Le bahari unakuja ukibadilika badilika........Happy New Year 2013.Hahahahahahahah!
Soma vizuri utaelewaWHAT DO YOU MEAN??
:confused2:
Sisi huku Mitaa ya Railway tumeshamuelekeza Murji kuwa hatumtaki na analifahamu,hajawahi kufika huku na wala hakuja kuitisha mtutano wa kutoa asante.
Huku ni CHADEMA mpaka mtoto mdogo atakuambia hivyo ,Diwani wetu wa Kata ya Railway tunamuandaa.
Wabunge wa Mtwara (Ghasia, Murji, Njwayo, Bwanausi, Mkuchika, Mkapa na Kasembe) wapo makini, wiki ijayo watakuja na suluhisho la zao la korosho kuhusiana na ununuzi, serikali yetu makini ipo katika mchakato wa kushughulikia.
Umekosea sana, huyo si Le Mutuz. Huyo ni kamanda wa nguvu.Soma vizuri utaelewa
watu wa mtwara mtasubiri mpaka siku ya kiama. Wenyewe chama tawala wako busy wanapiga propaganda ya kadi ya dr. Slaa.
Walipokaa wakawaza sana wakaona hiyo ndiyo njia madhubuti itakayowafanya wakubalike kwa wananchi.
Wanasubiri slaa achukiwe na watu.
Pia hivi karibuni wataanza kuwatangazia mambo mazuri wanayowafanyia, msikilize radio na tv zenu kwa makini mtaelewa kazi nzuri inayofanyika.
murji anawafanyia namna hii