Ukraine: Ajali ya helikopta yaua 15 akiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani Denys Monastyrsky

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,525
Ukraine’s interior minister killed in helicopter crash

===============
Update: Swahili version

Uongozi wa wizara ya mambo ya ndani ya Ukraine wafariki katika ajali ya helikopta​

.

CHANZO CHA PICHA,GETTY/UKRAINE MFA
Maelezo ya picha,
Waziri wa Mambo ya Ndani Denys Monastyrsky na naibu waziri wa kwanza Yevhen Yenin.


Watu watatu wakuu katika wizara ya mambo ya ndani ya Ukraine wameuawa katika ajali ya helikopta kando ya kitalu katika kitongoji cha mashariki mwa mji mkuu Kyiv.

Waziri wa Mambo ya Ndani Denys Monastyrsky, 42, alikufa pamoja na naibu wake wa kwanza wa waziri na katibu wa serikali.

Watu 16 walikufa wakati helikopta hiyo ilipoanguka huko Brovary, wakiwemo watoto watatu, kulingana na maelezo yaliyosasishwa kutoka kwa rais wa Ukraine.

Bw Monastyrsky ndiye muathirika wa juu zaidi wa Ukraine tangu vita kuanza.

Naibu mkuu wa ofisi ya rais wa Ukraine, Kyrylo Tymoshenko, alisema waziri huyo alikuwa akielekea kwenye eneo lenye vita wakati helikopta yake ilipoanguka.

Kifo chake kilikata moyo wa serikali huko Kyiv kwani wizara ya mambo ya ndani ina jukumu muhimu la kudumisha usalama na kuendesha operesheni za maafisa wa polisi wakati wa vita.

Rais Volodymyr Zelensky amezungumzia mkasa mbaya uliogharimu maisha ya "wazalendo wa kweli".
Hakuna dalili kwamba ajali hiyo ni ajali, ingawa walioshuhudia walisema vita vya Urusi ndio chanzo cha maafa hayo.

"Kulikuwa na ukungu mwingi na hakukuwa na umeme, na wakati hakuna umeme hakuna taa kwenye majengo," mkazi wa eneo hilo Volodymyr Yermelenko aliambia BBC.

Maafisa wakuu wanasafirishwa kwa helikopta kote Ukraine katika kiwango cha miti, lakini hiyo inakuja na hatari.
Kilichotambulika kwa helikopta hiyo ni jopo la mlango na rota yake moja ambayo ilitua juu ya paa la gari.

Kando yake kulikuwa na miili mitatu iliyofunikwa kwa blanketi .

Jengo kuu la shule ya chekechea liliachwa likiwa limeharibiwa vibaya na ajali hiyo.


.

CHANZO CHA PICHA,REUTERS
Maelezo ya picha,
Ajali ya ndege Ukraine
Waziri huyo wa mambo ya ndani mwenye umri wa miaka 42 alikuwa mjumbe maarufu wa baraza la mawaziri la Rais Volodymy Zelensky.
Alikuwa sura inayotambulika kwa Waukraine wakati wote wa vita, akisasisha umma kuhusu hasara iliyosababishwa na mashambulizi ya makombora ya Urusi tangu Ukraine ilipovamiwa Februari 2022.
Maafisa wa Ukraine walisema waliokuwa kwenye helikopta hiyo ni pamoja na maafisa sita wa wizara na wafanyakazi watatu.
Naibu waziri wa kwanza Yevhen Yenin alikufa pamoja na katibu wa serikali Yurii Lubkovich, ambaye kazi yake ilikuwa kuandaa kazi ya wizara.
Kabla ya kuhamia wizara ya mambo ya ndani, Bw Yenin alisaidia kuwakilisha serikali ya Ukraine nje ya nchi.
Source:BBC Swahili
Isobel Koshiw

At least 15 people including Ukraine’s interior minister, Denys Monastyrsky, other senior officials and several children have been killed after their helicopter crashed by a kindergarten in a suburb of Kyiv.

A number of children at the school in Brovary were among the casualties after debris hit the building.

Officials gave no immediate account of the cause of the crash. However, the SBU state security service said it was investigating possible causes, including a breach of flight rules, a technical malfunction and the intentional destruction of the helicopter.

The Ukrainian president, Volodymyr Zelenskyy, described the crash as “a terrible tragedy” on a “black morning”. “The pain is unspeakable,” he wrote on Telegram.

Monastyrsky, who was responsible for the police and security in Ukraine, is the most senior Ukrainian official to die since the war began. The national police chief, Ihor Klymenko, said Monastyrsky had been killed along with his deputy and other senior ministry officials.

The death toll is rising after the helicopter of Ukraine's Emergency Service crashed near the kindergarten in Brovary, northeastern suburb of Kyiv
17 people got killed, including 2 kids, the head of Kyiv Oblast Administration Kuleba reports.
📷UNIAN pic.twitter.com/WhGrELmi98
— Euromaidan Press (@EuromaidanPress) January 18, 2023
The regional governor said 18 people had been killed but emergency services later announced a death toll of 15, and said 25 others had been injured, including 10 children.

