Jinsi Bikra Maria alivyompa mtihani kiongozi wa Kanisa, Nabii Zakaria..

Ni kweli Joseph was much older than Mary lkn si kwa tofauti hiyo ya miaka. Na Joseph hakuwahi oa wala kuwa na watoto. Soma au sikiliza audio ya kitabu cha "life of virgin Mary".
How much older mkuu? Hebu tafiti ilikuwa ni tofauti ipi exactly kabla hujahitimisha kwa kunipinga. Nasisitiza, kama mtu ananipinga aweke ukweli.
 
How much older mkuu? Hebu tafiti ilikuwa ni tofauti ipi exactly kabla hujahitimisha kwa kunipinga. Nasisitiza, kama mtu ananipinga aweke ukweli.
we umefanya utafiti upi au ndio kusoma ijnili ya luka na isaya kidogo bila kujua vifungu ulivyosoma
 
biblia nayo!!! baba ake joseph alikuwa nani kati ya hawa?

And Jesus himself began to be about thirty years of age, being the son of Joseph, which was the son of Heli, - Luke 3:23
And Jacob begat Joseph the husband of Mary, of whom was born Jesus, who is called Christ. - Matthew 1:16
 




Hiyo Heli ndo nini?
 
Point of correction:

Salome alikuwa si mke wa Yusuph. Salome alikuwa binti wa Yusuph kwa mke wake marehemu. Salome huyu aliolewa na Zebedayo ambapo alimzalia watoto wakiwemo mitume wawili wa Yesu Kristo ambao ni Yohana na Yakobo. Salome alikuwa kaka yake Yesu kupitia kwa Yusuph baba yake. Mtume Yohana na Yakobo walikuwa na undugu na Yesu Kristo, ambapo Yesu alikuwa mjomba wao.


Kuna mengine umeandika vzr sana. Nilitaka tu kurekebisha hapo huenda umeandika kwa kuchanganya, lakini hapo ulipofika katika uandishi ninaamini kuwa unakijua unachokiandika.
 
Mkuu nani kasema Maria ni Mungu?Unapo qoute post yangu nakuniuliza kwa hiyo Maria ni Mungu unamanisha maelezo yangu yamesema hivyo.Kama unataka kujua kitu jifunze jinsi ya kuuliza mkuu.
yeye anamzungumzia bikira maria wewe ukamwambia anapoandika mambo ya mungu.! awe makini nikakuuliza kwasababu mada inamuhusu maria je maria ni mungu.
 

Asante kwa nia njema ya kutaka kuweka rekodi sawa. Napenda mwendo huu.

Hata hivyo, Joseph mkewe alikuwa akiitwa Salome na mmoja kati ya mabinti zake watatu naye alikuwa akiitwa Salome pia. Mengineyo uliyoeleza nakubaliana nayo isipokuwa hapo kwa Yohana.

Kama unamaanisha Mtume Yohanna Mbatizaji, wazazi wake walikuwa ni Zakariya na Elizabeth. Hawa walimpata uzeeni baada ya Mzee Zakaria kushuhudia neema ya Mungu kupitia kwa Maria aliyekuwa akimlea ambapo naye akafanya sala ya kuomba apatiwe moto na Mungu kukubali ombi lake.

Na hapo ndipo inaonesha umri wa Maria kuozwa ulikuwa mdogo sana kiasi kwamba Maria anaenda kuolewa huku nyuma mlezi wake Mzee Zakaria naye anapata mtoto wa uzeeni. So mimba ya Yesu na Yohana hazikupishana sana. Ndio maana wote walikuwa vijana na walishiriki mission pamoja.

Story ya Zakaria nayo inasisimua. Alifanyiwa ishara ya ububu kumjulisha kuwa mkewe amenasa ujauzito. Anyway, hii sio mada kuu.

Ila kama ulimaanisha Yohana tofauti, basi sawa.

Shukrani kiongozi.
 
Nilimaanisha Yohana aliyekuwa miongoni mwa mitume wa Yesu Kristo. Aliyeandika kitabu chenye jina lake YOHANA, UFUNUO, WARAKA WA 1,2 & 3 WA YOHANA.
 
Duuh! wapi kaandika Maria ni Mungu au unatafuta mada?
Utalihusishaje jambo LA maria na mambo ya Mungu au huoni.Anamwambia mtoa mada awe makini anapozungumzia mambo ya Mungu na kwasababu hapa tunamzungumzia maria nikauliza Maria ni Mungu.
 
Hiyo umeitoa kwenye injili ya Bikira maria.
Ila sijaelewa ni yapi madhumuni ya uzi wako!
 
kwahiyo wakati Yesu anaanza kazi ya kutangaza ufalme wa Mungu akiwa na umri wa miaka 30 Yosefu alikuwa ameshagonga miaka 100?
Kwahesabu za jamaa ndio hivyo, na kibaya zaidi mama yake alikuwa 14 wakati akimzaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…