Jamani si samaki tu kama papa? Jipapa! Kipapa! Na wengineo tatizo la kusoma shule za 'saints nanihii' hilo! Hata lugha nyepesi inakuwa taaaabu kuipata! Ndo maana mnapewa offside trick!
kweli ww unapepo ngoja nikuitie mchungaji humu akuombee maana damu yako imechanganywa na pepo la kufikiri mabaya kwani samaki ni nn?hujawahi kula weye??????/