Jini mahaba ananipa mambo

Jini mahaba ananipa mambo

nenda wanapouza mdudu mchafu yani kitimoto katiwa kilo moja kampikie kwako ndani na ule nyama yake uone kama atarudi tena kwako ndiyo dawa
 
nenda wanapouza mdudu mchafu yani kitimoto katiwa kilo moja kampikie kwako ndani na ule nyama yake uone kama atarudi tena kwako ndiyo dawa

nikipiga kitimoto haji, sema baada ya sku moja anatokea na kunikaba kinoma yaani. Bora hata nisipige tu hicho kiti moto manake adhabu yake si ya kitoto
 
hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa kama kaswende ukimwi kisonono au kichocho? .. Nipo njia panda jamani hapa

Achana na hilo jini, Lipeleke kanisani uone kama litabaki hapo!
 
hahahahha lol
Ivunga wewe..
ile kitu imekuzidia nini ??
hahahahha lol
hembu ni PM nikusaidie vizuri ..
 
Jini ndie lucifer,hawa ndio viumbe vya Mwanzo kuja humu duniani kabla ya Binadamu,kwenye kitabu kimoja ch dini huwaita MAJITU.hata wanasayansi wa chuo kikuu cha MASSACHUSETTS nchini marekani walifanya utafiti wao na kuuchapisha kwenye kitabu walichokiita"the mystery planet"mwaka 1989,ukisoma hicho kitabu utagundua Kuwa majini ni viumbe waliopata kuishi kimwili na kiroho hapa duniani,sababu ya wao kutoonekana kirahisi siku hizi ni kwa ajili ya kujihami,asili imewabadilisha baada ya mwanadamu kuiteka dunia!
 
hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa kama kaswende ukimwi kisonono au kichocho? .. Nipo njia panda jamani hapa

Kama ni kweli unalosema, Ni kwamba unahitaji msaada wa kiroho, Nenda kaonane na watumishi wa Mungu wanaokiri wokovu na Jina la Yesu wakuombee ufunguliwe. Usichekelee hii ni hatari manake huyo jini hatakuruhusu uoe mke lazima tu utatengana naye.
Yaani hizo ni nguvu za giza, yaani hata huogopi? please jisalimishe kwa Yesu naye atakupumzisha na hilo jini.
 
kanisani tena ?

Ndiyo kanisani (Yesu) ndo kiboko ya majini, labda kama unalipenda endelea kukaa nalo manake uamzi ni wako! Ila mbeleni kumbuka utapata shida tu. Labda usioe, na hata kama usipooa lazima litakupa shida tu.
 
kaka, huyo jini mahaba ndie anayekufanya usipate msichana..mwombe mungu na tafuta msaada wa maombi uachane na hicho kifungo
 
kw nini utukane dini yangu? Kwani kwenu huko si mnatoaga mapepo ? Na hao mnaowatoa mapepo ni waislamu wale ? Na kama sio waislam basi usije hapa na kutukana dini za wengine . Mimi hapa sijahusiha dini ya mtut yoyote hapa wewe umekuja tu hapa unaanza kushambulia tu hapa , wewe ni msafi?
Toa kwanza boriti kwenye mboni ya jicho lako kabla ya kuanza kutoa kibanzi.
Pole sana mkuu!!
Kama una imani yoyote nenda kwa kiongozi wako mweleze bila kumficha.Kama imani yako inawaona kama viumbe wa kawaida huna haja ya kuwaogopa. Msemeshe tu umuulize kama amewahi kupima ngoma!! Halafu umesema UNAKULA KITIMOTO??? Au ni yule dada aliyekutishia wakati ule ndiye anakujia kivingine???
 
]tatizo lenu nyie waislam ndo hilo, mnafuga majini[/COLOR], na mnaoa majini mkifikiri yatawapa pesa na maendeleo...matokeo yake ndo hayo..kama wewe au dingi yako ndo alilipata hilo unalo..na ukioa mwanamke wa kawaida, linafunga kizazi, ukibahatika kuzaa na mwanamke mwingine lina ua watoto au linaua mimba..hata mkeo halali linaweza kuua...hapo ulipo hutaoa tena kama hautaokoka na kubadili hiyo dini ya mtume mwamedi.
Kwanza siamini uwepo wa jini mahaba. Ni mambo ya vijana tu wanaopenda kuchovyachovya/vicheche ndio maana hawakai na wapenzi. Lakini kwa maaelezo nilosoma humu inaonesha hata kwa wadini nyengine wanakumba na hao mabinti majini mahaba. Au sijafahamu nini kinazungumzwa hapa?
 
we jamaa unaweza kupiga picha jini kivipi?...ila kama vipi nitajaribu hii kitu. Jamani majini ni kama ndugu zetu

Mtegeshee kamera ya video. Wakati anakupa uleda kamera itakuwa inarekodi, halafu pachika Youtube na tuwekee hapa.
 
Mtegeshee kamera ya video. Wakati anakupa uleda kamera itakuwa inarekodi, halafu pachika Youtube na tuwekee hapa.

MAMMAMIA?????????????? utashangaa kumuona yeye peke yake anajinyonga tu
 

Sema in the name of jesus christ kila ukiona hali inaanza yaani anakuja kemea mara nyingi mpaka utaona umestuka hapo utakuwa umemshinda kiaina. waone wachungaji watakusaidia
 
nikipiga kitimoto haji, sema baada ya sku moja anatokea na kunikaba kinoma yaani. Bora hata nisipige tu hicho kiti moto manake adhabu yake si ya kitoto

Basi kula ila siku
 
Sema in the name of jesus christ kila ukiona hali inaanza yaani anakuja kemea mara nyingi mpaka utaona umestuka hapo utakuwa umemshinda kiaina. waone wachungaji watakusaidia

asante dear
 
Back
Top Bottom