Jinsi Katiba inavyoiumbua CHADEMA

Jinsi Katiba inavyoiumbua CHADEMA

Kwa kuilazimisha ACT na NCCR mageuzi kufanya siasa katika majimbo yao ( moja moja) waliposhinda, na si kokote kwingine, tayari imevunjwa ibara ya 20 (2)d
 
Kwa kuilazimisha ACT na NCCR mageuzi kufanya siasa katika majimbo yao ( moja moja) waliposhinda, na si kokote kwingine, tayari imevunjwa ibara ya 20 (2)d
Hapo unaenda vizuri sana. Hebu sasa endelea kusoma mpaka ibara ya 31. Utaelewa sasa tunaongelea nini hapa.
 
sasa ni wapi katiba imempa mamlaka rais ya kutoa tamko la kudhibiti shughuli za kisiasa kwa jinsi atakavyojisikia?katiba imetoa uhuru kwa sheria kutungwa au kutekeleza sheria ambazo zitaweka limitations kwa haki zilizofafanuliwa katika ibara hiyo<rejea vizuri ibara ya 30>.kumbuka sheria hutungwa na bunge siyo rais
 
Wewe ndiye unatakiwa ueleze wapi katiba imetoa uhuru wa mtu kuandamana. Kuanzia ibara ya kwanza mpaka ya mwisho kwenyekatiba hakuna sehemu katiba imempa raia haki ya kuandamana.
Soma katiba wewe acha kulishwa maneno hewa na akina Lisu
Unajua wewe ni mbumbumbu wa sheria ila itabidi nikueleweshe maana hivi vitu unavyoviletea ushabiki wenzio tumesoma miaka 4 chuoni ni hivi sasa nina katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania version ya kiingereza

Art. 15.-(1) Every person has the right to freedom and to live as a free person.

(2) For the purposes of preserving individual freedom and the right to live as a free person, no person shall be arrested, imprisoned, confined, detained, deported or otherwise be deprived of his freedom save only-

(a) under circumstances and in accordance with procedures prescribed by law; or

(b) in the execution of a judgment, order or a sentence given or passed by the court following a decision in a legal proceeding or a conviction for a criminal offence.

has a freedom of opinion and expression of his ideas;
has out right to seek, receive and, or disseminate information regardless of national boundaries;
has the freedom to communicate and a freedom with protection from interference from his communication;
has a right to be informed at all times of various important events of life and activities of the people and also of issues of importance to the society.

18. Every person - Freedom of expression

(a)has a freedom of opinion and expression of his ideas;
(b)has out right to seek, receive and, or disseminate information regardless of national boundaries;
(c)has the freedom to communicate and a freedom with protection from interference from his communication;
(d)has a right to be informed at all times of various important events of life and activities of the people and also of issues of importance to the society.

Political Parties Act Cap 258 of Laws of Tanzania
11. —(1) Every party which has been provisionally or fully registered shall be entitled-

  1. a) to hold and address public meetings in any area in the United Republic after

    giving notification to the police officer in-charge of the area concerned for

    purposes of publicizing itself and soliciting for membership;

  2. b) to the protection and assistance of the security agencies for the purposes of

    facilitating peaceful and orderly meetings:
    provided that provisional registration shall not entitle any party to put up a candidate or to campaign for any candidates in any parliamentary or presidential election or in a local authority election.

    Katiba ni sheria mama hivyo inatoa maneno ya uhuru wa kutoa mawazo, sasa jinsi gani hayo mawazo yanafikishwa ni by holding and addressing public meeting in any area in the United Republic of Tanzania inakupaswa uellewe msingi mkuu wa UKUTA ni kupinga huko kupiga marufuku kufanyika kwa siasa Tanzania kwa kigezo cha haujachaguliwa hio sehemu umenielewa...Mr Layman
 
Unajua wewe ni mbumbumbu wa sheria ila itabidi nikueleweshe maana hivi vitu unavyoviletea ushabiki wenzio tumesoma miaka 4 chuoni ni hivi sasa nina katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania version ya kiingereza

Art. 15.-(1) Every person has the right to freedom and to live as a free person.

