tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,216
Aiseee, hivi hukumcheka mwanaume mwenzio kweli?
Na kweli hili linaweza kutokea, nanilimwambia tukiwa peke yetu mambo anyoyafanya yataatarisha ndoa yao kam ataendelea na mchezo huo, aliniapia kwamba hatarudia tena, Tuwaombee tu waishi vizuri
hata huyo housegirl aliyechunguliwa havai vimini, anavaa nguo utadhani sister, yaani ni ngumu kweli kuona hata goti lakeNdo hasara za kuleta mahauzgel wenye misembwede afu mke flat krini loh miye wangu ntamleta ambaye atazamiki kabisa na marufuku kuvaa vimini wala kukaa mabega wazi nyumbani kwangu ole wako nikukute
ila wanaume nyie !!!!!
tehe! tehe! tehe!....mkuu nielekeze huyo jamaa anapokaa maana mi ndo ugonjwa wangu huo (kula deo !)
Nimezabwa kofi huku kwa kuiangalia avatar yako.............!!!ha ha h ha nimependa hiyo kudondoka na ndooo
za mwizi kwel arobaini...anachunglia bila kula mzigo
Wengine hiyo ni ugonjwa wa akili hawawezi kuacha hata ungeshauri vp....Na kweli hili linaweza kutokea, nanilimwambia tukiwa peke yetu mambo anyoyafanya yataatarisha ndoa yao kam ataendelea na mchezo huo, aliniapia kwamba hatarudia tena, Tuwaombee tu waishi vizuri
Ni kweli kutokana na hulka za wanadamu wengine wanaweza kuacha tabia hiyo na wengine wakaendelea nayo, hapana hawapo Mwanza bali DarWengine hiyo ni ugonjwa wa akili hawawezi kuacha hata ungeshauri vp....
Huyo rafiki yako na mkeo wapo sekta ya afya ,makazi yao mwanza?
ha ha h ha nimependa hiyo kudondoka na ndooo
za mwizi kwel arobaini...anachunglia bila kula mzigo
Nimezabwa kofi huku kwa kuiangalia avatar yako.............!!!
ha ha h ha nimependa hiyo kudondoka na ndooo
za mwizi kwel arobaini...anachunglia bila kula mzigo
Ndo hasara za kuleta mahauzgel wenye misembwede afu mke flat krini loh miye wangu ntamleta ambaye atazamiki kabisa na marufuku kuvaa vimini wala kukaa mabega wazi nyumbani kwangu ole wako nikukute
ila wanaume nyie !!!!!