Jinsi wanawake wanavyochukulia Dhana ya "Kutongozwa"

Unaposema maisha unazungumzia General term, unaposema wanawake unazungumzia Specific term iliyopo kwenye maisha
Duh! Hii ndiyo elimu ya degree ya UDSM. Kwahiyo "wanawake" (plural) ni "specific term" ndani ya "general term" ya maisha. Aisee! It's complete nonsense, to say the least.
 
Labda useme Vijana wa siku hizi wanakimbia majukumu Yao.

Ku-focus na wanawake ni moja ya majukumu ya Mwanaume.
Unaposema maisha unazungumzia General term, unaposema wanawake unazungumzia Specific term iliyopo kwenye maisha

Mkuu umeanza kutupa Wanaume majukumu yako na kuyafanya ni ya wote...

Hakuna jukumu la mtindo huo kwa mwanaume,, ndio maana hata Adam aliletewa Eva na Mungu,, hakumtafuta... na Mwanae Yesu ndio aliachana kabisa na hizo habari...
 
Mkuu umeanza kutupa Wanaume majukumu yako na kuyafanya ni ya wote...

Hakuna jukumu la mtindo huo kwa mwanaume,, ndio maana hata Adam aliletewa Eva na Mungu,, hakumtafuta... na Mwanae Yesu ndio aliachana kabisa na hizo habari...

Labda hujui maana ya mwanaume kutawala dunia
 
Duh! Hii ndiyo elimu ya degree ya UDSM. Kwahiyo "wanawake" (plural) ni "specific term" ndani ya "general term" ya maisha. Aisee! It's complete nonsense, to say the least.

Hujui hata unazungumzia mambo mawili tofauti.

Umesoma morpheme na dhima zake ndio unaleta hapa😀😀

Yaani Plural na Specific unayaweka sehemu moja Kwa msingi upi😂😂

Kwamba Singularity & Plurality
Specifically & Generality

Kasome Concept hizi ili uelewe vyema Deductive reasoning vs. Inductive reasoning

Ukizielewa uje uchangie
 
Wewe ushasema Wanawake wanapenda kuwafurahisha Wanaume. Sasa mbona Gear imebadilika Kwamba Wanaume sasa Ndio wanapewa Jukumu la Kuwafurahisha Wao.

Mwisho wa siku Acha History nzuri (Mwanaume anasifiwa hivi. Kajenga..Kanunua Viwanja.. kaacha Urithi kwa Watoto wake ) na ukishakuwa katika kujenga Familia hutakuwa na Muda wa Kufukiria Kumfurahisha kiumbe mwingine anayetakiwa na Yeye Ajitahidi kuleta Watoto wa Kurithi mali zako

Hutakuja kusifiwa/Kuvuniwa kwa Mambo hayo uliyoandika
 
Hujui hata unazungumzia mambo mawili tofauti.

Umesoma morpheme na dhima zake ndio unaleta hapa😀😀

Yaani Plural na Specific unayaweka sehemu moja Kwa msingi upi😂😂

Kwamba Singularity & Plurality
Specifically & Generality

Kasome Concept hizi ili uelewe vyema Deductive reasoning vs. Inductive reasoning

Ukizielewa uje uchangie
Mumbo jumbo. "wanawake" ni singular? Acha kujifanya Mwanafalsafa na mjuaji sana na ushuzi wako unaouandika wewe kijana. I challenge yo to write a single paragraph in English next time.
 
Mumbo jumbo. "wanawake" ni singular? Acha kujifanya Mwanafalsafa na mjuaji sana na ushuzi wako unaouandika wewe kijana. I challenge yo to write a single paragraph in English next time.

😂😂😂

Sasa mkuu wewe mambo ya Singular Vs Plural si umeyaleta mwenyewe hapa.

Mimi nimezungumzia Specific Vs General
Nikakuambia Wanawake ni specific ambapo wapo kwenye set ya maisha ambayo ni General.
Unapozungumzia maisha unazungumzia ujumuishi wa kila unachokiona kwenye huu ulimwengu.

Singular Vs Plural
Mwanamke / Wanawake
Woman / Women

Man / Men
Mwanaume/ Wanaume
Haya maneno ni Nomino/Nouns lakini zipo Collective nouns ambazo huweza kutumia Plural only Kama vile Nguo, N.k.

General term inaweza kuwa Singular au Plural Kama utazingatia ishu za Grammar hasa mambo ya morpheme.
Halikadhalika Specific terms zinaweza kuwa Singular au Plural kutegemea na jinsi zilivyo Kwa kuzingatia Grammar.