(2) For the purposes of preserving individual freedom and the right to live as a free person, no person shall be arrested, imprisoned, confined, detained, deported or otherwise be deprived of his freedom save only-

(a) under circumstances and in accordance with procedures prescribed by law; or

(b) in the execution of a judgment, order or a sentence given or passed by the court following a decision in a legal proceeding or a conviction for a criminal offence.

has a freedom of opinion and expression of his ideas;
has out right to seek, receive and, or disseminate information regardless of national boundaries;
has the freedom to communicate and a freedom with protection from interference from his communication;
has a right to be informed at all times of various important events of life and activities of the people and also of issues of importance to the society.

18. Every person - Freedom of expression

(a)has a freedom of opinion and expression of his ideas;
(b)has out right to seek, receive and, or disseminate information regardless of national boundaries;
(c)has the freedom to communicate and a freedom with protection from interference from his communication;
(d)has a right to be informed at all times of various important events of life and activities of the people and also of issues of importance to the society.

Political Parties Act Cap 258 of Laws of Tanzania
11. —(1) Every party which has been provisionally or fully registered shall be entitled-

  1. a) to hold and address public meetings in any area in the United Republic after

    giving notification to the police officer in-charge of the area concerned for

    purposes of publicizing itself and soliciting for membership;

  2. b) to the protection and assistance of the security agencies for the purposes of

    facilitating peaceful and orderly meetings:
    provided that provisional registration shall not entitle any party to put up a candidate or to campaign for any candidates in any parliamentary or presidential election or in a local authority election.

    Katiba ni sheria mama hivyo inatoa maneno ya uhuru wa kutoa mawazo, sasa jinsi gani hayo mawazo yanafikishwa ni by holding and addressing public meeting in any area in the United Republic of Tanzania inakupaswa uellewe msingi mkuu wa UKUTA ni kupinga huko kupiga marufuku kufanyika kwa siasa Tanzania kwa kigezo cha haujachaguliwa hio sehemu umenielewa...Mr Layman
Kama kweli wewe upo mwaka wa nne unasoma sheria chuo. Ninakuhakikishia uta fail.

Soma hiyo sura nzima inayo elezea haki. Ukifika ibara ya 29,30 na 31 haki zote hizo zinaondolewa. Utaona tena hizo haki zinaondolewa na mamlaka kutokana na sababu kadha. Sababu moja wapo ni maslahi ya umma.

Soma hiyo kati vizuri ili uweze kufaulu. Nchi ikiwa na uhuru na haki ambazo hazina mipaka itakuwa nchi ya vichaa.
 
Kama kweli wewe upo mwaka wa nne unasoma sheria chuo. Ninakuhakikishia uta fail.

Soma hiyo sura nzima inayo elezea haki. Ukifika ibara ya 29,30 na 31 haki zote hizo zinaondolewa. Utaona tena hizo haki zinaondolewa na mamlaka kutokana na sababu kadha. Sababu moja wapo ni maslahi ya umma.

Soma hiyo kati vizuri ili uweze kufaulu. Nchi ikiwa na uhuru na haki ambazo hazina mipaka itakuwa nchi ya vichaa.
Hiyo ni clawback clause, inaweka limitations kwenye haki za binadamu. Hata hivyo kama umefuatilia case mbalimbali zilizoelezea article 30 bado neno public interest haina tafsiri inayoeleweka.

Zaidi ya hapo ibara hiyo inalipa bunge mamlaka ya kutunga sheria na kuderogate haki za binadamu kwa maslahi ya umma rejea kesi ya Dominick mbushuu v R, Penal Code ni moja ya mfano wa utekelezaji wa clawback clause. Siyo Rais anayetakiwa atekeleze ibara ya 30 bali bunge linatakiwa kuja na sheria.

