Bwana uber
Member
- Jul 30, 2018
- 22
- 33
Umetumwa boya wewe,mteja hawezi kuibiwa kijinga hivo
Pitia hicho kiambatanisho unaweza kupata mawiliSijapata picha kwasababu sijawahi kutumia uber,kwani kuna mfumo wa Ku calculate gharama za kusafiri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nimepata mwanga,sasa kwenye kigezo cha time,kwa mfano kukiwa kuna foleni,gharama inakuwa kubwa / ndogo ,na kwenye airport charge sijaelewa hapo
Hapo nimepata mwanga,sasa kwenye kigezo cha time,kwa mfano kukiwa kuna foleni,gharama inakuwa kubwa / ndogo ,na kwenye airport charge sijaelewa hapo
Sawa mama. Msalimie mumeo.Umetumwa boya wewe,mteja hawezi kuibiwa kijinga hivo
Solution ya haraka hapa kabla hujalipa angalia ramani mliotembea. Wewe umetoka mfano posta unaenda ubungo, barabara imenyooka kabisa, ila ukiangalia ramani inaonyesha mmepita Kamata mkatokea kariakoo mkaenda Bugurui mkatokea Magomeni mkazunguka Tandale mkafika sinza kisha ubungo lazima uwe na mashaka na ukatae kulipa.Kuna dereva aliwahi kuniibia, ila sikuhizi natoa ile bei elekezi. Pia mleta mada nilijua utatoa solution
Sent using Jamii Forums mobile app
IkawajeKuna siku jamaa aliniletea hizo habari nikamwambia mimi nilivyokuwa nnaita imeniambia 4000 - 5000 kutoka pale kairuki hadi survey nikamwambia nionyeshe hiyo route...nilijikuta nimezunguka hadi sea cliff
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyewe alijishtukia nikampa 5000 tuu, akasema atawasiliana na uber
Hapo ulimuwin. Unajua hawa jamaa wanachukulia watu wote ni maboya hivyo rahisi kuibia.Mwenyewe alijishtukia nikampa 5000 tuu, akasema atawasiliana na uber
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani dereva alikua ni mhitimu wa chuo cha ardhi aliyekosa ajira!Hiyo ya pili ladba ni pamoja na gharama za 'mchoro'
Tatizo wengi walifeli Map Reading ndo mana ...sasa ukimwambia asome ramani ni kama unataka kumrudisha darasani....Solution ya haraka hapa kabla hujalipa angalia ramani mliotembea. Wewe umetoka mfano posta unaenda ubungo, barabara imenyooka kabisa, ila ukiangalia ramani inaonyesha mmepita Kamata mkatokea kariakoo mkaenda Bugurui mkatokea Magomeni mkazunguka Tandale mkafika sinza kisha ubungo lazima uwe na mashaka na ukatae kulipa.
Kwa sasa silipi bila kuangalia ramani.
Mfikishane au akufikishe?kabla ya kuita taxi kuna bei elekezi unapewa kwa tripu yako kwamba ni 4000~5000 na kwenye google map inaelekeza njia ya kupita
Kulipishwa 17000 tutafikishana polisi tu