Galadudu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 2,304
- 780
Zamani wakat bado mdogo lakin nikiwa nimeanza kujitambua nilikuwa natamani sana kuja kuwa padri, baadae umri uliposogea sogea kidogo nikawa natamani kuwa dereva wa treni, ckuishia hapo, nikaanza kutamani kuja kuwa commando.....hee...!!
Nikadhani matamanio yameishia hapo, enzi za Tyson alipokuwa anawavunja taya wapinzani wake ulingoni "eti" na mi nikawa natamani kuwa bondia, hali hiyo ikanipelekea cku moja niende kwny kambi flan ya jeshi cku ya ijumaa kuangalia mazoez, nikajikuta nanogewa na mi nikaomba kupigana.
Nilidundwa vzr tu bondia machachari sana wa kike....!! nikaona isiwe shida sana, matamanio yangu yakahamia kuja kuwa mtangazaji wa kituo cha radio...nako cjui ikawaje, nikaanza kutamani kuja kuwa mcheza mpira tena nafac ya golikipa.....nashangaa cku hizi natamani sana kuja kuwa mwanamieleka......sasa kama kuna mtu ana uelewa wowote kuhusu mchezo huo hebu anielekeze japo kwa ufupi taratibu za kujiunga nao
Nikadhani matamanio yameishia hapo, enzi za Tyson alipokuwa anawavunja taya wapinzani wake ulingoni "eti" na mi nikawa natamani kuwa bondia, hali hiyo ikanipelekea cku moja niende kwny kambi flan ya jeshi cku ya ijumaa kuangalia mazoez, nikajikuta nanogewa na mi nikaomba kupigana.
Nilidundwa vzr tu bondia machachari sana wa kike....!! nikaona isiwe shida sana, matamanio yangu yakahamia kuja kuwa mtangazaji wa kituo cha radio...nako cjui ikawaje, nikaanza kutamani kuja kuwa mcheza mpira tena nafac ya golikipa.....nashangaa cku hizi natamani sana kuja kuwa mwanamieleka......sasa kama kuna mtu ana uelewa wowote kuhusu mchezo huo hebu anielekeze japo kwa ufupi taratibu za kujiunga nao