Jinsi Mgambo alivyonidhalilisha mbele ya Askari Polisi

Jinsi Mgambo alivyonidhalilisha mbele ya Askari Polisi

Tatizo ni wewe kukubali kuwa mnyonge kisa upo polisi. Alivyokugeuka na kuwa aggressive baada ya kuona polisi na wewe ungemjaza upepo.

Kwenye mitikasi ya maisha lazima ujue kumjaza mtu upepo. Mimi kuna siku nilikuwa taasisi moja ya serikali muda ambao hauruhisiwi, nilikuwa sijui sasa wale walinzi wa Suma JKT wakataka wanipeleke polisi baada ya mimi kuanza kuwatukana kutokana na majibu yao mabaya. Niliwajaza upepo kama dk 10 wakapiga simu polisi gari iletwe kuna mtu analeta fujo, kwakuwa nilikuwa sijavunja sheria yoyote nikatoka nje ya geti nikawaambia kesho narudi.

Kesho yake nikarudi tena nikawakuta nikapita bila kuwaambia naenda ofisi gani na hakuna aliyenihoji tena maswali yao ya kijinga.
Mgambo wanapiga kuliko askari, wanakua kama mbwa yule anayepewa amri
 
Umekosea ilitakiwa umpige ngumi za kutosha na mtie madole mbele ya hao ngadu...
Anyway sasa make sure unamuua hawez kukudhalilisha kiboya hvyo mwanaume... Kill him
 
Dogo ukapigwa Tanganyika jeki 😁😁😁 huna lolote la kumfanya ni sawa na mbwa koko tu anaebweka si ajabu next time akakushika matako na usimfanye chochote😁😁😁 utaishia tu kusema ntamnyoosha qmmk wallahi😁😁😁🤣 wanaume wa dar bhana🚮🚮
Haina shida ila Ntamnyoosha
 
Umekosea ilitakiwa umpige ngumi za kutosha na mtie madole mbele ya hao ngadu...
Anyway sasa make sure unamuua hawez kukudhalilisha kiboya hvyo mwanaume... Kill him
Subiri mrejesho ITV au Millard Ayo. Ntamnyoosha
 
Huyo mi nisingelala kabisa mpaka nimalizane nae kwake kabisa

Unapataje usingizi mtu kakufanyia mangesa ya hovyo hiyo

Fata hata na panga kama mbavu huna au rungu
Adhabu yako mahakaman itakuwa miez mitatu au 6 lakin utatoka tu ila huku hakikisha mtu anakuwa mlemavu na anapoteza sifa za kuwa mgambo ulemavu kwanza
 
Ntamnyoosha. Mtapata mrejesho kama sio ITV basi Millard Ayo.
😂😂😂😂😂
Subiri mrejesho ITV au Millard Ayo. Ntamnyoosha
Acha kutuvunja mbavu yani ulishindwa kugoma kwako nyumbani dhidi ya mgambo leo ashakufikisha kituoni tena juu juu harafu unasema utamnyosha mtaani😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂

Acha kutuvunja mbavu yani ulishindwa kugoma kwako nyumbani dhidi ya mgambo leo ashakufikisha kituoni tena juu juu harafu unasema utamnyosha mtaani😂😂😂😂
Sio kwamba nilishindwa kugoma, mi niliitikia wito vizuri tu, na tulienda kituoni huku tunazungumza, cha ajabu ameona maafande akangeuka, NTAMNYOOSHA
 
Huyo mi nisingelala kabisa mpaka nimalizane nae kwake kabisa

Unapataje usingizi mtu kakufanyia mangesa ya hovyo hiyo

Fata hata na panga kama mbavu huna au rungu
Adhabu yako mahakaman itakuwa miez mitatu au 6 lakin utatoka tu ila huku hakikisha mtu anakuwa mlemavu na anapoteza sifa za kuwa mgambo ulemavu kwanza
Mkuu Witch hunter pokea ushauri kwa mtu asiye na mbele wala nyuma hapa, ila akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Achana na hayo Mambo mkuu. Usijazwe upepo humu ukajikuta umeanza kuishi Kwa wasiwasi.
 
Ndugu zangu niliona uzi humu ukikataza kuwa na urafiki na askari polisi, ila mimi nakazia zaidi hata hawa mgambo ni wa hovyoo tu.

Kuna mgambo alikuja kwangu kunipa taarifa kwamba nahitajika kituo cha polisi akanipa na sababu ya wito, basi sikuwa na hiyana nikamwambia twende. Kwa kuwa nafahamika hapa mtaani hakuona haja ya kunifunga pingu kama wahalifu wengine hivyo tulitembea mdogo mdogo kuelekea kituoni huku tukipiga story mbili tatu maana ni mtu tunayejuana.

Cha ajabu tulipokaribia kufika kituoni, na baada ya kuona askari pale kituoni, mgambo yule alinigeukia na kuniuliza kwa ukali “unataka kugoma? Unataka kugoma? Hata wale askari walimsikia. Kabla sijamjibu akashika suruali yangu kwa nyuma akaniinua nikaanza kutembelea vidole, kisha akaanza kunipiga huku tukielekea kuingia kabisa kituoni tena mbele ya askari.

Sikutaka kufanya fujo maana askari wa Bongo nawajua, ila nimemtunza tu huyu mgambo. Ipo siku mtamsikia kwenye vyombo vya khabari. I SWEAR ON MY LIFE.
Pole sana mkuu....nimeumia sana sana....sipendi uonevu hata
 
Back
Top Bottom