G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,651
- 8,699
Nijuachi mimi pesa inahesabu kulingana na gari ilivyopita kuhesabu umbali.lakini umbali kuuchukua toka kwenye navigation ndo uubadili kua umbali wa gari ilivyotembea na hata kama haikupita huko mi naona haiwezekani.na huo mchoro unaouona ni kwamba google inatambua baadhi ya barabara ambazo ndo barabara kuu,hivyo unaweza kua unaelekea kulia lakini mchoro hapo kwenye simu yako ikakuchorea upo kushoto au upo pembezoni mwa barabara kuu inayoonyesha ulipaswa kupita na kumbe google haitambui barabara mnayopita kwa muda huo ndo sababu ya mchoro wa ramani kukaa hivyo kwenye screen yako ya simu