Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,056
Na ungekuta dunia SAA hizi ingekuwa mbali sana kimaendeleo...pengo la masikini na matajiri lisingekuw kama lilivyo sasa tatizo la ubepari ni kwenye umiliki Mali kwa Us pengo la matajiri na masikini ni kubwa sana lisilo mithilika mwingine akifikiria kula birthday yake ktk sayari ya mars mwingine anasubiria chakula cha mchana kutoka halmashauri ya jijiJamaa alikuwa na kila sifa na uwezo wa kutawala dunia sema walimuwahi,vinginevyo duhh
Jamaa angetawala miaka kibao