proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,574
- 11,757
Labda ni mgeniUmepotea jukwaa mkuu....uku ni kwa mzee ndalichako..huu izii upelekwe sehemu husika haraka iwezekanavyo
.
.
Labda ni mgeniUmepotea jukwaa mkuu....uku ni kwa mzee ndalichako..huu izii upelekwe sehemu husika haraka iwezekanavyo
.
.
Elimu ni nini!??Umepotea jukwaa mkuu....uku ni kwa mzee ndalichako..huu izii upelekwe sehemu husika haraka iwezekanavyo
.
.
Aliye watungia syllabus wa Afrika ndio ametuuaLabda ni mgeni
Jukwaa la mapenz,urafik bado lipoElimu ni nini!??
Nimekuuliza elimu ni nini, kaka.Jukwaa la mapenz,urafik bado lipo
Hujapenda badoKila nikilala nikiamka nafuta idadi ya unnecessary people wote kwenye kichwa changu, haijawahi kunipa changamoto hiyo kitu.
Sure IMadhara makubwa mno ambayo si rahisi kwa mtu wa kawaida kuyajua.
By rasta
c) Tambua hakuna mahusiano makubwa kama mahusiano yako mwenyewe.
Appreciate brotherPoint. Kama huna furaha na mahusiano yako binafsi hutakuwa na furaha kwenye mahusiano na mtu mwingine.
Never ever expect someone else to make you happy. Make yourself happy.
Hahahahaha kusahau inaweza ikashindikana ila kutokumuwaza inawezekanaIt is practically impossible to forget your ex-lover for 100%.The best u can do is 99% only if u are married.
Ndio hivyo mkuu nilimaanisha ivyo piaHahahahaha kusahau inaweza ikashindikana ila kutokumuwaza inawezekana
Pamoja sana bossNdio hivyo mkuu nilimaanisha ivyo pia
Pamoja aisee,,, hivi kwa mfano ukiwa na maex 10 unaweza kuwasahau wote hao hata kama utafanya jitihada kubwa kwenye fikra zako?Pamoja sana boss
Time heal everything, and everything start with your imagination.. Ni maamuzi tuPamoja aisee,,, hivi kwa mfano ukiwa na maex 10 unaweza kuwasahau wote hao hata kama utafanya jitihada kubwa kwenye fikra zako?
Haya mkuu... And ofcoz time heals.Time heal everything, and everything start with your imagination.. Ni maamuzi tu