Jinsi Mzungu alivyopiga chini uchawi kuanzia karne ya 14

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,311
4,019
Kuanzia karne ya 14 hadi miaka ya 1700, wachawi takribani 50,000 walikuwa wameuliwa kwa njia kuchomwa moto, kukatwa vichwa au kunyongwa.

Hadi kufikia karne ya 17, usakaji na uuaji wa wachawi ulikuwa umeshatapakaa ulaya nzima.

Matukio ya kwanza ya kusaka na kuua wachawi yalitokea katika sehemu za Italy, France na Germany. Kwa mfano kama moja ya witch hunt kubwa ilikuwa ni ile ya Bamberg, Germany, kuanzia 1626 hadi 1631. Watu 900 waliokutwa na hatia ya kufanya uchawi walichomwa moto hadi kufa.

Ukuaji wa Ukristo katika jamii za kiizungu na pia ukuaji wa hurka ya kuwa hawatapiga maendeleo yoyote kama jamii ya wachawi wakiwepo ndio iliopelekea wafanye maamuzi ya kuwaangamiza wachawi. Kwa maana kabla ya hapo matukio mabaya yaliyokuwa yanawatokea na mengine ya kushtukiza yalishilikishwa na wachawi.

Matukio kama vifo vya watoto, kutopata mazao na magonjwa yalio magumu kutibika, ndio vitu vilihusihwa na wachawi na jamii hizi zihakikisha haviendelei tena.

Impact ya movement hii imepelekea kutokuwa na dhana kubwa au kutokuwa tena kesi yoyote kubwa ya uchawi katika kizazi hiki cha sasa kwenye jamii za wazungu.

Screenshot_20230719_082909_Chrome.jpg
 

The University of Queensland

my.UQ






  • Home
  • Witchcraft & Demonology in Early Modern Europe & Its Colonies

Witchcraft & Demonology in Early Modern Europe & Its Colonies (HIST2411)​

Course level​

Undergraduate

Faculty

Humanities and Social Sciences

School

Historical & Philosophical Inq

Units

2

Duration​

One Semester

Class hours

Lecture 2 Hours/ Week
Tutorial 1 Hour/ Week

Incompatible

HS253, HT354

Assessment methods


Transcription Exercise, Participation, Research Essay and Take Home Exam

Course enquiries

Dr Debra Parish

Study Abroad

This course is pre-approved for Study Abroad and Exchange students.

Current course offerings​

Course offeringsLocationModeCourse Profile
Semester 1, 2023 (20/02/2023 - 17/06/2023)St LuciaIn PersonCOURSE PROFILE
Please Note: Course profiles marked as not available may still be in development.

Course description​

Addresses social implications of belief in devils and witches. Examines writings on demonology, and impact of particular beliefs in relation to witch trials and question of women as witches. This course may not run if there are fewer than 20 enrolments.

Archived offerings​


The University of Queensland
Brisbane St Lucia, QLD 4072
+61 7 3365 1111
Other Campuses:
UQ Gatton, UQ Herston
Maps and Directions
© 2023 The University of Queensland

A MEMBER OF​

Universities Australia Universitas 21 edX Group of Eight
Privacy & Terms of use | Feedback
Authorised by: Academic Registrar
ABN: 63 942 912 684
CRICOS: 00025B
TEQSA: PRV12080

QUICK LINKS​

SOCIAL MEDIA​

EXPLORE​

EMERGENCY​

Ph. 3365 3333
24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
 
Kuanzia karne ya 14 hadi miaka ya 1700, wachawi takribani 50,000 walikuwa wameuliwa kwa njia kuchomwa moto, kukatwa vichwa au kunyongwa.

Hadi kufikia karne ya 17, usakaji na uuaji wa wachawi ulikuwa umeshatapakaa ulaya nzima.

Matukio ya kwanza ya kusaka na kuua wachawi yalitokea katika sehemu za Italy, France na Germany. Kwa mfano kama moja ya witch hunt kubwa ilikuwa ni ile ya Bamberg, Germany, kuanzia 1626 hadi 1631. Watu 900 waliokutwa na hatia ya kufanya uchawi walichomwa moto hadi kufa.

Ukuaji wa Ukristo katika jamii za kiizungu na pia ukuaji wa hurka ya kuwa hawatapiga maendeleo yoyote kama jamii ya wachawi wakiwepo ndio iliopelekea wafanye maamuzi ya kuwaangamiza wachawi. Kwa maana kabla ya hapo matukio mabaya yaliyokuwa yanawatokea na mengine ya kushtukiza yalishilikishwa na wachawi.

Matukio kama vifo vya watoto, kutopata mazao na magonjwa yalio magumu kutibika, ndio vitu vilihusihwa na wachawi na jamii hizi zihakikisha haviendelei tena.

Impact ya movement hii imepelekea kutokuwa na dhana kubwa au kutokuwa tena kesi yoyote kubwa ya uchawi katika kizazi hiki cha sasa kwenye jamii za wazungu.




View attachment 2693052

Kuupinga uchawi kunaendana sambamba na kupinga nguvu za Mungu.
Hiyo Ipo automatically.

Watu wanaoamini Uchawi hauna nguvu wanauwezekano wa kuamini Mungu Hana nguvu
 
Kuanzia karne ya 14 hadi miaka ya 1700, wachawi takribani 50,000 walikuwa wameuliwa kwa njia kuchomwa moto, kukatwa vichwa au kunyongwa.

Hadi kufikia karne ya 17, usakaji na uuaji wa wachawi ulikuwa umeshatapakaa ulaya nzima.

Matukio ya kwanza ya kusaka na kuua wachawi yalitokea katika sehemu za Italy, France na Germany. Kwa mfano kama moja ya witch hunt kubwa ilikuwa ni ile ya Bamberg, Germany, kuanzia 1626 hadi 1631. Watu 900 waliokutwa na hatia ya kufanya uchawi walichomwa moto hadi kufa.

Ukuaji wa Ukristo katika jamii za kiizungu na pia ukuaji wa hurka ya kuwa hawatapiga maendeleo yoyote kama jamii ya wachawi wakiwepo ndio iliopelekea wafanye maamuzi ya kuwaangamiza wachawi. Kwa maana kabla ya hapo matukio mabaya yaliyokuwa yanawatokea na mengine ya kushtukiza yalishilikishwa na wachawi.

Matukio kama vifo vya watoto, kutopata mazao na magonjwa yalio magumu kutibika, ndio vitu vilihusihwa na wachawi na jamii hizi zihakikisha haviendelei tena.

Impact ya movement hii imepelekea kutokuwa na dhana kubwa au kutokuwa tena kesi yoyote kubwa ya uchawi katika kizazi hiki cha sasa kwenye jamii za wazungu.




View attachment 2693052
ninyi ambao hamjawahi ata kufika ulaya, huwa mnaamini wazungu sio wachawi. kwa taarifa yako, wazungu ni wachawi kuliko hata wabongo. hata kwenye biashara huwa wanafanya sana uchawi. ujerumani yenyewe huwa mtu hafungui biashara au kampuni bila kwenda kwa mtambuzi/mganga.
 
Kuanzia karne ya 14 hadi miaka ya 1700, wachawi takribani 50,000 walikuwa wameuliwa kwa njia kuchomwa moto, kukatwa vichwa au kunyongwa.

Hadi kufikia karne ya 17, usakaji na uuaji wa wachawi ulikuwa umeshatapakaa ulaya nzima.

Matukio ya kwanza ya kusaka na kuua wachawi yalitokea katika sehemu za Italy, France na Germany. Kwa mfano kama moja ya witch hunt kubwa ilikuwa ni ile ya Bamberg, Germany, kuanzia 1626 hadi 1631. Watu 900 waliokutwa na hatia ya kufanya uchawi walichomwa moto hadi kufa.