Kwa mfano katika swala la maandamano ya vyama vya siasa hayaingii hapo kwa sababu hiyo ibara inaongelea haki za binadamu. Tofautisha haki za binadamu na haki za chama cha siasa. Vyama vya siasa nchini Tanzania baada ya kuingia vyama vingi vina prevelege yake kuna vifungu vya katiba vilikuwa repealed kupisha sheria ya vyama vya siasa. Ukisoma ibara ya 5.3.2 ya katiba yetu inaeleza wazi kwamba mambo yote yahusuyo uendeshaji wa vyama vya siasa yapo kwenye sheria husika iliyotungwa na bunge hivyo basi sheria ya vyama vya siasa ina nguvu kuliko sheria za polisi kwenye haya mambo ya siasa

Anyway unaonekana hujasoma sheria. Inauma pale wengine tunasoma miaka minne sheria halafu unakuja kubishana na mtu aliyekariri ibara moja tu siku njema.
 
Hiyo ni clawback clause, inaweka limitations kwenye haki za binadamu. Hata hivyo kama umefuatilia case mbalimbali zilizoelezea article 30 bado neno public interest haina tafsiri inayoeleweka.

Zaidi ya hapo ibara hiyo inalipa bunge mamlaka ya kutunga sheria na kuderogate haki za binadamu kwa maslahi ya umma rejea kesi ya Dominick mbushuu v R, Penal Code ni moja ya mfano wa utekelezaji wa clawback clause. Siyo Rais anayetakiwa atekeleze ibara ya 30 bali bunge linatakiwa kuja na sheria.

Kwa mfano katika swala la maandamano ya vyama vya siasa hayaingii hapo kwa sababu hiyo ibara inaongelea haki za binadamu. Tofautisha haki za binadamu na haki za chama cha siasa. Vyama vya siasa nchini Tanzania baada ya kuingia vyama vingi vina prevelege yake kuna vifungu vya katiba vilikuwa repealed kupisha sheria ya vyama vya siasa. Ukisoma ibara ya 5.3.2 ya katiba yetu inaeleza wazi kwamba mambo yote yahusuyo uendeshaji wa vyama vya siasa yapo kwenye sheria husika iliyotungwa na bunge hivyo basi sheria ya vyama vya siasa ina nguvu kuliko sheria za polisi kwenye haya mambo ya siasa

Anyway unaonekana hujasoma sheria. Inauma pale wengine tunasoma miaka minne sheria halafu unakuja kubishana na mtu aliyekariri ibara moja tu siku njema.

Ndugu hiyo ibara hii hapa. Au wewe unaongelea katiba ya nchi gani?

5.-(1) Kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka
kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi
unaofaywa Tanzania na wananchi. Na haki hii itatumiwa kwa
kufuata masharti ya ibara ndogo ya (2) pamoja na masharti
mengineyo ya Katiba hii na ya Sheria inayotumika nchini
Tanzania kuhusu mambo ya uchaguzi.
(2) Bunge laweza kutunga sheria na kuweka masharti
yanayoweza kuzuia raia asitumie haki ya kupiga kura kutokana
na yoyote kati ya sababu zifuatazo, yaani raia huyo-
(a) kuwa na uraia wa nchi nyingine;
(b) kuwa na ugonjwa wa akili;
(c) kutiwa hatiani kwa makosa fulani ya jinai;
(d) kukosa au kushindwa kuthibitisha au kutoa
kitambulisho cha umri, uraia au uandikishwaji kama
mpiga kura,
mbali na sababu hizo hakuna sababu nyingine yoyote
inayoweza kumzuia raia asitumie haki ya kupiga kura.
(3) Bunge litatunga Sheria ya Uchaguzi na kuweka
masharti kuhusu mambo yafuatayo-
(a) kuanzisha Daftari la Kudumu la Wapiga kura na
kuweka utaratibu wa kurekebisha yaliyomo katika
Daftari hilo;
(b) kutaja sehemu na nyakati za kuandikisha wapiga
kura na kupiga kura;
(c) utaratibu wa kumwezesha mpiga kura
aliyejiandikisha sehemu moja kupiga kura sehemu
nyingine na kutaja masharti ya utekelezaji wa
utaratibu huo;
(d) kutaja kazi na shughuli za Tume ya Uchaguzi na
utaratibu wa kila uchaguzi ambao utaendeshwa
chini ya uongozi na usimamizi wa Tume ya
Uchaguzi.



Nakushangaa kama kweli unajiita umesoma sheria labda uli fail.
Kwani haki ipi katika katiba imetoa specific kwa ajiri ya vyama vya siasa.
Vyama vya siasa vinapata nguvu kutokana na ibara:-

18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru
kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta,
kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo
chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa
mawasiliano yake kutoingiliwa kati.
(2) Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu
matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu
kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala
muhimu kwa jamii.


Lakini ukiendelea kusoma sura hiyo ukifika ibara ya 29 inasema:- Soma vizuri 29.5

29.-(1) Kila mtu katika Jamhuri ya Muungano anayo haki ya
kufaidi haki za msingi za binadamu, na matokeo ya kila mtu
kutekeleza wajibu wake kwa jamii, kama zilzivyofafanuliwa katika
ibara ya 12 hadi ya 28 za sehemu hii ya Sura hii ya Katiba.
(2) Kila mtu katika Jamhuri ya Muungano anayo haki ya
kupata hifadhi sawa chini ya sheria za Jamhuri ya Muungano.
(3) Raia yoyote wa Jamhuri ya Muungano hatakuwa na haki,
hadhi au cheo maalum kwa misingi ya nasaba, jadi au urithi
wake.
(4) Ni marufuku kwa sheria yoyote kutoa haki, hadhi au cheo
maalum kwa raia yeyote wa Jamhuri ya Muungano kwa misingi
ya nasaba, jadi au urithi.
(5) Ili watu wote waweze kufaidi haki na uhuru vilivyotajwa na
Katiba hii kila mtu ana wajibu wa kutenda na kuendesha shughuli
zake kwa namna ambayo haitaingilia haki na uhuru wa watu
wengine au maslahi ya umma.


Halafu kwa kuendelea zaidi ibara ya 30 inaelezea mipaka ya haki na uhuru na hifadhi wa haki kwa wajibu.
Siwezi tena kuweka hapa maana ipo huko kwenye main thread unaweza kuisoma.
 
Kama kweli wewe upo mwaka wa nne unasoma sheria chuo. Ninakuhakikishia uta fail.

Soma hiyo sura nzima inayo elezea haki. Ukifika ibara ya 29,30 na 31 haki zote hizo zinaondolewa. Utaona tena hizo haki zinaondolewa na mamlaka kutokana na sababu kadha. Sababu moja wapo ni maslahi ya umma.

Soma hiyo kati vizuri ili uweze kufaulu. Nchi ikiwa na uhuru na haki ambazo hazina mipaka itakuwa nchi ya vichaa.
Mdogo wangu nimeshamaliza chuo hahahahah wewe hauelewi kitu aisee kubishana na wewe layman ni kupoteza muda katiba inaweka misingi ya sheria hizo sheria zinakuja kutekelezwa kwenye sheria specific mfano hapo kwenye freedom of expression hizo ibara ya 29-31 zimeshapingwa sana kwenye hukumu za kesi kama ulikua hujui kuna vitu vinaitwa precedents hivyo vinatumika kupinga vitu kama hivyo mahakama lazima inagalie kesi zake za nyuma ndo huamua vinginevyo tatizo lako umekariri vifungu viwili unakuja kubwabwaja serikali yenyewe inatambua inapokosea wewe shabiki maanadazi usiejua sheria unarukia rukia tu vitu hivi vitu ni beyond your ordinary comprehension...na kuanza kubishana na wewe ni shida maana itabidi nukufundishe katiba na principle zake na etc kitu amabcho sina muda wa kufanya hivyo...
 
Mdogo wangu nimeshamaliza chuo hahahahah wewe hauelewi kitu aisee kubishana na wewe layman ni kupoteza muda katiba inaweka misingi ya sheria hizo sheria zinakuja kutekelezwa kwenye sheria specific mfano hapo kwenye freedom of expression hizo ibara ya 29-31 zimeshapingwa sana kwenye hukumu za kesi kama ulikua hujui kuna vitu vinaitwa precedents hivyo vinatumika kupinga vitu kama hivyo mahakama lazima inagalie kesi zake za nyuma ndo huamua vinginevyo tatizo lako umekariri vifungu viwili unakuja kubwabwaja serikali yenyewe inatambua inapokosea wewe shabiki maanadazi usiejua sheria unarukia rukia tu vitu hivi vitu ni beyond your ordinary comprehension...na kuanza kubishana na wewe ni shida maana itabidi nukufundishe katiba na principle zake na etc kitu amabcho sina muda wa kufanya hivyo...
Sasa unachoongea ni nini sasa hapa? Hebu dadavua unataka kuongea nini?
 
Wapi katiba imesema rais anaweza kupiga maruuku mikutano ya kisiasa?
 
Naweza kukupa hiyo.

Kwanza nijibu swali langu. Katiba imempa rais madaraka ya kupiga marufuku mikutano ya kisiasa? Wapi?
Naomba tusizunguke sana. Ni kwamba kwa mujibu wa katiba ya Tanzania hakuna ibara inayoongelea uhuru wa vyama vya siasa. Basi kwa mantiki hiyo vyama vya siasa siyo huru.
 
Naomba tusizunguke sana. Ni kwamba kwa mujibu wa katiba ya Tanzania hakuna ibara inayoongelea uhuru wa vyama vya siasa. Basi kwa mantiki hiyo vyama vya siasa siyo huru.
Hujanipa sehemu ya katiba inayosema rais ana mamlaka ya kupiga marufuku mikutano ya siasa.
 
Hujanipa sehemu ya katiba inayosema rais ana mamlaka ya kupiga marufuku mikutano ya siasa.
Tusiende mbali sana. Na klubishani usio na tija. Ibara ya 29 na 30 inaongelea namna gani haki na uhuru ulivyo na limitation.
Kwenye ibara ya 30 inaongelea limitation ya haki na uhuru kutokana na maslahi ya umma. Mamlaka ndio imewekewa uwezo wa kutoa na kusimamia mamlaka ya umma.
Na kiongozi wa mammala ni rais.
Kwa hiyo basi rais anaweza kuondoa haki na uhuru fulani kwa maslahi ya umma.

Nakuomba usome vizuri ibara ya 29 mpaka 31
 
Tusiende mbali sana. Na klubishani usio na tija. Ibara ya 29 na 30 inaongelea namna gani haki na uhuru ulivyo na limitation.
Kwenye ibara ya 30 inaongelea limitation ya haki na uhuru kutokana na maslahi ya umma. Mamlaka ndio imewekewa uwezo wa kutoa na kusimamia mamlaka ya umma.
Na kiongozi wa mammala ni rais.
Kwa hiyo basi rais anaweza kuondoa haki na uhuru fulani kwa maslahi ya umma.

Nakuomba usome vizuri ibara ya 29 mpaka 31
Na rais akiondoa haki bila ya kuwepo maslahi ya umma inakuwaje?

Maslahi ya umma ni nini?

Nani anaamua haya ni maslahi ya umma na haya si maslahi ya umma?

Utajuaje hapa haki imeondolewa kwa maslahi ya umma na hapa haki imeondolewa kwa maslahi ya chama au wanene wachache?

Kama kuwanyima wapinzani kuandamana kunaweza kuleta kinyongo kitakachosababisha mpasuko katika jamii, na kuwaachia waandamane hakuna hasara yoyote ilimradi wanaandamana kwa Amani, na wapinzani wameahidi kuandamana kwa amani, rais kuwanyima kuandamana ni kulinda maslahi ya umma kivipi?
 
Bro, claw back clause ndo kama hizo alizokutajia mleta Mada, mfano Article 30, hiyo ni claw back clause, ambayo imeweka limitations on the enjoyment of the rights provided under part 3, mbona Lissu hawambii hili, anawaambia tu mna haki, hawaambii kama mnawajibu pia!
Kila mada Lissu ... Duh kumbe nawe ni adui kibiashara kwako
 
Back
Top Bottom