Mfano;
Matunda ni General term inayojumuisha Maembe, mananasi, matikiti, machungwa n.k.
Lakini Neno matunda ni Plural, singular yake ni Tunda.
Lakini mtu hatajua ni tunda gani.
Ukisema Maembe ni specific kutoka kwenye matunda, ingawaje mtu pia hatajua ni embe gani embe ni embe

Hiyo ni Sarufi au Isimu Mkuu. Ningekushauri ukasome Kozi ya Semantiki na Pragmatiki katika Lugha iwe ya kingereza unachojivuna nacho au Kiswahili ambacho ni Lugha yako.
Maana wewe ndio ulionileta kwenye ishu za Lugha hasa Isimu, kasome UHIPONIMIA.
 
Wewe ushasema Wanawake wanapenda kuwafurahisha Wanaume. Sasa mbona Gear imebadilika Kwamba Wanaume sasa Ndio wanapewa Jukumu la Kuwafurahisha Wao.

Mwisho wa siku Acha History nzuri (Mwanaume anasifiwa hivi. Kajenga..Kanunua Viwanja.. kaacha Urithi kwa Watoto wake ) na ukishakuwa katika kujenga Familia hutakuwa na Muda wa Kufukiria Kumfurahisha kiumbe mwingine anayetakiwa na Yeye Ajitahidi kuleta Watoto wa Kurithi mali zako

Hutakuja kusifiwa/Kuvuniwa kwa Mambo hayo uliyoandika

Kwani Mimi nimebisha nayo uliyoyataja hapo,
Majukumu ya Mwanaume ni mengi na yote ni wajibu wake kuyatimiza.

Kwa akili yako unafikiri ukijenga Nyumba au ukinunua viwanja unafikiri unafanya hivyo Kwa ajili ya Nani?

Unafikiri bila ya wanawake haya yanayoendelea Duniani yangekuwepo?

Wanawake hutaka wanaume wanaojitambua watakayofanya wajibu wao sio tuu kujenga Nyumba, na kuwekewa Bali pia kujitawala hayo ndio humfurahisha Mwanamke.

Ili mwanamke akufurahishe itakupasa wewe uliyemwanaume ndiye uanze kumfurahisha.

Somo la Logic linawasumbua watu wengi Sana.

Sasa unasema unaacha Urithi Kwa watoto, HAO watoto unasehemu ya kuwazalia kwenye mwili wako? Si lazima wazaliwe na Wanawake au hilo hulijui. Unasema utaacha Urithi Kwa watoto wakati ili watoto wazaliwe ni lazima mwanamke aamue azae na wewe au laah! Vipi Kama akikubambikizia ukasema umeacha Urithi Kwa watoto wako kumbe WA mwanaume mwenzako.

Somo la Logic wengi bado sana

Wanawake wanapenda wanaume wenye Magari, majumba na Mali kumaanisha wanapenda wanaume wachapakazi,
 
JINSI WANAWAKE WANAVYOCHUKULIA DHANA YA "KUTONGOZWA"

Anaandika, Robert Heriel.
Asali ya Warembo!

Wanawake wapo complicated ukitumia akili ya kiume kuwatafakari, lakini ukitumia akili ya kike utawatambua vyema Kabisa na wala hawatakusumbua kuwaelewa.

Kama hauna akili ya kuwaelewa wanawake basi Taikon nitakushauri utumia mwanamke mmoja kuwaelewa wanawake. Kimsingi Wanawake wanajuana wao Kwa wao. Asijeakakuambia mtu kuwa wanawake hawajui wanachokitaka, sio kweli wanawake wanajitambua na wanajua kipi wakitakacho.

Kinachowafanya wanawake waonekane hawajui walitakalo ni kutokana na wao kutaka kuwafurahisha wanaume. Taikon nakuambia hivi, wanawake Jambo la Kwanza kwenye hii Dunia wanalolipenda ni kumfurahisha mwanaume, kuhakikisha mwanaume anamuona yeye ni wathamani, mwanamke siku zote hutafuta Kupendwa, naam kupendwa na Mwanaume.

Shida inajitokeza ni kuwa, Wanawake bado hawajui ni kipi mwanaume anataka,hapo ndipo hujaribu kila namna kuhakikisha wanakipata kila mwanaume atakacho. Katika hizo harakati ndizo humfanya mwanamke aonekane haeleweki. Jambo ambalo sio Kweli.

Hakuna kazi rahisi Kama kumjua mwanamke kwani wengi wao wapo Emotional, wanaongozwa na mihemko zaidi kuliko Akili. Kutowaelewa wanawake Kwa wanaume waliowengi kunatokana na wao kutumia zaidi hisia kuliko Akili. Kwa mtu atumiaye akili lazima awaelewe wanawake ni viumbe wanamna gani.

Kwa vile mwanamke ni kiumbe anayetumia hisia zaidi kuliko Akili, ni rahisi kujua kipi kimemkasirisha, kipi kimemfurahisha, kipi Hapendi na kipi anakichukia.

