Jinsi Tundu Lissu Alivyojikaanga Kwa "Mafuta ya Taaluma Yake!!"

Ukweli lisu amehudhuria chuoni. Sasa anaponzwa na kubebeshwa maneno. Oh mwana sheria nguli. Ama kweli majanga
ooowoo makanga
 

Hebu nipe sababu zitakazoifanya Zanzibar ianze kuiheshimu Katiba ya Muungano wa "Serikali 3/Nchi 3!"
 
Chadema kama hawataangalia itakuja kuwakuta ya nccr mageuzi kipindi kile na ndiko wanakoelekea.
Mambo mengine wanakurupuka sana hasa likifikia suala limesemwa na mwanasheria tundu lissu basi bila utafiti wowote na hii mara nyingi huwa n kugharimu chama na kuonekana kama hakina mwelekeo.
Nguvu aliyotumia tundu lissu juzi kusema hakuna hati inasikitisha sana jaman kuna vitu vingine huitaji degree kufikiria haiwezekani suala kubwa kama hili hati kukosekana jaman tuwe na upeo mnatufanya hata ss tusio wanachama wa chama chochote kushindwa kuamua hasa nn kinatuongoza
 

Katika sheria zote ipi ambayo ilikuwa Ordinance? Mambo mengine unayarukia tu hata huyajui! Yaani Sheria ya mwaka 1978, 1992 au 2005 itungwe na Mkoloni? Watu wengine bwana!
 

Lissu anatoa uchafu kisha anajipaka yeye, that's the problem!
 
Sasa wewe mshazari...nakusemasema kote huko hiyo hati wewe umeiona?na kama umeiona una uhakika na ualali wake?kwani hakuna Samsung galaxy note 3 ya mchina na inafanana copyright na original?kwanza kikawaida mahali penye documents nyeti za kusaign maandalizi huwa mpaka kalamu za kusign zinaandaliwa...iweje Nyerere asign na kalamu ya blue then Karume asign na nyeusi hafifu?kama hati hiyo ni halali iweje tume halali ya warioba iliyopewa dhamana na Rais wanyimwe na hivyo kukabidhi Rasimu pasipo hata kuona sura ya hati?iweje vwai naodha aseme hati ipo UN wakati Msekwa anasema kilichopelekwa bungeni ni document ambazo hata hazikua na signature?...acha pumba wewe
 

Mkuu hujaelewa hata kidogo maana ya mada hii! Kama Muungano ni BATILI maana yake hata mchakato wenyewe wa kutunga Katiba Mpya ni BATILI
 
Nimeelewa sana....that's another issue...nilichojaribu kuchangia hapo ni suala kwamba haya hati hiyooooo...and that's all....nikasema suala hapa sio hati hiyoooo...issue ni uhalali wa hati hiyo...
 
Unamtaka nani akupe ushahidi kuwa ni hati halisi. Mtaje kwa jina unaye mwamini akuthibitishiye. Usiwe kama Tundu. Hili jina gumu sana.
 
Halafu tazameni hayo mapendekezo sasa huko KTK kuwapata viongozi hasa wabunge. Rasimu imependekeza wasomi na kweli wasomi na wameongeza siku 60 kama yalivyo andika magazeti ya Leo. Watakapo Julia viti na hizo kalamu tutakoma.
 
Katika sheria zote ipi ambayo ilikuwa Ordinance? Mambo mengine unayarukia tu hata huyajui! Yaani Sheria ya mwaka 1978, 1992 au 2005 itungwe na Mkoloni? Watu wengine bwana!

unajua sheria ya elimu ilitungwa mwaka gani wakati na kabla ya uhuru? acha kuangaika na usivovijua , na siwezi kuendelea kukuelimisha bure wewe, hii elimu tunaitoa kwa gharama sio bure, sasa unajifanya mbishi ili uelimishwe bure, kwa heri!
 
How, if I may ask?

I have heard him (Lissu) today elaborating the Nyerere saga and Article of Union signature controversies..., he has a valid point and he has used a very right approach. Very right approach, because, all of his explanations are based on facts, logical order, and very relevant assumptions.
 

Tundu Lisu katoa ufafanuzi vizuri kama MTU hataki kuelewa basi.
 
Muungano HARAMU huzaa nchi haramu(Tanzania), nchi haramu huundwa na watu haramu(watanzania).
Thanks TUNDU LISU, kwa kututukania baba wa taifa letu.tunashukuru kwa kumtukana MWENYEHERI NA MTAKATIFU MTARAJIWA. amini nakwambia, umeshachonga msalaba na UTABEBA KWA UCHUNGU MKUBWA KUELEKEA KATIKA ANGUKO LAKO KUU(KUSULUBIWA). time will be a vivid witness
 
Thread nyingine Bwana , yaani asiende shule kwa kuwa Chuo kimesajiriwa na serikali batili? Tusifanye biashara maana sharia za TRA na wizara ya Viwanda na Biashara ni za serikali batili? Tusinunue Viwanja maana Ardhi inasimamiwa na serikali Batili .What a shit!!!! Yaani uelewa wako ndo basi umeishia hapo? Huna tofauti na Lukuvi eti serikali tatu zitaleta mapinduzi ya kijeshi, au CCM eti vyama vingi vitaleta vita kama ya Rwanda na Burundi.
 
Kazi kweli kweli bado mpo tu na lisu. Kisha komba manoti huyoooo hadi pasaka tulivuuu. Wewe na mm tujaze pesa tu ktk haya makampuni ya cm. Faida kwa lisu na mitandaoni. Ndo uchungu wetu kwa taifa. Kujipa hasaraaaaa2
 
Tundu Lisu katoa ufafanuzi vizuri kama MTU hataki kuelewa basi.

Atoke Bungeni aendelee na shughuli zake, tumechoka dharau zake dhidi ya Mwasisi wa Taifa hili. After all kasomeshwa bure na baba wa Taifa leo analeta dharau hizi mbaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…