Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 20,218
- 24,550
Uko wapi ? Dar ? Nitakuchangia hela bouncerAkhsante mkuu.
Uko wapi ? Dar ? Nitakuchangia hela bouncerAkhsante mkuu.
Kisasi ni haki.Achana na hayo Mambo mkuu. Usijazwe upepo humu ukajikuta umeanza kuishi Kwa wasiwasi.
PoaKisasi ni haki.
Super Mnyenyuo.mgambo akakupiga tanganyika jeki😂😂😂😂.
Mgambo mtu wa ovyo sana.
Nimecheka kama mazuri🤣🤣🤣!Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.
Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.
Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.
Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.
Msamehe tu ni mtu dhaifu huyo.Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.
Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.
Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.
Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.
Sijui alimwonaje Mwamba yani!!mgambo akakupiga tanganyika jeki😂😂😂😂.
Mgambo mtu wa ovyo sana.
Halafu nyieee! 😁😁🤣🤣😏Twambie vizuri alikupiga jeki au alikutia madole
Pole sana mkuu 😀😀Acha tu mkuu, na inachora maungo yote ya mwili, yaani nikikumbuka napata hasira.....
😂😂 qmmke nmecheka knomaTwambie vizuri alikupiga jeki au alikutia madole
QmqmqkoTwambie vizuri alikupiga jeki au alikutia madole
Next time atakufira...yaan wanaume wa dar ni usenge mtupu,unaonewa halaf unatulia tu unakuja kubwabwaja nyuma ya keyboard utamnyoosha...ungemnyoosha palepale kama kwel we mwamba!!! Yaan unashikwa matakoni kiunon na mwanaume mwenzako we umetulia tu...fala ww🚮🚮🚮Haina shida ila Ntamnyoosha
Mbona umekasirika sana mkuu? Njoo na wewe akushike sasa kama ni raha. AlaaaaaaNext time atakufira...yaan wanaume wa dar ni usenge mtupu,unaonewa halaf unatulia tu unakuja kubwabwaja nyuma ya keyboard utamnyoosha...ungemnyoosha palepale kama kwel we mwamba!!! Yaan unashikwa matakoni kiunon na mwanaume mwenzako we umetulia tu...fala ww🚮🚮🚮
Daaaah nmecheka knoma 😂😂😂😂😂😂Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.
Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.
Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.
Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.