Mwanamke anayekupenda ni KAZI rahisi Sana kumjua, na hakuna Jambo wanawake wanalolichukia Kama kutowatambua, huwaga wanakuona ni mwanaume Bwege usiye na akili.
Sio ajabu wanawake wengi wanavutiwa na wanaume Bad boy, playerboy, kwani hao wanaakili za kujua nini mwanamke anataka, na wanajua kusoma moods za Wanawake.

Wanawake wanavutiwa na wanaume wajanja, werevu, ambao wao huwaita wacheshi na watundu,
Hakuna kazi ngumu Kama kumuiba mke WA Mtu mwerevu,mjanja, ambaye mke wake humuita mtundu na mcheshi,
Ila hata uwe na pesa au Cheo Kama sio Mwerevu, mjanja na Mkeo anakuona zona na sio mcheshi ni rahisi Mkeo kuibiwa na wajanja na werevu.

Wangapi Chuoni walitumia pesa zao kuwahonga wanawake na bado wasiambulie kitu, wakati kuna wahuni walikuwa wakipiga mademu haohao bure tena Kwa kuhongwa pesa.
Labda hujanielewa, isipokuwa mjanja na mwerevu wanawake watakutesa mno hata uwe na Pesa. Taikon ninaushahidi na Jambo hili.

Ni lazima ujue kusoma moods ya Mkeo wako au mwanamke, ujue muda huu mke au mwanamke huyu hataki maneno mengi, ujue muda huu anataka kucheka na kufurahi, ujue muda huu anataka tuu Stori labda na Drama za hapa na pale, ujue muda huu anahitaji mikwala na kufokewa kisha kubembelezwa, ujue muda huu anahitaji tuu kutulia kwenye kifua au kukumbatiwa, ujue muda huu mkeo anahitaji mshindani hivyo unatengeneza zengwe Kwa kujifumanisha kijimeseji kutoka Kwa mwanamke mwingine, kisha atakufokea na kupaniki wengine watataka kuipigia hiyo namba au kukuamrisha upige hiyo namba. Hapo utakachopaswa kufanya ni kumbembeleza Kwa kuomba Msamaha, kisha utamponda huyo aliyetuma SMS Kwa kiwango kitakachomridhisha Mkeo, wakati unaponda pia usisahau kumsifia Mkeo.
Mfano utasema;
"Yaani kuna wanawake wajinga Sana, wanaendekeza umalaya umalaya tuu, wanafikiri Mimi ni Kama HAO wanaume wapuuzi, mwanamke mwenyewe anasura mbaya Kama Kondoo la Boko haramu, Bora hata angekuwa na Sura nzuri Kama ya Mke wangu kipenzi(unataja jina lake huku unamshika USO wake, hapo anaweza kukuzuia usimshike, usijali Sana jua anahasira)"
Anaweza kukuambia; Kwa hiyo angekuwa na Sura nzuri ungemkubalia sio?
Mjibu; Thubutu! Sura nzuri angeitolea wapi, nilikuambia mke wangu kwenye hii Dunia hakuna anayefikia uzuri wako, wengine ni Kama vikatuni vya Tango(jitahidi ukitoa mifano awe anaijua).

Endelea; Mtu mwenyewe hana hata Shepu, hivi kweli mke wangu, niache msambwanda wote huu(huku ukiushika na kuutolea macho ya udenda, matamanio) niende Kwa Yule asiyejulikana anaenda au anarudi"
Jitahidi Sana USO na macho yako yafanane na maneno yako, onyesha hisia ili zizivute hisia za Mkeo si unajua wanawake wanaendeshwa na hisia. Kumbuka muda wote atakuwa anakuangalia macho na usoni kwani wanawake Kwa Jambo hili ni werevu Sana.
Ili kuondoa concentration yake kwenye USO wako kama unajijua haupo vizuri kwenye Drama ni Bora uwe unamchanganya Kwa kuzungumza huku unahamisha hamisha USO wako au kuzunguka, mara kushika kichwa basi ilimradi kutoa concentration yake kwako.

Kutongoza hakuishi, kutongoza kunaendelea hata baada ya kumpata Mkeo, mkiwa ndoani kutongoza ndio kunazidi zaidi kuliko kabla ya kuingia ndoani.

Kutongoza ni kitendo cha kumshawishi mtu Kwa kutumia mbinu mbalimbali za kuvutia.

Wanawake wengi Kama sio wote hupenda kutongozwa na watu wanaovutiwa nao.

Wanawake huchukulia kutongozwa Kama ishara ya heshima na ufahari ikiwa atatongozwa na mtu anayevutiwa naye. Mtu WA hadhi aitakayo.

