Jotojiwe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 334
- 130
dah huwa natamani niendelee na simu za buttons maana hizi touch kweli nitatizo, simu za buttons nilikua naeza kuandika sms hata bila ya kutazama na ilikua na speed yake ila hapa kwa touch natulia kidogo.
naelewa hii technology imeanza nainaimarika, tunaitaji muda kuizoea, mfano, simu yangu sumsung gs3 ina text prediction so kila neno nalo andika pale pakupredict panapo kua bluu napagusa badae nikiwa naandika neno kama lile hujitokeza na kurahisisha uandishi.
naelewa hii technology imeanza nainaimarika, tunaitaji muda kuizoea, mfano, simu yangu sumsung gs3 ina text prediction so kila neno nalo andika pale pakupredict panapo kua bluu napagusa badae nikiwa naandika neno kama lile hujitokeza na kurahisisha uandishi.