Jinsi Mgambo alivyonidhalilisha mbele ya Askari Polisi

Jinsi Mgambo alivyonidhalilisha mbele ya Askari Polisi

Aisee na ukamuacha? Ulivyorudi kitaa hauku mtega? Mambo ya Kuabishana au kuosheana nishakataa siku nyingi.
 
Aisee
Yaani hii nchi imekuwa na vijana wa hovyo mpaka wanakubali kukamatwa na mgambo?
Enzi zetu mgambo alikuwa na kazi ya kulinda sokoni na stendi ya basi
hizi simu janja zimewafanya mafala sana
 
Aisee
Yaani hii nchi imekuwa na vijana wa hovyo mpaka wanakubali kukamatwa na mgambo?
Enzi zetu mgambo alikuwa na kazi ya kulinda sokoni na stendi ya basi
hizi simu janja zimewafanya mafala sana
Aisee na ukamuacha? Ulivyorudi kitaa hauku mtega? Mambo ya Kuabishana au kuosheana nishakataa siku nyingi.
Nimemnyoosha kweli kweli. Nitaleta mrejesho na picha kabisaaa
 
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.

Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.

Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.

Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.
Sijui,lakini kwa jinsi ilivyo Bora wanangu nilime nao kuliko kuwa maaskari,noma,noma!
 
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.

Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.

Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.

Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.
tupe mrejesho . ulishamfanya nini mgambo
 
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.

Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.

Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.

Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.

Pole mkuu,nimecheka kama mazuri
 
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.

Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.

Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.

Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.


Sio mtu mbaya, bora kakuzalilisha kwa askari wasio na maana Kwako kuliko angefanya kwingine, kacheza tu script kuonyesha yuko kikazi, ingekuwa Mimi ni Wewe nisingekuwa na kinyongo hata kidogo!
 
Sio mtu mbaya, bora kakuzalilisha kwa askari wasio na maana Kwako kuliko angefanya kwingine, kacheza tu script kuonyesha yuko kikazi, ingekuwa Mimi ni Wewe nisingekuwa na kinyongo hata kidogo!
Script ya kunitwanga mikofiiii?
 
Inategemeana na mazingira mkuu, huku kwetu ukigoma watakuja hata mgambo wa 5 watakunyoosha hatariii. Pia askari ni kama wamewakabidhi mgambo ofisi.
Ni wapi huko mgambo anapokuwa na nguvu ya kumkamata mtu kama askari polisi.
Mimi nilijua kazi ya mgambo ni kufukuzana na watu wa sokoni wanapopewa kibali maalumu cha kufanya hivyo.
 
Sio sawa na Askari polisi ni zaidi ya Askar polisi
Ni wapi huko mgambo anapokuwa na nguvu ya kumkamata mtu kama askari polisi.
Mimi nilijua kazi ya mgambo ni kufukuzana na watu wa sokoni wanapopewa kibali maalumu cha kufanya hivyo.
 
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.

Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.

Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.

Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.
Hili,limewahi kunitokea kiburugwa magenge 20,nitukio ambalo siwez lisahau.
Wema uliniponza.
 
Pole ilikuwa lazima aoneshe yeye ni Nani mbele za maboss zake ,na usisahau pia wengi hudharauliwa mtaani haikuwa na namna zaidi ya kujitoa inferiority complex
 
Back
Top Bottom