Lakini mwanamke huchukulia pia kutongozwa Kama ishara ya kudharaulika na kudhalilishwa ikiwa atatongozwa na mtu asiyevutiwa naye au asiye WA hadhi anayoitaka.

Taikon niliwahi fanya uchunguzi katika mambo haya; nilifanya Kwa lengo la Kuwafunza la kupata Mafunzo ambayo baadaye ningeyatumia kuwafundisha Vijana wadogo.

Uchunguzi 01.
1. Kutongoza Wamama watu wazima!
Unashangaa, unaona ni aibu eeh! Mtanisamehe! Ni mambo ya udadisi.
Ukimtongoza mama mtu mzima ambaye anaumri unaokaribia umri wa Mama yako au zaidi. Haya yanaweza kujiri,
I/ Kama hakujui vizuri ataona umemdharau na hauna adabu, atalaani na atajiona umemdhalilisha.

ii/ Kama anakujua lakini unamaisha mabovu ataona umemdharau na hauna adabu, zingatia pia Kama unavaa vibaya ataona unalaana wewe.

iii/ Kama anakujua na unamaisha mazuri iwe ni KAZI ya kuajiriwa au kujiajiri inayokuingizia kipato alafu yeye anamaisha magumu basi hataona umemdharau ataona ufahari na atajivunia.

iv/ Kama anakujua unamaisha mazuri iwe Kwa kuajiriwa au kujiajiri na kipato kizuri alafu yeye naye anamaisha mazuri, hapo kuna mawili, Mosi, Kama mume wake amemtenga na hamjali Kwa kumpa mapenzi Bora uwe Kwa ubize au Kwa makusudi basi anaweza kuona mtongozo huo Kama heshima, ukombozi na sehemu ya faraja. Pili, Kama mume wake anamjali na kumpa mapenzi Bora basi atakutaka uachane na mpango huo, atataka muwe tuu marafiki. Na urafiki huo utakuwa WA mashaka kwani itategemeana huko ndoani kwake mahusiano Yao yanaendaje.

Kama Mwanamke anapenda au anakazi inayompa kipato kizuri au familia yake IPO njema, alafu kijana masikini ukamtongozo hapo ataona umemdharau Kwa kiwango cha juu kabisa, wanawake wanaongoza Kwa ubaguzi, ili uuteke moyo wake itakupasa ufanye maigizo ya kuwa mtanashati, uwe Mwerevu na alijue Jambo hilo sio Kwa maneno bali hata matendo, wanawake wote wanavutiwa na wanaume werevu Sana, jifanye unajali, hapa utakuwa upo 50/50 na Inategemea na ndoani kwake nini kinaendelea.

v/ Uchunguzi wangu unaonyesha kinachowafanya wamama wengi watoke ndoani ni upweke, wengi wanaishi ndoani lakini wametelekezwa kimapenzi na waume zao.
Ikiwa utamtongoza mwanamke mama aliyetrlekezwa kimapenzi ingawaje yupo ndoani basi mtongozo huo atauchukulia Kama Ukombozi na Faraja kwake.
Wanawake kiasili wanapenda maneno matamu na yafaraja.
Mtongozo ndio sehemu pekee ambayo mwanamke hupata maneno hayo.
Kitendo cha mwanaume kuacha kumtongoza Mkeo ni kutengeneza gap baina yako na yeye.

Uchunguzi huu sitaumalizia hapa, nilipata muda nitaueleza.
Hata hivyo lengo la uchunguzi huu ni kutaka kujua ni kitu gani kinasababisha wamama wakubali mitongozo ya Vijana au baadhi ya wamama wawatongeze Vijana.
Hata hivyo ninawaasa na kujiasa mwenyewe Kama Mwanaume, ikiwa uliamua kuingia ndoani au kuoa, basi kaa ukijua wanawake ndio viumbe rahisi kuishi navyo ikiwa utatumia akili tuu. Kero na ugeugeu wao ndio unakufanya uthibitishe wewe ni mwanaume kamili au umepungua.

Kwa upande wa Wasichana au wanawake wenye umri wa Kati ya 24-35.

