Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Hommie itabidi tuzoee tu ndo ilishabadilishwa ivyoo!! ukumbuke kubadili Font kabla ya kupest!! Yaani hangover na font hizi tutasoma ndivyo sivyo!!Jamani mi mtanisamehe, hii kwakweli naona kama inanishinda vile.
Nimeimiss old JF.
Ile ndo inatufaa wazee wa hangover.
Samahani kama nimewakwaza.