi wameshindwa kutumia elimu Yao kuji defend against ya attacks za standard seven leavers.

SASA wataweza kutetea nchi pale mikataba iliyoandikwa Kwa ustadi Mkubwa na wasomi wabobezi wanaotumia small prints kuibia wajinga punde itakapoletwa kujadiliwa?

Yanayoendelea hapa nchini Kwa SASA inabidi yawe documented vizuri ili baadae vizazi vijavyo vijifunze namna ya kutokuwa wajinga.
Kwa hiyo Wewe unampinga mheshimiwa Mwinyi, Una shauri kichaa akichukua nguo zako akakimbia nazo, na wewe umkimbize tu, kengele la kanisa katokiki likinging’inia?
 
Wasomi walishajidhalilisha wenyewe, wacha wadhalilishwe sasa!! Kukimbilia siasa kumewafanya wajioneshe vichwa vyao ni vyeupe sana!!
 
Bungeni kwa sasa hakuna msomi. Wote level ya Jobu na kibajaji.
Mfano. Jobu utamuita msomi wakati mudabwote anampigia Mbowe vijembe Kama vile Ni mke mwenza au shemeji yake.
Kwanini nasema hivyo.
Hakuna msomi wa kweli anayeweza kubebwa Kama maiti kwenye uchaguzi na kujiona ameshinda uchaguzi kihalali.
Hata mijadala ya kisomi ya kina Msigwa, Sugu, professor, Mwepesi, haipo teenaa.
Tutaona mwaka huu kina
Gwajima
Babu tale
MPUSH
Kibajaji
Watakavyoichambua bajeti.
 
Back
Top Bottom