Jinsi TANESCO wanavyo fanya kazi kwenye umeme

SaaMbovu

JF-Expert Member
Oct 8, 2013
6,027
5,342
Hii hapa ni line yenye 220kV ambapo mafundi wanafanya kazi kukiwa na umeme (live line). Hapo amevaa coat ambalo lina block electromagnetic fields (Faraday Cage) pamoja na viatu na gloves. Ni kazi hatari zaidi ambayo lazima uwe well trained na ujasiri zaidi. Pia zipo kazi ambazo unafanya bila kuvaa coat na umeme upo. Hapa wakiwa Wana tight loose connection kwenye waya kama inavyoonekana. Na live line hawafanyi kazi umeme ukiwa umezimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • VID-20190129-WA0022.mp4
    10.9 MB · Views: 42
Hapa singida kabsa
Hii hapa ni line yenye 220kV ambapo mafundi wanafanya kazi kukiwa na umeme (live line). Hapo amevaa coat ambalo lina block electromagnetic fields (Faraday Cage) pamoja na viatu na gloves. Ni kazi hatari zaidi ambayo lazima uwe well trained na ujasiri zaidi. Pia zipo kazi ambazo unafanya bila kuvaa coat na umeme upo. Hapa wakiwa Wana tight loose connection kwenye waya kama inavyoonekana. Na live line hawafanyi kazi umeme ukiwa umezimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Transmission hao hela yao ni ndefu sana na nilisikia mkataba wao ni miaka kumi tu after there unapita ivi kuepusha athari za kimwili zaidi, Bongo maxium line zetu ni 400kV ila kwa china kuna line mpaka za 1000kV, Moja kati ya section zinazovuta mtonyo mrefu na night nyingi ni hawa jamaa wa transmission kazi yao kubwa ni kusafisha izo suspension disk mana tower ikiwa built basi ni ngumu sana kuanguka, Tanesco wapo Generation, Transmission na Distribution
 
Transmission hao hela yao ni ndefu sana na nilisikia mkataba wao ni miaka kumi tu after there unapita ivi kuepusha athari za kimwili zaidi, Bongo maxium line zetu ni 400kV ila kwa china kuna line mpaka za 1000kV, Moja kati ya section zinazovuta mtonyo mrefu na night nyingi ni hawa jamaa wa transmission kazi yao kubwa ni kusafisha izo suspension disk mana tower ikiwa built basi ni ngumu sana kuanguka, Tanesco wapo Generation, Transmission na Distribution
Na wakifanya kazi moja kama hiyo ndio siku imeisha hata kama itaisha saa 5 asubuhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hapa ni line yenye 220kV ambapo mafundi wanafanya kazi kukiwa na umeme (live line). Hapo amevaa coat ambalo lina block electromagnetic fields (Faraday Cage) pamoja na viatu na gloves. Ni kazi hatari zaidi ambayo lazima uwe well trained na ujasiri zaidi. Pia zipo kazi ambazo unafanya bila kuvaa coat na umeme upo. Hapa wakiwa Wana tight loose connection kwenye waya kama inavyoonekana. Na live line hawafanyi kazi umeme ukiwa umezimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuonyeshe na jinsi iyo tower ilivyofungwa
 
Nakijua kitengo Hicho kiko tanesco wanaitwa live line,mshahara wao ni mrefu na wanakufaga sana national grid ni 220000
Hakuna kuuzima
We hpa usinipimie wenzako wananiita field marshal usinichukulie poaaa nlipopita mm mwingine hawezi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, naomba kujua takwimu za vifo kwa watu wa Live/Hot line kwa mwaka jana na mwaka huu.
 
Back
Top Bottom