Jinsi nilivyoitwa kwenye Interview SONGAS

Jinsi nilivyoitwa kwenye Interview SONGAS

JUAN MANUEL

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
8,324
Reaction score
17,911
Jana niripigiwa simu kwamba nihudhurie usaili leo mchana saa nane,sasa hawa jamaa sijui wanafikiri kila mtu anaishi Dar,mi nipo dodoma muda huo mpaka nipate usafiri wa dar,lazima ufike usiku wa manane,harafu asubuhi uwingie kwenye usaili,kichwa kinauma,ujalala,hiyo interview lazima uchemke.

Hawa jamaa nashindwa kuwaelewa kabisa,hii ni mara yapili sasa,mara ya kwanza walinipigia simu nikiwa BUKOBA,wakaniambia usaili kesho kutwa saa nne asubuhi,sasa kutoka bk mpaka dar,lazima ufike saa saba za usiku,nirifika nikiwa hoi mbaya,harafu saa nne asubuhi nikaingia kwenye usaili,shughuri ilikuwa pevu.

Hii ya jana imenishinda,kila la kheri kwa aliyeitwa,

WISH YOU ALL THE LUCKY
 
Hata hivyo tunashukuru wewe unayokazi tayari,maana mizunguko ya bukoba dar na dodoma sio kitu kuna jambo,so keep your spirit up.
 
Dodoma ukipanda mohamed trans ya saa kumi na mbili dar unafika saa 6 sema tu hutaki.
 
the same to me walinipigia jumatatu wakaniambia interview ni jumanne saa saba nikawaambia niko kazini na ni mbali Kilimanjaro wakanihamishia ijumaa saa saba mchana ngoja nikawasikilize vipi wako vizuri hawa jamaa
 
Jana niripigiwa simu kwamba nihudhurie usaili leo mchana saa nane,sasa hawa jamaa sijui wanafikiri kila mtu anaishi Dar,mi nipo dodoma muda huo mpaka nipate usafiri wa dar,lazima ufike usiku wa manane,harafu asubuhi uwingie kwenye usaili,kichwa kinauma,ujalala,hiyo interview lazima uchemke.

Hawa jamaa nashindwa kuwaelewa kabisa,hii ni mara yapili sasa,mara ya kwanza walinipigia simu nikiwa BUKOBA,wakaniambia usaili kesho kutwa saa nne asubuhi,sasa kutoka bk mpaka dar,lazima ufike saa saba za usiku,nirifika nikiwa hoi mbaya,harafu saa nne asubuhi nikaingia kwenye usaili,shughuri ilikuwa pevu.

Hii ya jana imenishinda,kila la kheri kwa aliyeitwa,

WISH YOU ALL THE LUCKY

Umefanya jambo jema kutokwenda! kazi kweli kweli!
 
inategemea mzee uliomba kazi ukiwa wap au anuan yako inaonesha wap,kama uliombea dar we ndo ulichemka, ila nao magumash kimtindo au wavivu wakufikiria,calln for interview its suppose to be 3days before,,,,,.
 
Angalieni sana current address zenu hzo. Kwa sababu mara nyingi wanaangalia current adress
 
Wehuu tu hao,wanapiga as if uko dar pumbav kbs afu huyo mtu nilimwambia wee unasema nije kesho unajua niliko na hujasoma adres yangu? Akajibu et ooh mi ntajuaje kuwa huendi kwa sasa uko dar.shenzy taip,nakwambia ipo siku zitasuswa acha watu wajiajiri kwanza,mtaishia kupata wale wahovyo na mtakuwa hamana choice bt to select among the poorest afu muone msipofilisika kuanzia mawazo mpk uchumi
 
Hawa jamaa ndivyo walivyo na wana kera kweli kweli. Bina nimewahifanyiwa ushenzi huo almost 4x,kwenye mashirika tofauti,isitoshe kwenye anuani naandika ya nyumbani Mbeya.
 
Back
Top Bottom