I/ kutongozwa kwao ni ufahari ikiwa watatongozwa na watu wa hadhi wanayovutiwa nayo. Pia kutongozwa kwao huona Kama kudhalilishwa na kutukanwa wakati mwingine ni mkosi ikiwa atatongozwa na mtu asiye na mbele wala nyuma.

ii/ mwanamke usipomtongoza alafu akawa anavutiwa na wewe huchukia na huweza kukuona mtu mbaya usiyejiamini.
Zingatia pia Mwanamke anaweza kuvutiwa na wewe lakini akawa hakupendi(kumbuka hawanaga mapenzi ya dhati).
Kutomtongoza kutamfanya akuone unamdharau, unamuona sio lolote, hana uzuri ule auonao au watu wamuambiao.
Anataka umtongoze ili akukatalie, ili uwe chini ya himaya yake, ujione kwake huna lolote a umheshimu, hivyo mwanamke kama anavutiwa na wewe lakini hakupendi atataka umtongoze ili akukatalie ili yeye ndiye abaki kuwa na thamani.
Lakini usipomtongoza kwake itamuweka kwenye nafasi ya pili baada yako.
Jioni kusema kumtongoza mwanamke ambaye hakupendi Ila anavutiwa na wewe ni kujisalimisha mbele zake, na kumfanya awe namba moja.

Hii ipo pia Kwa Sisi wanaume, mwanamke kabla hujamtongoza lakini unavutiwa naye anakuwa nafasi ya Kwanza na anathamani lakini ukishamtongoza akakubali thamani yake inashuka anashika nafasi ya pili. Hapo bado hujambanjua, ukimbanjua anaweza kushika nafasi ya tatu mpaka ya kumi huko.

Hii inakuambia nini, ndio maana wanawake werevu Hapendi ukaribu na wanaume hovyohovyo ili kujipa Ile thamani yake, kadiri mwanamke anavyowakatalia wanaume ndivyo thamani yake inavyopanda zaidi na zaidi.
Na kadiri mwanaume anavyokataliwa na wanawake ndivyo thamani yake inavyoshuka chini Kabisa.
Sijui Kama naeleweka!

Zingatia, ni lazima usome saikolojia ya mtu husika, Kama anakupenda ujue anakupenda.

Na hii itakuwa ngumu Kwa wanawake kuwajua wanaume wanaowapenda tofauti na wanaume ambao kujua mwanamke anayempenda ni Jambo jepesi mno.

Taikon nimemaliza.
Niite mtu mahaba.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uko vizuri kwa uchambuzi
 
Wanawake bwana!
Kuna mmoja huku namkataza kuwasiliana na mtu but like hataki kuacha.Nikimwambia niache nenda kwa huyo hataki na inakuwa ugomvi na kwamba ninamfukuza kisa nilete wanawake.

Sasa nashindwa kumwelewa kabisa.Nikimtishia kumpa kofi anasema nipige tu ila usiniumize(japo siwezi mpiga mwanamke maisha yangu yote)anasema sikuachi.

Sasa hivi anataka nini huyu?
 
Wanawake bwana!
Kuna mmoja huku namkataza kuwasiliana na mtu but like hataki kuacha.Nikimwambia niache nenda kwa huyo hataki na inakuwa ugomvi na kwamba ninamfukuza kisa nilete wanawake.

Sasa nashindwa kumwelewa kabisa.Nikimtishia kumpa kofi anasema nipige tu ila usiniumize(japo siwezi mpiga mwanamke maisha yangu yote)anasema sikuachi.

Sasa hivi anataka nini huyu?

Anataka umuache ili akuelewe unachomwambja
 
Mwanaume usijaribu Kum Chase mwanamke we fanya mambo yako mfanye mwanamke aku Chase yeye
Hawa viumbe wanabadilika me huwa sijusumbui naishi ninavoweza ndo philosophy yang na bado wanajaa
Usijisumbue kumpambania mwanamke

Pinned pinned pinned
 
Mwanaume usijaribu Kum Chase mwanamke we fanya mambo yako mfanye mwanamke aku Chase yeye
Hawa viumbe wanabadilika me huwa sijusumbui naishi ninavoweza ndo philosophy yang na bado wanajaa
Usijisumbue kumpambania mwanamke
Uko sahihi mzee wa Ngara.
 
Taikoni wa fasihi nataka niulize hivi;

1. Hivi mwanzoni nikiwa namtongoza mwanamke kwa kumpa ATTENTION yangu yote, then baada ya kunikubali na nikafanikiwa kumvua nguo na kumto..**, vizuri Hadi orgasm then baadae nikamnyanganya ATTENTION yangu halafu nikachukua ATTENTION yake kwa kumfanyaa awe mtumwa kwangu, nitakuwa nimekosea?. Maana mwanamke akiwa anatumia nguvu nyingi kukunyenyekea mwanaume mi ndo naona FAHARI sana.

2.mkuu unajua maana ya chemical bond? Na unajua effects yake kwenye mahusiano.?

3. Mkuu inakuaje mke wa tajiri anatembea na fukara kabisa mwanaume asie kuwa na Dira ya maisha, na ndio yeye mwenyewe anayemtongoza na kumuhonga pesa, ili tu apewe utamu.?