Ukuaji wa Ukristo katika jamii za kiizungu na pia ukuaji wa hurka ya kuwa hawatapiga maendeleo yoyote kama jamii ya wachawi wakiwepo ndio iliopelekea wafanye maamuzi ya kuwaangamiza wachawi. Kwa maana kabla ya hapo matukio mabaya yaliyokuwa yanawatokea na mengine ya kushtukiza yalishilikishwa na wachawi.

Matukio kama vifo vya watoto, kutopata mazao na magonjwa yalio magumu kutibika, ndio vitu vilihusihwa na wachawi na jamii hizi zihakikisha haviendelei tena.

Impact ya movement hii imepelekea kutokuwa na dhana kubwa au kutokuwa tena kesi yoyote kubwa ya uchawi katika kizazi hiki cha sasa kwenye jamii za wazungu.




View attachment 2693052
Asilimia kubwa, Ukristo wa Kiprotestanti ndo ilichangia pia kwenye mapinduzi ya kimaendeleo Ulaya. Uhuru wa kuabudu na kutotawaliwa na Kanisa lililoko Vatican ilishunudia watu wakawa na akili mtambuka na kupelekea kwnye mapinduzi ya viwanda pale Uingereza.
 
ninyi ambao hamjawahi ata kufika ulaya, huwa mnaamini wazungu sio wachawi. kwa taarifa yako, wazungu ni wachawi kuliko hata wabongo. hata kwenye biashara huwa wanafanya sana uchawi. ujerumani yenyewe huwa mtu hafungui biashara au kampuni bila kwenda kwa mtambuzi/mganga.
Ni kweli, Uchawi wa kizungu ni highest level of supernatural coordination kuliko uchawi wa Kiafrika.
 
huwa naamini primitive stage tuliyopo sasa waliipitia Wazungu miaka mingi sana huko, na njia pekee ya kumalizana na primitive stage sio democrasia ya Mzungu bali ni ukatili na umafia mwingi.
 
Kuanzia karne ya 14 hadi miaka ya 1700, wachawi takribani 50,000 walikuwa wameuliwa kwa njia kuchomwa moto, kukatwa vichwa au kunyongwa.

Hadi kufikia karne ya 17, usakaji na uuaji wa wachawi ulikuwa umeshatapakaa ulaya nzima.

Matukio ya kwanza ya kusaka na kuua wachawi yalitokea katika sehemu za Italy, France na Germany. Kwa mfano kama moja ya witch hunt kubwa ilikuwa ni ile ya Bamberg, Germany, kuanzia 1626 hadi 1631. Watu 900 waliokutwa na hatia ya kufanya uchawi walichomwa moto hadi kufa.

Ukuaji wa Ukristo katika jamii za kiizungu na pia ukuaji wa hurka ya kuwa hawatapiga maendeleo yoyote kama jamii ya wachawi wakiwepo ndio iliopelekea wafanye maamuzi ya kuwaangamiza wachawi. Kwa maana kabla ya hapo matukio mabaya yaliyokuwa yanawatokea na mengine ya kushtukiza yalishilikishwa na wachawi.

Matukio kama vifo vya watoto, kutopata mazao na magonjwa yalio magumu kutibika, ndio vitu vilihusihwa na wachawi na jamii hizi zihakikisha haviendelei tena.

Impact ya movement hii imepelekea kutokuwa na dhana kubwa au kutokuwa tena kesi yoyote kubwa ya uchawi katika kizazi hiki cha sasa kwenye jamii za wazungu.




View attachment 2693052
Hili likitokea Tz, taifa lote litaangamia, bila shaka wachache watakaobaki, wataanza upya wakiwa huru na huu ujinga!
 
Mshana Jr UNA LIPI LA KUSEMA HAPA MWANANGU?
Niko hapa nasoma. Ila tusome hapa tuelimike zaidi


Mungu mkuu, Mfalme Suleiman na Ars Goetia (mapepo 72 ya kuzimu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko hapa nasoma. Ila tusome hapa tuelimike zaidi


Mungu mkuu, Mfalme Suleiman na Ars Goetia (mapepo 72 ya kuzimu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ni mmoja tu, zumaridi.
 
Back
Top Bottom