pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 6,001
- 4,312
Ni Mtazamo tu.
Jaribuni kuchunguza sana,hizi sim zinapunguza uwezo wa kufikiri,zinachosha akili,zinauwa macho na kupunguza uwezo wa kuona vizuri,chanzo cha Taifa la wavivu.
Nenda Airport uangalie wenzetu wa magharibi uone kama wanashuka na midubwana hiyo,wanashuka na Sim Za kawaida sana.Maana hawataki usumbufu na wanajua hilo.
Maaan hizi zinaitwa sim za Kuuzia Sura,ukipanda boti basi watu wanashindana,maharusini ndio kabisaaa,full ushamba.
Halafu Kila nikiangalia Tamthilia na Maadhi ya Movies za majuu naona wanatumia sim za kawaida,sasa sijui hali ipoje.
Mie nilitumia siku moja ya jamaa,nikamuuliza hivi muda wote unafatua kitu kwenye sim na wakati mie yangu ni sekunde tu kila kitu mpango mzima.
Sasa umkute mtu kwenye Tigo pesa anatoa pesa ndio utaona kazi sasa.
kwa hyo hao wa magharib hawatumii sana hz simu?