Jini Mahaba

Uzi Makini.


1: Ukiwa na jini mahaba wa kike kama wewe ni mwanaume basi jua wew utakuwa domo zege siku zote Na huwezi kukubaliwa na mwanamke hata siku moja inasemekana ukiwa naye anakufanya uwe mzito kutongoza au uwe na mkosi kwa mwanamke asikupende. labda upate mwanamke mwenye jini mahaba wa kiume na vile vile ukimpata mwanamke wa aina hiyo basi jua atakumiliki ndani ya nyumba. na mwanamke ukiwa na jini mahaba wa kiume jua wewe huwezi kupendwa na mwanaume yeyote isipo kuwa mwanaume mwenye jini mahaba wa kike na wewe utakuwa unatawala nyumba kama mume kwenye nyumba.


2: Ukiwa Mwanaume na una jini mahaba wa kiume ni lazima uwe mzee wa chuchu yani yule jini anapo kuwa na hamu ya kusex anakutumia wewe na hakuna mwanamke mwenye ubavu wa kukukataa hata siku moja Na kwa mwanamke ukiwa na jini mahaba wa kike nawewe pia utakuwa mtu wa kutamani wanaume tu.ila mkikutana watu wa aina hii(mwanaume na mwanamke)Bas ndoa yenu itakuwa nzuri.
100%
ukweli mtupu nimeshuhudia hii kitu
 
Hebu nipe experience
enzi za ujana wangu nilikutana na kaka mmoja alikuwa anajikanyaga kanyaga kunitongoza lakini alifanikiwa na ndipo aliponiambia hata yeye haelewi imekuaje hadi akanitongoza sababu amekuwa hatamani mwanamke wala hawezi kutongoza mwanamke..

lakini baadae nikaja kujua kumbe ana jini huwa linakuja usiku anapiga mambo tena sio ndotoni ni laivu alinambia mwenyewe

nami pasipo kujua kumbe nilikuwa pia nina jini mahaba ndio maan tukaweza kuendana japo mie nilishaombewa naye alifanikiwa kufanyiwa dawa yule jini akawa haji tena

lkni tumepotezana baada ya mie kuama mkoa na kuendelea na mahusiano mapya
 
enzi za ujana wangu nilikutana na kaka mmoja alikuwa anajikanyaga kanyaga kunitongoza lakini alifanikiwa na ndipo aliponiambia hata yeye haelewi imekuaje hadi akanitongoza sababu amekuwa hatamani mwanamke wala hawezi kutongoza mwanamke..

lakini baadae nikaja kujua kumbe ana jini huwa linakuja usiku anapiga mambo tena sio ndotoni ni laivu alinambia mwenyewe

nami pasipo kujua kumbe nilikuwa pia nina jini mahaba ndio maan tukaweza kuendana japo mie nilishaombewa naye alifanikiwa kufanyiwa dawa yule jini akawa haji tena

lkni tumepotezana baada ya mie kuama mkoa na kuendelea na mahusiano mapya
Hahahahaha.
Aiseeh hamna kilichoendelea maana naina imenipa hamasa kujua zaidi
 
Hahahahaha.
Aiseeh hamna kilichoendelea maana naina imenipa hamasa kujua zaidi
jini si viumbe vizuri kwakweli..kama ni mwanamke unakuwa hutamani mwanaume hata ukimpata hamdumu sana pia kuna daliki kam kuota unaingiliwa usiku,,ukipata ujauzito kutoka,, mda mwingine hushiki kabisa ujauzito au kuota ndoto unamimba,, unanyonyenya mtoto,, unajifungua,, una pete za ndoa,,

mwanaume pia anakuwa hana hamu na wanawake au hakai akatulia kwenye mahusiano mara aletewe watoto ndotoni na kuota anafanya mapenzi na mwanamke usiku

wengine huwa ni ndoto tu lakini wengine huwa laivu kabisa

ukibahatika kuombewa huwa wanaondoka hawa viumbe japo huwa wabishi sana sababu wanahisi wanaingiliwa sababu mwinginr unaweza ukawa hujijuo kumbe tangu mdogo unakua nalo pasipo kujijua...wengine wanafanyiwa dawa kama yule kijana yeye alienda kufanyiwa dawa tanga

NB:hao viumbe wanawivu sana binadam haoni ndani
 
jini si viumbe vizuri kwakweli..kama ni mwanamke unakuwa hutamani mwanaume hata ukimpata hamdumu sana pia kuna daliki kam kuota unaingiliwa usiku,,ukipata ujauzito kutoka,, mda mwingine hushiki kabisa ujauzito au kuota ndoto unamimba,, unanyonyenya mtoto,, unajifungua,, una pete za ndoa,,

mwanaume pia anakuwa hana hamu na wanawake au hakai akatulia kwenye mahusiano mara aletewe watoto ndotoni na kuota anafanya mapenzi na mwanamke usiku

wengine huwa ni ndoto tu lakini wengine huwa laivu kabisa

ukibahatika kuombewa huwa wanaondoka hawa viumbe japo huwa wabishi sana sababu wanahisi wanaingiliwa sababu mwinginr unaweza ukawa hujijuo kumbe tangu mdogo unakua nalo pasipo kujijua...wengine wanafanyiwa dawa kama yule kijana yeye alienda kufanyiwa dawa tanga

NB:hao viumbe wanawivu sana binadam haoni ndani
Asante sana nyiramba girl haya maujuzi hadimu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom