THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
CCM imezidi kuendeleza dhulma zake kwa wananchi wa kanda hiyo kwa kuwakosesha soko la uhakika wa zao za korosho hali iliyopelekea wakulima wa zao hilo kutoa mazao kwa mkopo kwa wanunuzi,,
utaratibu wa malipo wa stakabadhi ghalani ndio hasa uliokakubaliwa na kuwapa wakulima tumaini msimu uliopita,,kumbe CCM ilikua inawacheza shere wakulima hao,na hawakuwa na nia ya dhati katika kuwasaidia,,
Hali ya maisha ya wakulima mkoani humo imezidi kua tete, Jimbo la Tandahimba Mbunge wa CCM Juma Njwayo ambae amelikimbia jimbo hilo mara baada ya ushindi wake wa zengwe wa uchaguz wa wizi 2010 dhidi ya aliyekuwa mgombea wa CUF ndugu Katani,, mbunge huyo kalikimbia jimbo hilo na wananchi wamempga marufuku kutokanyaga ardhi ile, nyumba yake ilichomwa moto, mashamba yake yalichomwa moto na gari lake kuvurumishiwa mawe na wananchi wenye hasira kali kutokana na kukosa kuwajibika na uzuzu wa mbunge njwayo,,mtwara vijijini jimbo la hawa ghasia hali imekua hivo hivo,,
Mtwara mjini kuna mbunge hopless sana anaitwa Murji,,yeye kwa kushirikiana na kaka yake wa damu anaeitwa Abbas,wanatumia kampuni yao ya ununuzi wa korosho kufanya ulanguzi kwa kununua zao hilo kwa bei sh 600 kwa kilo kutoka 1200 ya msimu uliopita tena kwa mkopo,wamesababisha hali ngumu kwa wakulima wote wa zao la korosho katika mkoa huo,,
serikali haina usemi kwa kuwa yasemekana JK anapata asilimia fulani katika mauzo ya zao hilo kwa kampuni hiyo,ikumbukwe JK ndiye aliefanya uteuzi tata wa Anna Abdallah na Mudhihir Mudhihir kuwa wakuu wa Bodi ya Korosho jambo lililopeleka kulifanya zao hilo kuwa ni kitega uchumi chao huku wananchi wakiendelea kunyanyasika na kukosa mwelekeo wa maisha siku baada ya siku,,
CCM imekosa huruma na WaTz,na ndio maana Kinana na Nape waliambulia zomea zomea walipodhuru kanda ile, CCM ni sikio la kufa tuiache tuh ijifie zake na tuikomboe nchi yetu 2015,,
kifo cha CCM 2015 kinawezekana,tuache kulalamika lalamika,tunaambiana haya sio kwa propaganda kama wanavofanya kina Nepi,tunaambiana haya yote ili tuzinduke na kila mtu atimize wajibu wake panapo majaliwa hapo 2015 kwa maslahi ya vizazi vyetu vijavyo,,
jinamizi hili la CCM liishie kizazi hiki hiki,,
utaratibu wa malipo wa stakabadhi ghalani ndio hasa uliokakubaliwa na kuwapa wakulima tumaini msimu uliopita,,kumbe CCM ilikua inawacheza shere wakulima hao,na hawakuwa na nia ya dhati katika kuwasaidia,,
Hali ya maisha ya wakulima mkoani humo imezidi kua tete, Jimbo la Tandahimba Mbunge wa CCM Juma Njwayo ambae amelikimbia jimbo hilo mara baada ya ushindi wake wa zengwe wa uchaguz wa wizi 2010 dhidi ya aliyekuwa mgombea wa CUF ndugu Katani,, mbunge huyo kalikimbia jimbo hilo na wananchi wamempga marufuku kutokanyaga ardhi ile, nyumba yake ilichomwa moto, mashamba yake yalichomwa moto na gari lake kuvurumishiwa mawe na wananchi wenye hasira kali kutokana na kukosa kuwajibika na uzuzu wa mbunge njwayo,,mtwara vijijini jimbo la hawa ghasia hali imekua hivo hivo,,
Mtwara mjini kuna mbunge hopless sana anaitwa Murji,,yeye kwa kushirikiana na kaka yake wa damu anaeitwa Abbas,wanatumia kampuni yao ya ununuzi wa korosho kufanya ulanguzi kwa kununua zao hilo kwa bei sh 600 kwa kilo kutoka 1200 ya msimu uliopita tena kwa mkopo,wamesababisha hali ngumu kwa wakulima wote wa zao la korosho katika mkoa huo,,
serikali haina usemi kwa kuwa yasemekana JK anapata asilimia fulani katika mauzo ya zao hilo kwa kampuni hiyo,ikumbukwe JK ndiye aliefanya uteuzi tata wa Anna Abdallah na Mudhihir Mudhihir kuwa wakuu wa Bodi ya Korosho jambo lililopeleka kulifanya zao hilo kuwa ni kitega uchumi chao huku wananchi wakiendelea kunyanyasika na kukosa mwelekeo wa maisha siku baada ya siku,,
CCM imekosa huruma na WaTz,na ndio maana Kinana na Nape waliambulia zomea zomea walipodhuru kanda ile, CCM ni sikio la kufa tuiache tuh ijifie zake na tuikomboe nchi yetu 2015,,
kifo cha CCM 2015 kinawezekana,tuache kulalamika lalamika,tunaambiana haya sio kwa propaganda kama wanavofanya kina Nepi,tunaambiana haya yote ili tuzinduke na kila mtu atimize wajibu wake panapo majaliwa hapo 2015 kwa maslahi ya vizazi vyetu vijavyo,,
jinamizi hili la CCM liishie kizazi hiki hiki,,