Jinsi nilivyonusurika kutapeliwa!

Jinsi nilivyonusurika kutapeliwa!

Ha ha ha ha. Umegutuka mwishoni,ambapo hata kama ni madawa wangekuwekea na kukupora. Shukuru Mungu yuko salama na hujaibiwa. Next time uwe makini.
 
Ha ha ha ha. Umegutuka mwishoni,ambapo hata kama ni madawa wangekuwekea na kukupora. Shukuru Mungu yuko salama na hujaibiwa. Next time uwe makini.
Yeah that's what it is!

Asanteh sana
 
poa poa kuwa makini
Kweli ofcourse kuna kitu nime-experince baada ya kukoswa koswa..
nimejua
1.tamaa ya pesa mbaya sana

2. Kuongea na mtu usiyemjua ni risk kubwa ambayo sometimes hutokea

3.usimwamini mtu ulimwengu umechacha
 
Kweli ofcourse kuna kitu nime-experince baada ya kukoswa koswa..
nimejua
1.tamaa ya pesa mbaya sana

2. Kuongea na mtu usiyemjua ni risk kubwa ambayo sometimes hutokea

3.usimwamini mtu ulimwengu umechacha
FACT KABISA
 
Mmh! Sijakupata vizur mkuu yaani bankers na walinzi huwa ndani ya dili au?
Kazi ya wale walinzi nikuhakikisha wanatizama mienendo ya watejaa na usalama ndani ya bank sasaa mtu unaingia bank hataa hujafika kwa cashier ushatolewa hiviii inakujajeeee
 
Vitu vingine ni kutumia akili kidogo tu, yaan kumsindikiza tu mtu ndio upewe milioni 1? Kirahisi tu? Ndio wale wale wa FOREX, acheze game kwenye PC halafu a-download pesa..
 
" Naogopa kwenda peke yangu kama vip nisindikizen kisha pesa zitazotoka nitawapa milioni moja moja"😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀...aisee..kirahisirahisi tu hivi😀😀
Si ungemwambia aombe escort ya polisi!
 
hv kweli mtu na akili zako timamu unamuamini vp mtu anaekwambia atakupa milion kwa kumsindikiza tuu??

wajinga ndo wanaoliwa siku zote
 
Sasa maelezo mbona yanakinzana na uhalisia.Yaani aogope kwenda Posta wakati kuja hapo mlipokutana hajaogopa?
Kwa akili za kawaida huoni kwamba hii ni stori ya kutunga tu?
 
MIMI MPK SASA NAJIULZA, MATAPELI WATAKUJA NA MBNU GAN HAD WAFANIKIWE KUNIIBIA? NAONA HAIPO TU.. LABDA WATUMIE BASTOLA NA HUO CYO UTAPELI NI UJAMBAZ.

WENG WANAOTAPELIWA NI WAPENDA DEZO NA TAMAA... MIMI NIKIWA BENK KWANZA NAKUWA BUSY, HALAFU MTU AKINIULZA MASWALI NAMJBU 'NENDA KWA WAHUSIKA'
 
Kazi ya wale walinzi nikuhakikisha wanatizama mienendo ya watejaa na usalama ndani ya bank sasaa mtu unaingia bank hataa hujafika kwa cashier ushatolewa hiviii inakujajeeee
Kwaiyo nao wanaujua mchezo sio?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom