The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 836
Wasalm alaykum tena wana Jf.
Naam naamini wanaofatilia kile kinachoonekana na kuendelea pale Tianjin, China na katika mkutano wa kilele wa Shanghai cooperation organization.
Ndio, bwana Xi Jingpin amekusanya kila mwenye nguvu kutoka Russia kwa Vladimir Putin, mashariki ya kati kwa Ayatollah Ali Khamenei, Recep Tayyip hadi kule Asia kwa Kim Jong Un na wazir mkuu matata kabsa wa India Narendra Modi.
Hakuishi apo amekusanya Stan zote hapa nazungumzia Kazakhstan, Kyrgyzstan, Uzbekistan na Tajikistan.
Jeuri kabisa aliyoifanya amepokea meli za mafuta ghafi ya urusi wazi wazi tangu kuanza kwa vikwazo mwaka 2023 vya US na EU kwa urusi.
US atajibu vipi ni suala la kusubiria na kuona
Naam naamini wanaofatilia kile kinachoonekana na kuendelea pale Tianjin, China na katika mkutano wa kilele wa Shanghai cooperation organization.
Ndio, bwana Xi Jingpin amekusanya kila mwenye nguvu kutoka Russia kwa Vladimir Putin, mashariki ya kati kwa Ayatollah Ali Khamenei, Recep Tayyip hadi kule Asia kwa Kim Jong Un na wazir mkuu matata kabsa wa India Narendra Modi.
Hakuishi apo amekusanya Stan zote hapa nazungumzia Kazakhstan, Kyrgyzstan, Uzbekistan na Tajikistan.
Jeuri kabisa aliyoifanya amepokea meli za mafuta ghafi ya urusi wazi wazi tangu kuanza kwa vikwazo mwaka 2023 vya US na EU kwa urusi.
US atajibu vipi ni suala la kusubiria na kuona