omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,686
- Thread starter
- #41
Hahahahahaha ulifanya la mbolea mkuu, afu ni kama ukiendelea kuwasikiliza wanakupumbaza zaidi yani!Hao hawakuwa tofauti na wale wanaotembeaga na pambo la dhahabu halafu mwingine anajifanya eti ni mshamba hajui kama ni dhahabu kuna siku kuna walinifata mitaa ya lumum ba Mwanza niliwatia adabu maana niliwakwanyua mitama ya kutosha,watu wa namna hiyo usiwakubalie hata kuwasikiliza.
Lukwafya