4. Kwa Mimi Hadi Sasa, ili mwanamke asinikimbie ni lazima hivi vitu niwenavyo maisha yangu yote duniani.
  • fantastic sex, hapa naongelea unlimited orgasms.
  • Enough money, nikimanisha niwe na uwezo wa kumhudumia mwanamke maisha yake yote duniani.
  • Na mwisho ni CARE,/ATTENTION, kumjari hisia zake maisha yake yote duniani.
 
JINSI WANAWAKE WANAVYOCHUKULIA DHANA YA "KUTONGOZWA"

Anaandika, Robert Heriel.
Asali ya Warembo!

Wanawake wapo complicated ukitumia akili ya kiume kuwatafakari, lakini ukitumia akili ya kike utawatambua vyema Kabisa na wala hawatakusumbua kuwaelewa.

Kama hauna akili ya kuwaelewa wanawake basi Taikon nitakushauri utumia mwanamke mmoja kuwaelewa wanawake. Kimsingi Wanawake wanajuana wao Kwa wao. Asijeakakuambia mtu kuwa wanawake hawajui wanachokitaka, sio kweli wanawake wanajitambua na wanajua kipi wakitakacho.

Kinachowafanya wanawake waonekane hawajui walitakalo ni kutokana na wao kutaka kuwafurahisha wanaume. Taikon nakuambia hivi, wanawake Jambo la Kwanza kwenye hii Dunia wanalolipenda ni kumfurahisha mwanaume, kuhakikisha mwanaume anamuona yeye ni wathamani, mwanamke siku zote hutafuta Kupendwa, naam kupendwa na Mwanaume.

Shida inajitokeza ni kuwa, Wanawake bado hawajui ni kipi mwanaume anataka,hapo ndipo hujaribu kila namna kuhakikisha wanakipata kila mwanaume atakacho. Katika hizo harakati ndizo humfanya mwanamke aonekane haeleweki. Jambo ambalo sio Kweli.

Hakuna kazi rahisi Kama kumjua mwanamke kwani wengi wao wapo Emotional, wanaongozwa na mihemko zaidi kuliko Akili. Kutowaelewa wanawake Kwa wanaume waliowengi kunatokana na wao kutumia zaidi hisia kuliko Akili. Kwa mtu atumiaye akili lazima awaelewe wanawake ni viumbe wanamna gani.

Kwa vile mwanamke ni kiumbe anayetumia hisia zaidi kuliko Akili, ni rahisi kujua kipi kimemkasirisha, kipi kimemfurahisha, kipi Hapendi na kipi anakichukia.

Mwanamke anayekupenda ni KAZI rahisi Sana kumjua, na hakuna Jambo wanawake wanalolichukia Kama kutowatambua, huwaga wanakuona ni mwanaume Bwege usiye na akili.
Sio ajabu wanawake wengi wanavutiwa na wanaume Bad boy, playerboy, kwani hao wanaakili za kujua nini mwanamke anataka, na wanajua kusoma moods za Wanawake.

Wanawake wanavutiwa na wanaume wajanja, werevu, ambao wao huwaita wacheshi na watundu,
Hakuna kazi ngumu Kama kumuiba mke WA Mtu mwerevu,mjanja, ambaye mke wake humuita mtundu na mcheshi,
Ila hata uwe na pesa au Cheo Kama sio Mwerevu, mjanja na Mkeo anakuona zona na sio mcheshi ni rahisi Mkeo kuibiwa na wajanja na werevu.

Wangapi Chuoni walitumia pesa zao kuwahonga wanawake na bado wasiambulie kitu, wakati kuna wahuni walikuwa wakipiga mademu haohao bure tena Kwa kuhongwa pesa.
Labda hujanielewa, isipokuwa mjanja na mwerevu wanawake watakutesa mno hata uwe na Pesa. Taikon ninaushahidi na Jambo hili.

Ni lazima ujue kusoma moods ya Mkeo wako au mwanamke, ujue muda huu mke au mwanamke huyu hataki maneno mengi, ujue muda huu anataka kucheka na kufurahi, ujue muda huu anataka tuu Stori labda na Drama za hapa na pale, ujue muda huu anahitaji mikwala na kufokewa kisha kubembelezwa, ujue muda huu anahitaji tuu kutulia kwenye kifua au kukumbatiwa, ujue muda huu mkeo anahitaji mshindani hivyo unatengeneza zengwe Kwa kujifumanisha kijimeseji kutoka Kwa mwanamke mwingine, kisha atakufokea na kupaniki wengine watataka kuipigia hiyo namba au kukuamrisha upige hiyo namba. Hapo utakachopaswa kufanya ni kumbembeleza Kwa kuomba Msamaha, kisha utamponda huyo aliyetuma SMS Kwa kiwango kitakachomridhisha Mkeo, wakati unaponda pia usisahau kumsifia Mkeo.
Mfano utasema;
"Yaani kuna wanawake wajinga Sana, wanaendekeza umalaya umalaya tuu, wanafikiri Mimi ni Kama HAO wanaume wapuuzi, mwanamke mwenyewe anasura mbaya Kama Kondoo la Boko haramu, Bora hata angekuwa na Sura nzuri Kama ya Mke wangu kipenzi(unataja jina lake huku unamshika USO wake, hapo anaweza kukuzuia usimshike, usijali Sana jua anahasira)"
Anaweza kukuambia; Kwa hiyo angekuwa na Sura nzuri ungemkubalia sio?
Mjibu; Thubutu! Sura nzuri angeitolea wapi, nilikuambia mke wangu kwenye hii Dunia hakuna anayefikia uzuri wako, wengine ni Kama vikatuni vya Tango(jitahidi ukitoa mifano awe anaijua).

Endelea; Mtu mwenyewe hana hata Shepu, hivi kweli mke wangu, niache msambwanda wote huu(huku ukiushika na kuutolea macho ya udenda, matamanio) niende Kwa Yule asiyejulikana anaenda au anarudi"
Jitahidi Sana USO na macho yako yafanane na maneno yako, onyesha hisia ili zizivute hisia za Mkeo si unajua wanawake wanaendeshwa na hisia. Kumbuka muda wote atakuwa anakuangalia macho na usoni kwani wanawake Kwa Jambo hili ni werevu Sana.
Ili kuondoa concentration yake kwenye USO wako kama unajijua haupo vizuri kwenye Drama ni Bora uwe unamchanganya Kwa kuzungumza huku unahamisha hamisha USO wako au kuzunguka, mara kushika kichwa basi ilimradi kutoa concentration yake kwako.

Kutongoza hakuishi, kutongoza kunaendelea hata baada ya kumpata Mkeo, mkiwa ndoani kutongoza ndio kunazidi zaidi kuliko kabla ya kuingia ndoani.

Kutongoza ni kitendo cha kumshawishi mtu Kwa kutumia mbinu mbalimbali za kuvutia.

Wanawake wengi Kama sio wote hupenda kutongozwa na watu wanaovutiwa nao.

Wanawake huchukulia kutongozwa Kama ishara ya heshima na ufahari ikiwa atatongozwa na mtu anayevutiwa naye. Mtu WA hadhi aitakayo.

Lakini mwanamke huchukulia pia kutongozwa Kama ishara ya kudharaulika na kudhalilishwa ikiwa atatongozwa na mtu asiyevutiwa naye au asiye WA hadhi anayoitaka.

Taikon niliwahi fanya uchunguzi katika mambo haya; nilifanya Kwa lengo la Kuwafunza la kupata Mafunzo ambayo baadaye ningeyatumia kuwafundisha Vijana wadogo.

Uchunguzi 01.
1. Kutongoza Wamama watu wazima!
Unashangaa, unaona ni aibu eeh! Mtanisamehe! Ni mambo ya udadisi.
Ukimtongoza mama mtu mzima ambaye anaumri unaokaribia umri wa Mama yako au zaidi. Haya yanaweza kujiri,
I/ Kama hakujui vizuri ataona umemdharau na hauna adabu, atalaani na atajiona umemdhalilisha.

ii/ Kama anakujua lakini unamaisha mabovu ataona umemdharau na hauna adabu, zingatia pia Kama unavaa vibaya ataona unalaana wewe.

iii/ Kama anakujua na unamaisha mazuri iwe ni KAZI ya kuajiriwa au kujiajiri inayokuingizia kipato alafu yeye anamaisha magumu basi hataona umemdharau ataona ufahari na atajivunia.

iv/ Kama anakujua unamaisha mazuri iwe Kwa kuajiriwa au kujiajiri na kipato kizuri alafu yeye naye anamaisha mazuri, hapo kuna mawili, Mosi, Kama mume wake amemtenga na hamjali Kwa kumpa mapenzi Bora uwe Kwa ubize au Kwa makusudi basi anaweza kuona mtongozo huo Kama heshima, ukombozi na sehemu ya faraja. Pili, Kama mume wake anamjali na kumpa mapenzi Bora basi atakutaka uachane na mpango huo, atataka muwe tuu marafiki. Na urafiki huo utakuwa WA mashaka kwani itategemeana huko ndoani kwake mahusiano Yao yanaendaje.

