Jini Mahaba

ABiClever Junior

JF-Expert Member
Dec 14, 2016
945
545
Uzi Makini.


1: Ukiwa na jini mahaba wa kike kama wewe ni mwanaume basi jua wew utakuwa domo zege siku zote Na huwezi kukubaliwa na mwanamke hata siku moja inasemekana ukiwa naye anakufanya uwe mzito kutongoza au uwe na mkosi kwa mwanamke asikupende. labda upate mwanamke mwenye jini mahaba wa kiume na vile vile ukimpata mwanamke wa aina hiyo basi jua atakumiliki ndani ya nyumba. na mwanamke ukiwa na jini mahaba wa kiume jua wewe huwezi kupendwa na mwanaume yeyote isipo kuwa mwanaume mwenye jini mahaba wa kike na wewe utakuwa unatawala nyumba kama mume kwenye nyumba.


2: Ukiwa Mwanaume na una jini mahaba wa kiume ni lazima uwe mzee wa chuchu yani yule jini anapo kuwa na hamu ya kusex anakutumia wewe na hakuna mwanamke mwenye ubavu wa kukukataa hata siku moja Na kwa mwanamke ukiwa na jini mahaba wa kike nawewe pia utakuwa mtu wa kutamani wanaume tu.ila mkikutana watu wa aina hii(mwanaume na mwanamke)Bas ndoa yenu itakuwa nzuri.
100%
 
Ushauri wako mzuri saana. Huenda umeamua kuwatishia watu na wengine umewapa nafasi ya kuendeleza u domo zege wao. Yaani domo zege umempandisha cheo kuwa analo jini mahaba??
Wewe hujawahi hata sikia habari za hao majini. Mwuliza mshana jr na MziziMkavu. Usilete nadharia zako hapa tafadhali.
 
Ushauri wako mzuri saana. Huenda umeamua kuwatishia watu na wengine umewapa nafasi ya kuendeleza u domo zege wao. Yaani domo zege umempandisha cheo kuwa analo jini mahaba??
Wewe hujawahi hata sikia habari za hao majini. Mwuliza mshana jr na MziziMkavu. Usilete nadharia zako hapa tafadhali.
kwani hao ni miungu na wanajua kila kitu hao ni binaadam na mm binaadam na kila mmoja ana uelewa wake na kitabu alicho soma elewa hao viumbe tu kama mim na sio miungu au mungu
 
kwani hao ni miungu na wanajua kila kitu hao ni binaadam na mm binaadam na kila mmoja ana uelewa wake na kitabu alicho soma elewa hao viumbe tu

Kumbe mkuu na mbwembwe zoote ni ilim ya kitabuni tuu?? Pole sana, sijasema mshana jr na MziziMkavu ni miungu. Nimesema, hao ilim yao si ya kitabuni bali ya kutokea hukoooo yanakotengenezwa hayo makitu. Usiogope mkuu, omba ufunzwe, sote kuna kitu tulikuwa wajinga/hatukifaham. Lakini leo ni wajuzi
 
Kumbe mkuu na mbwembwe zoote ni ilim ya kitabuni tuu?? Pole sana, sijasema mshana jr na MziziMkavu ni miungu. Nimesema, hao ilim yao si ya kitabuni bali ya kutokea hukoooo yanakotengenezwa hayo makitu. Usiogope mkuu, omba ufunzwe, sote kuna kitu tulikuwa wajinga/hatukifaham. Lakini leo ni wajuzi
hakuna elimu isiyo toka kwenye kitabu ndugu subir nikujuze vizur Realname yangu ni Abdulqadir Hassan Ali mahine , mzee wangu ni Sharifu sayyid Hassan ni Mzawa wa bweni pangani Tanga Chimbuko kutokea Lamu kenya na sijasema kuwa mimi ni mganga ila tu nimewajuza baadhi ya vitu vilivyo kwenye kitabu waulize hao kina mshana kama wana ubavu wa kushindana na kitabu cha Ghazal au Falaki Mimi sijataka kujifunza ningetaka kujifunza ningesha jifunza masiku mingi mana mzee wangu ni mwalimu tosha na jinsi nilivyo na roho mbaya iyo elim mim hainifai .Notice that am not witchdoctor ubongo wako finyu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom