Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii'....
*************************************************
Mimi ni mfanya biashara hapa jijini Dar. siku moja nilipotoka katika mauzo niliamua kwenda kujipongeza na kisha niliamua kupitia 'changudoa' kwani ninaishi mwenyewe nyumbani!
Baada ya kufika nae nyumbani nilimkaribisha vizuri. Niliandaa vinywaji ambavyo nilikuwa navyo katika friji na tukanywa!
Kama unavyojua tena muda wa kula tunda ulipofika tulianza kama desturi ya 'walaji matunda' kwa kuumana midomo n.k
Niliendelea kwa kumnyonya 'manyonyo' yake na wakati zoeti la kunyonya manyonyo likiendelea nilihisi kizunguzungu! Changudoa huyo kuona hivyo akanilazimisha nizame chumvini!!!!!
Nilipokuwa nikielekea huko uvinza nikashindwa hata kufanya kazi husika na hatimaye nilijikuta nipo kitandani peke yangu na ni asubuhi yapata saa tatu hivi.
Baada ya kupata fahamu nikajua tu hapa nimeingizwa 'mjini'....Kweli nilipokimbilia katika droo yangu nikakuta kiasi cha pesa taslimu Tshs 1M zilizokuwa katika droo zimeyeyuka na kuota mbawa! Pia kuna baadhi ya makaratasi yangu ya kibiashara hayaonekani, sasa sijui ni yeye ameyakwapua?
Nilimpigia simu daktari wangu nikamweleza mkasa wote na alikuja akachukua 'sample ya vinywaji' na majibu yaliyotoka maabara ni kwamba havikuwa na dawa yeyote!
Daktari aliniambia kwamba inawezekama changu huyo alijipaka dawa hizo katika mwili wake.....
Je, wadau hivi siku hizi hawa 'viumbe' ndiyo wameamua kutuibia kwa style hii? Na je nini kifanyike kukabiliana nao?
Je, nikaripoti polisi tukio hili? (labda ninaweza kukutana naye huyo changu kwani mpaka sasa simjui anatoka wapi na wala anaishi wapi!).
@mchango wako unahitajika (true story)
*************************************************
Mimi ni mfanya biashara hapa jijini Dar. siku moja nilipotoka katika mauzo niliamua kwenda kujipongeza na kisha niliamua kupitia 'changudoa' kwani ninaishi mwenyewe nyumbani!
Baada ya kufika nae nyumbani nilimkaribisha vizuri. Niliandaa vinywaji ambavyo nilikuwa navyo katika friji na tukanywa!
Kama unavyojua tena muda wa kula tunda ulipofika tulianza kama desturi ya 'walaji matunda' kwa kuumana midomo n.k
Niliendelea kwa kumnyonya 'manyonyo' yake na wakati zoeti la kunyonya manyonyo likiendelea nilihisi kizunguzungu! Changudoa huyo kuona hivyo akanilazimisha nizame chumvini!!!!!
Nilipokuwa nikielekea huko uvinza nikashindwa hata kufanya kazi husika na hatimaye nilijikuta nipo kitandani peke yangu na ni asubuhi yapata saa tatu hivi.
Baada ya kupata fahamu nikajua tu hapa nimeingizwa 'mjini'....Kweli nilipokimbilia katika droo yangu nikakuta kiasi cha pesa taslimu Tshs 1M zilizokuwa katika droo zimeyeyuka na kuota mbawa! Pia kuna baadhi ya makaratasi yangu ya kibiashara hayaonekani, sasa sijui ni yeye ameyakwapua?
Nilimpigia simu daktari wangu nikamweleza mkasa wote na alikuja akachukua 'sample ya vinywaji' na majibu yaliyotoka maabara ni kwamba havikuwa na dawa yeyote!
Daktari aliniambia kwamba inawezekama changu huyo alijipaka dawa hizo katika mwili wake.....
Je, wadau hivi siku hizi hawa 'viumbe' ndiyo wameamua kutuibia kwa style hii? Na je nini kifanyike kukabiliana nao?
Je, nikaripoti polisi tukio hili? (labda ninaweza kukutana naye huyo changu kwani mpaka sasa simjui anatoka wapi na wala anaishi wapi!).
@mchango wako unahitajika (true story)