Kama Mwanamke anapenda au anakazi inayompa kipato kizuri au familia yake IPO njema, alafu kijana masikini ukamtongozo hapo ataona umemdharau Kwa kiwango cha juu kabisa, wanawake wanaongoza Kwa ubaguzi, ili uuteke moyo wake itakupasa ufanye maigizo ya kuwa mtanashati, uwe Mwerevu na alijue Jambo hilo sio Kwa maneno bali hata matendo, wanawake wote wanavutiwa na wanaume werevu Sana, jifanye unajali, hapa utakuwa upo 50/50 na Inategemea na ndoani kwake nini kinaendelea.

v/ Uchunguzi wangu unaonyesha kinachowafanya wamama wengi watoke ndoani ni upweke, wengi wanaishi ndoani lakini wametelekezwa kimapenzi na waume zao.
Ikiwa utamtongoza mwanamke mama aliyetrlekezwa kimapenzi ingawaje yupo ndoani basi mtongozo huo atauchukulia Kama Ukombozi na Faraja kwake.
Wanawake kiasili wanapenda maneno matamu na yafaraja.
Mtongozo ndio sehemu pekee ambayo mwanamke hupata maneno hayo.
Kitendo cha mwanaume kuacha kumtongoza Mkeo ni kutengeneza gap baina yako na yeye.

Uchunguzi huu sitaumalizia hapa, nilipata muda nitaueleza.
Hata hivyo lengo la uchunguzi huu ni kutaka kujua ni kitu gani kinasababisha wamama wakubali mitongozo ya Vijana au baadhi ya wamama wawatongeze Vijana.
Hata hivyo ninawaasa na kujiasa mwenyewe Kama Mwanaume, ikiwa uliamua kuingia ndoani au kuoa, basi kaa ukijua wanawake ndio viumbe rahisi kuishi navyo ikiwa utatumia akili tuu. Kero na ugeugeu wao ndio unakufanya uthibitishe wewe ni mwanaume kamili au umepungua.

Kwa upande wa Wasichana au wanawake wenye umri wa Kati ya 24-35.

I/ kutongozwa kwao ni ufahari ikiwa watatongozwa na watu wa hadhi wanayovutiwa nayo. Pia kutongozwa kwao huona Kama kudhalilishwa na kutukanwa wakati mwingine ni mkosi ikiwa atatongozwa na mtu asiye na mbele wala nyuma.

ii/ mwanamke usipomtongoza alafu akawa anavutiwa na wewe huchukia na huweza kukuona mtu mbaya usiyejiamini.
Zingatia pia Mwanamke anaweza kuvutiwa na wewe lakini akawa hakupendi(kumbuka hawanaga mapenzi ya dhati).
Kutomtongoza kutamfanya akuone unamdharau, unamuona sio lolote, hana uzuri ule auonao au watu wamuambiao.
Anataka umtongoze ili akukatalie, ili uwe chini ya himaya yake, ujione kwake huna lolote a umheshimu, hivyo mwanamke kama anavutiwa na wewe lakini hakupendi atataka umtongoze ili akukatalie ili yeye ndiye abaki kuwa na thamani.
Lakini usipomtongoza kwake itamuweka kwenye nafasi ya pili baada yako.
Jioni kusema kumtongoza mwanamke ambaye hakupendi Ila anavutiwa na wewe ni kujisalimisha mbele zake, na kumfanya awe namba moja.

Hii ipo pia Kwa Sisi wanaume, mwanamke kabla hujamtongoza lakini unavutiwa naye anakuwa nafasi ya Kwanza na anathamani lakini ukishamtongoza akakubali thamani yake inashuka anashika nafasi ya pili. Hapo bado hujambanjua, ukimbanjua anaweza kushika nafasi ya tatu mpaka ya kumi huko.

Hii inakuambia nini, ndio maana wanawake werevu Hapendi ukaribu na wanaume hovyohovyo ili kujipa Ile thamani yake, kadiri mwanamke anavyowakatalia wanaume ndivyo thamani yake inavyopanda zaidi na zaidi.
Na kadiri mwanaume anavyokataliwa na wanawake ndivyo thamani yake inavyoshuka chini Kabisa.
Sijui Kama naeleweka!

Zingatia, ni lazima usome saikolojia ya mtu husika, Kama anakupenda ujue anakupenda.

Na hii itakuwa ngumu Kwa wanawake kuwajua wanaume wanaowapenda tofauti na wanaume ambao kujua mwanamke anayempenda ni Jambo jepesi mno.

Taikon nimemaliza.
Niite mtu mahaba.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Soma zuli
 
Mwanaume usijaribu Kum Chase mwanamke we fanya mambo yako mfanye mwanamke aku Chase yeye
Hawa viumbe wanabadilika me huwa sijusumbui naishi ninavoweza ndo philosophy yang na bado wanajaa
Usijisumbue kumpambania mwanamke
Kabisa man ni kuishi utakavyo atakaekupenda akupende hivyo hivyo ulivyo
ila ukitaka eti ujitengeneze ili mwanamke akupende utaumia mwenyewe
 
Back
Top Bottom