“There were children and … staff in the nursery at the time of this tragedy. Everyone has now been evacuated. There are casualties,” the Kyiv region governor, Oleksiy Kuleba, wrote on Telegram.

Footage shows immediate aftermath of fatal helicopter crash in Ukraine – video
“For now, we are considering all possible versions of the helicopter crash accident,” Ukraine’s prosecutor general, Andriy Kostin, added amid suggestions it could take several days before the cause of the crash was established.

The helicopter appears to have been travelling to a frontline area in foggy conditions when it came down in an area where there are a number of tall buildings.

According to some claims, the crash occurred when the helicopter clipped the kindergarten through pilot error, although it was not clear why it was flying so low in a built-up area.

One witness said he saw the helicopter approach the neighbouring building from his kitchen window before falling sharply.

At the site of the crash a Guardian journalist saw a large crater between a residential building and the nursery.
The charred, burnt-out engine and tail wing of the helicopter is leaning against the entrance of the residential building and other parts of the helicopter are strewn between the building and the nursery.

Footage from the scene of the crash showed a large area around the kindergarten on fire in the immediate aftermath of the impact, and bodies lying in the street outside.

A helicopter has crashed near a kindergarten & residential block east of Kyiv in Brovary, say officials. Police are reporting casualties. pic.twitter.com/OsCxZBxlMZ
— James Waterhouse (@JamWaterhouse) January 18, 2023
In one picture, the helicopter’s main rotor could be seen embedded in a car roof. Inside the school, classrooms were littered with debris, with windows broken and walls scorched.

“We saw wounded people, we saw children. There was a lot of fog here, everything was strewn all around. We could hear screams, we ran towards them,” Glib, a 17-year-old local resident, told Reuters at the scene.
“We took the children and passed them over the fence, away from the nursery as it was on fire, especially the second floor,” he said.

Klymenko said in a statement that the helicopter had been carrying Monastyrskiy and eight others. Klymenko said Monastyrskiy’s deputy minister, Yevhen Yenin, and the state secretary, Yuriy Lubkovych, also died in the crash.

The investigation was being carried out by the security service of Ukraine, Klymenko said.

Ukraine’s first lady, Olena Zelenska, appeared emotional minutes before attending a World Economic Forum session in Davos, Switzerland. “Another very sad day today – new losses,” she said.

The forum president, Børge Brende, requested 15 seconds of silence after opening the session to honour the Ukrainian officials killed in the crash.

It came four days after a Russian missile strike on an apartment building in south-east Ukraine killed 45 civilians, including six children – the deadliest attack on civilians since the spring.

“Haven’t had time to recover from one tragedy, there is already another one,” said Kyrylo Tymoshenko, the deputy head of the Ukrainian presidential office.

Separately, Ukraine reported intense fighting overnight in the east of the country, where both sides have taken huge losses for little gain in intense trench warfare over the last two months.

Ukrainian forces repelled attacks in the eastern city of Bakhmut and the village of Klishchiivka just south of it, the Ukrainian military said. Russia has focused on Bakhmut in recent weeks, claiming last week to have taken the mining town of Soledar on its northern outskirts.

After big Ukrainian gains in the second half of 2022, the frontlines have hardened over the last two months. Kyiv says it hopes new western weapons will allow it to resume an offensive to recapture land, especially heavy tanks, which would give its troops mobility and protection to push through Russian lines.

Western allies will be gathering on Friday at a US airbase in Germany to pledge more weapons for Ukraine. Attention is focused in particular on Germany, which has veto power over any decision to send its Leopard tanks, which are fielded by armies across Europe and widely seen as the most suitable for Ukraine.

Berlin says a decision on the tanks will be the first item on the agenda of Boris Pistorius, its new defence minister.
Britain, which broke the western taboo by promising a squadron of its Challenger tanks, has called on Germany to approve the Leopards. Poland and Finland have said they would be ready to send Leopards if Berlin allows it.

Agencies contributed to this report
 
Kwamba Mtu akikuvamia Nyumbani kwako na kuanza kukupiga Usijitetee?
Siametaka mwenyewe kuvamiwa njia zilikuwepo za kuepusha maafa lakini yy aliamua kuchagua vita,russia na ukraine walishasaini mkataba wa amani kila mtu anatakiwa aufuate yy akauvunja kusudi kutegemea kuna watu watamsaidia matokeo yake wamekaa pembeni wanampa machuma apambane mwenyewe yy alijua wataingiza jeshi la nato kumsaidia
 
Siametaka mwenyewe kuvamiwa njia zilikuwepo za kuepusha maafa lakini yy aliamua kuchagua vita,russia na ukraine walishasaini mkataba wa amani kila mtu anatakiwa aufuate yy akauvunja kusudi kutegemea kuna watu watamsaidia matokeo yake wamekaa pembeni wanampa machuma apambane mwenyewe yy alijua wataingiza jeshi la nato kumsaidia
Mwana kulitaka mwana kulipata
 
Back
Top Bottom