Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,055
- 2,671
Elimu ya kimapokea ni kirusi, inawezekana ni shambulio la kifikra dhidi ya jamii ya weusi
Musukuma na Lusinde wana akili kuzidi Muhongo na Assad, na wana akili kweli kwa maana ya uwezo wa kukabiliana na mazingira.
Muhongo na Assad ukiwapora makaratasi ndio basi tena
Nawashauri maprofesa hawa wajikite kufanya kazi za kitaaluma(Walizomudu kukariri) huku kwenye siasa wanajiaibisha
Musukuma na Lusinde wana akili kuzidi Muhongo na Assad, na wana akili kweli kwa maana ya uwezo wa kukabiliana na mazingira.
Muhongo na Assad ukiwapora makaratasi ndio basi tena
Nawashauri maprofesa hawa wajikite kufanya kazi za kitaaluma(Walizomudu kukariri) huku kwenye siasa wanajiaibisha